na safari hii hakuna serikali ya mseto...so uhuru aanze biashara ya kuuza mirungi tu...
Shenz type
wATU WANAKATA TAMAA MAPEMA SANA..AISEE
Bado mapema mkuu Crashwise.
Teh teh teh !Mkamu wa rais mtarajiwa!
Bado mapema mkuu Crashwise.
Vipi pressure imeanza kupanda, naona gap la 700000 linazidi kupungua..
kitalolo,wakuu Crashwise, Arushaone, Consigliere, ukwelikitugani, Kenyan
Na je ni kweli kuwa kwa usabuji wa manual kura zilizoharibika zimeenda zikipungua kutoka idadi iliyotaja wakati wa kuhesabu digital??
hii ni kwamuji wa citize wamesema tume imetoa sababu ya kwanini kura zilizoharibika imepungua nasikila kwenye neti na inakatikati hivyo sikupata kusikila vizuri je kuna mmoja wenu ameipata hiyo
kitalolo,
Fungua hapa ujisomee taarifa kamili kuhusu "Visingizio vya IEBC, Ati Database bug caused the multiplication of rejected votes by 8..yaani ilikuwa inazidisha mara nane...Huu ni uhuni.
IEBC blames database bug for rejected votes error - Politics - nation.co.ke
Huu ndo uhuni wenyewe wa IEBC.!! That was a hacking, period!!Napata shida sana kuelewa definition ya rejected votes. Hapa namnukuu Isaack Hassan "For any rejected vote for any candidate, they were being multiplied by eight," said the IEBC chairman.
Rejected vote inaweza vipi kuwa for a certain candidate?
Huu ndo uhuni wenyewe wa IEBC.!! That was a hacking, period!!