March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!



Massive turnout & day-long queues as voters say they've learned the lessons of 2007/8



This guy has volunteered to clean up the trash being left by voters
 

Attachments

  • massive-turnout.jpg
    108 KB · Views: 634
  • makopo.jpg
    89.4 KB · Views: 645

Mkuu Tiba hivi mwamko huu kwetu 2015 unaweza kuwepo? Na nini siri ya mwanko huu?
 
20 minutes to go until voting closes [for those who started on time]. Now comes the critical 24 hour wait
 


This' Nairobi City Centre
 

Attachments

  • nairobi-leo.jpg
    121.5 KB · Views: 342
CNN has apologised to Kenyans for the false reports and the reporter NimaCNN has changed her name to Nima Heni.
 

Ww ndo hujaelewa vzr,...hili tukio linahusiana na uchaguzi,coz hao uliowataja hawataki uchaguzi ufanyike eneo hilo
 
Mkuu Tiba hivi mwamko huu kwetu 2015 unaweza kuwepo? Na nini siri ya mwanko huu?
mkuu huku vurugu za polisi na matamko ya jeshi letu la wananchi na mpagilio mzima wa taarifa za daftari la kudumu la wapiga kura ukijumlisha na elimu yetu ya 60% zero ndo sababu ya watu kujitokeza kiduchu kwenye kupiga kura.
 
Mkuu Tiba hivi mwamko huu kwetu 2015 unaweza kuwepo? Na nini siri ya mwanko huu?

Nimekuwa Kenya kipindi cha compaign kwa siku 16,Wakenya wengi wanahitaji kutumiza haki yao ya kumchagua kiongozi wanaemtaka.Hawana muda wa kuchukulia mambo kwa mzaha kama tulivyo sisi.
Wanamwamko kwa kupiga kura hata mikutano ya maendeleo wanajitokeza kwa wingi na wanahoji na kufatilia ahadi za viongozi kwa ukaribu.
 
This was 20 min before 1700hrs



at Patel polling center in Eldoret
 

Attachments

  • 20min-to-go.jpg
    52.3 KB · Views: 318
IFES is now working with IEBC to help facilitate the mobile-based results transmission process
 
RIP our friends Kenyans its where Tz is heading if we dont stop the ongoing killings and church burnings
 
Kenya's IEBC says polling stations which opened late will remain open for extra hours
 
mkuu huku vurugu za polisi na matamko ya jeshi letu la wananchi na mpagilio mzima wa taarifa za daftari la kudumu la wapiga kura ukijumlisha na elimu yetu ya 60% zero ndo sababu ya watu kujitokeza kiduchu kwenye kupiga kura.

Mkuu nilikuwa nyumbani kama nilvyokuambia hali ya Tanga,Muheza na Korogwe inatisha. Hakuna maji watu wanapoteza muda kutafuta maji ambayo ni basic need na ni wajibu wa serekali kuwapa,lakini huko magamba ndio wako katika kila nafasi. Honestly ni wajibu wetu kurudi nyumbani na kuwapa watu somo maana bila hivyo hali ni mabaya tunakoelekea. CC MILLIONS MOVEMENT
 
Last edited by a moderator:
Huwa nakaa saa nyingine nakosa maana ya UISLAMU hasa inapofika watu wanakufa ovyo eti katika jina la dini hiyo na ukombozi kutoka serikali ya MAKAFIRI... Mungu yupi anaependa kuuana hivi?
 
So far, IEBC is pretty organised, much better than the last election. #transparency
I can the head of IEBC is not too old simply a middle aged man, wise and smart enough to handle his responsibilies. Not like the previous or the NEC (tanzania) whereby they werre already tired of the work considering their age and responsibilities.
 
So far, IEBC is pretty organised, much better than the last election. #transparency
IEBC have to remain organised, impartial, free and fair to the last minute. We do not want to see the repeat of 2007/2008 post elections violence.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…