March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

Mpaka sasa hali halisi ya Uchaguzi wa Kenya iko hivi kwa upande wa Rais.
Naona Uhuru ameendelea kuwa kileleni pia kwa hali ilivyo hasa ukizingatia leo ndiyo Tume yategemea kutangaza Matokeo ya Jumla.

Ila tusubiri tuone sehemu zilizobaki hali itakuwaje kama kutakuwa na mabadiliko yoyoye.


Source Citizen Tv wako live.
Kila matokeo yanapopatikana wanatuwekea ila nadhani tusubiri mpaka mwisho kama kuna lolote jipya au Raila ikiwa kama atapunguza idadi ya kura alizoachwa na Uhuru.
 
At 04:04: With votes from 185 constituencies counted, Uhuru Kenyatta has 4, 104, 247; Raila Odinga has 3, 680, 440; Musalia Mudavadi has 273, 743; Peter Kenneth 49, 195; Mohammed Dida has 35, 757; Martha Karua 28, 356; James ole Kiyiapi has 26, 236; Paul Muite has 9, 114. Total votes cast 8, 261, 274. Rejected votes 78, 232.
 
President results

uhuru kenyatta tnm 4,104,247.

Raila odinga odm 3,680,440.

Chanzo: Citizen tv live coverage.
 
Sisi watu wa Jubilee inabidi tuanze kuwa wapole, maana naona Raila na CORD yake wanakuja kwa kasi ya ajabu.

ni busara kutulia, lakini isiwe kwasababu ya kasi yao.
Usikate tamaa kabisa, subiri uone gap ya zaidi ya kura laki saba inavyokuja sasa.
Usidhani CORD zile kelele na malalamiko watoayo ni kwasababu ya kura hizi, ukweli wameshaujua ndiyo maana wanalialia kutafuta face saving reasons.
 
4,104,247 votes 50.0% UHURU KENYATTA 20 counties won

3,680,440 votes 44.8% RAILA ODINGA 4 counties won
 
OFFICIAL: 192/291 Constituencies; Uhuru 4,304,115 Raila 3,836,631 Rejected 82,474.
 
Mbona kuna watu wanaanza ku edit wengine ku-delete comments zao?
Kulikoni?
 
Kwa gap Uhuru Kenyatta alilokuwa amempiga Raila odinga la kura million 2 sasa limepungua na kuwa laki mbili sasa naona mitambo ilikuwa inaiba kura au analogia ndo imepiga jeki??Paka asubuhi raila kashinda sasa sijui huko kitaeleweka au??

Mkuu pamoja na ushabiki tulionao ni vyema tukaweka facts sawa sawa, sijawahi kuona gap ya kura milioni mbili hata mara moja sijui matokeo haya uliyapata wapi!!!
 
OFFICIAL: 198/291 Constituencies; Uhuru 4,381,077 Raila 3,930,634 Rejected 84,996 Total votes cast 8,872,588.
 

infact habari za ndan inasemekanj alishindwa kwa kura chache sana
 
Ingekuwa tume ya uchaguzi Tanzani Uhuru tayari angekuwa kaagiza suti Paris
 

nimecheka mpaka basi et raila anafundishwa na wamarekani namna ya kutoa defeat speech huku akitabasamu,
 
OFFICIAL: 199/291 Constituencies; Uhuru 4,396,715 Raila 3,935,165 Rejected 85,092 Total votes cast 8,893,911.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…