March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

Mtazamo wangu:Hii delay imesaidia kuepusha machafuko.

Kuna watu hii idadi ya kura ilipofikia sasa hivi wangepewa tarehe 4 pasinge kalika.

Matokeo yanavyotolewa taratibu na muda unavyokwenda unawasaidia kukubaliana na reality.Wengine wameshaanza kuangalia nje ya WIZI WA KURA.
 
Hapo kwenye blue umekosea.
Inatakiwa 50%+ 1 VOTE to be president, kwanza hiyo 50.99% ni nyingi sana
just 50.01% is enough! Uhuru is the next president, game over!

Mkuu asante kwa ufafanuzi...
 

bonesya amahala gako nungwe asee..!
How will you earn vote percentages without having earned the votes.
Those votes earned are the gateway to the percentages needed, ambazo pia zimeshapatikana.
 
Uhuru 4721604 Raila 4127377 gap hapa ni 594227 kazi bado ipo wakuu
 
Mkuu Ritz kweli hawa jamaa zetu wa Bondo, Kalachuonyo na ndugu zao wakisii wa Nyamira, Nyaribari Chache, Kitutu Masaba, nk naona wamekata tamaa. Uchaguzi kweli si mchezo, mke wa Odinga alishaenda Marekani kununua nguo za kama first lady in the waiting akijua kwamba lile jumba la pale Kilimani ni la kwake. sasa mambo yanageuka. Jamani tusikoke mioto kabla ya kumkamata swala!
 
Last edited by a moderator:
The target is 5.7m votes. Whoever hits that number carries the day.
Uhuru's knew this and was a strategy of all game, they have made it no matter how!
 
bonesya amahala gako nungwe asee..!
How will you earn vote percentages without having earn the votes.
Those votes earned are the gateway to the percentages needed, ambazo pia zimeshapatikana.

Ugwe kalumyana ugwe! UGWE!!!
Dig deep to understand me,ngamu jangu jo Gwamahala nkamu!
Chukua hilo gap la 600,000 weka kwenye total votes casted, say 10,000,000 angalia ni % ngapi alafu add that to the existing %age ya mhusika ndo utaelewa kuwa joune Gwamahala!
 
Uhuru 4769769 Raila 4132062 gap hapa ni 637707 kazi bado ipo wakuu hii saa 9.05
 
SO MR T.K IT IS ABOUT popote duniani kinachoamua matokeo ni kura halali tu..zilizoharibika won be considered! It is almost game over for Raila. HAPA KENYA KUNA KATIBA SASA SUALA LA POPOTE LINATOKA WAPI? THINK TWICE BILA SHAKA ROUND AU MTINNANGE II UTATEGEMEA SANA CONSTITUTIONAL ARRANGEMENT REGARDING CONTROVERSIAL SITUATION LIKE THIS IS NOT ABOUT POPOTE DUNIANI. KAMA NI HIVYO KENYATTA ALISHASHINDA BASI AAPISHWE
 
Mkuu kazi ipo wapi hapo? Unaambiwa wapiga kura ni kama 14mill na waliopiga kura ni kama 70%. Naona kama kazi imekaribia kwisha hapo
mkuu hilo gap si 694227 ni 594227 nimesahihisha
 
Mkuu kazi ipo wapi hapo? Unaambiwa wapiga kura ni kama 14mill na waliopiga kura ni kama 70%. Naona kama kazi imekaribia kwisha hapo

kama wamepiga kura million 10, naona kama uhuru anakaribia kura million tano ambazo ni nusu ya kura zilizopigwa.mafundi wa hesabu mtufafanulie hapo
 
Kwa kuangalia idadi ya majimbo yaliyokwisha hesabiwa na yaliyobakia, kama Kenyata ataweza kumaintain hilo gap la kura laki sita basi ngoma inaishia round one, lakini Agwambo akithubutu kupunguza gap hadi kuwa laki nne basi kutakuwa na round two.
 

Kama matokeo yangebaki yalivyo mpaka sasa hivi (Kwa Uhuru kupata kura 4,769,769) dhidi ya kura zote zilizohesabiwa mpaka sasa (9,495,851), basi Uhuru angekuwa mshindi kwa kupata asilimia 50.2%. No second round.

Tiba
 
Nilishatupa taulo long kitambo.

:-Congrats team UHURUTO

Tukanywe Nyuka mabel tu sasa...........
 
Kama matokeo yangebaki yalivyo mpaka sasa hivi (Kwa Uhuru kupata kura 4,769,769) dhidi ya kura zote zilizohesabiwa mpaka sasa (9,495,851), basi Uhuru angekuwa mshindi kwa kupata asilimia 50.2%. No second round.

Tiba

50% +1
 

Mkuu Kimbunga,

Naona saizi watu wanakula kitheri, huku joto linapanda jamaa wa Rift valley, Turikana, Samburu, Saboti, Baringo, Kapenguria, Nakuru, Narok, mambo bado hayajakaa sawa.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…