Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,951
- 9,977
Hivi mmegoma kuleta matokeo tena? au ndiyo yanajumlishwa yote sasa
Mwenyekiti Hassan anajiandaa kutangaza matokeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mmegoma kuleta matokeo tena? au ndiyo yanajumlishwa yote sasa
Mkuu Kimbunga,
Vipi kule Nyanyuki-Nyeri kwa wazee wa Chang'aa hali ikoje?
Historia inamuhukumu Jaluo wakati Wakikuyu wanapambana na Wakoloni Jaluo analeta upambe kwa Mkoloni.
Mkuu kazi ipo wapi hapo? Unaambiwa wapiga kura ni kama 14mill na waliopiga kura ni kama 70%. Naona kama kazi imekaribia kwisha hapo
Mwenyekiti Hassan anajiandaa kutangaza matokeo
so, who is the winner?
Anajiaandaje mkuu??!!
Kama wapiga kura ni 10,000,0000 basi atayepata 50.00001 percentage ni mshindi ndo manake Kama wapiga kura ni14,000,000 atayepata 50.00000714285 percentage ndio mshindi. Samahani hesabu zimenitoka kidogo, kama nimekosea nipo ready kurekebishwaHivi tofauti kati ya 50% + 1 na 51% ni ipi??? Msaada wadau