March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

Inategemea unazungumzia ''ujana'' wa nini. Kwa mfano: mtu mwenye miaka 60 kwa u-papa wa roman catholic tunasema ni ''kijana''. Miaka 35 kwenye kandanda tunasema ni ''mzee'', hivyo kwenye nafasi ya urais miaka 51 bado ni ''kijana''.
hakuna ujana wa nini.....kijana ni kijana tu......hayo mengine ni maboresho yako tu.....
 
Mhhh .... napata wasi wasi na uwezo wako .... wewe ndiyo ulitaka upewe ubunge wa kibaha kupitia chadema?

Mnampa umaarufu ambao hana. huyu si kandambili tu mwisho wake chooni? Tujadilini yetu sio viatu jamani bluetooth huyu hana hadhi ya kujadiliwa nawewe kabisa is too low for you to waste your valuable time, wezi na wezi wenzao, vibaka and the like
 
Last edited by a moderator:
Kura mill 14,zilizohesabiwa mill 4! Ngoma bado mbichi,subir waanze kuhesabu za nyanza ndo utajua nani mshnd,

Mil 14 ni idadi ya waliojiandikisha kupiga kura...sio waliopiga kura! Huwezi jua labda wamepiga nusu tu ya hao kama ilivyotokea hapa kwetu. Uhuru anapaki mabegi ahamie Ikulu now, Raila hana chake!
 
Mbona nyerere hatujamdharau,mwinyi,mkapa mbona husemi?tatizo lenu magamba mnasifia hata uozo,mtu ni dhaifu kwenye uongozi tumsifie kwani hiyo nafasi ni maalum kwa ajili yake?kama ameshindwa uongozi (kama ambavyo ameshindwa) he must go..aende akaongoze familia yake huko sio kukaa na kusifiana kinafiki hapa...matatizo chungu nzima ya nchi hii hamuyaoni...

Familia yake mwenyewe ilisha mshinda, ndo maana anamiliki vibustan kila wilaya.
 
pitia hapa pia utapata live Watch CitizenTV Live! - Citizen TV - Kenya

Kenya Election.jpg
 
mtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga

Ngoja tuweke simu zetu vizuri, maana hapa tumeingiliwa na mtu hatari zaidi ya Kitale


c.c Ben Saanane
 
Mwisho wa siku hawajui rais alishinda kwa kula ngapi! Shame on you CCM! Nchi imesambaratika, wajawazito na vichanga vinanifia mikononi kila siku, hakuna dawa, hakuna vifaa tiba, hakuna kadi za wajawazito na watoto, kafa mjazito sasa hivi kisa gari la wagonjwa halina mafuta huku wakubwa DMO,etc wapo kwenye kikao wanajilipa posho! mamaaaaaaa acha nilie mimi labda hasira zitapungua.....!

Sasa na wewe DMO umemuona mtu mkubwa? Ukubwa hautoe wapi wakati pesa yote ya wilaya anayo DED! Na ukubwa 'pesa', ndevu uchafu tu!
 
Nawaomba ndugu zangu wa KENYA kukubali matokeo rasmi ya uchaguzi ili kuwepuka machafuko kama yale ya 2007-2008
 
Unjua maeneo yote karibu na Nairobi matokeo tayari..........na ndipo penye watu wengi sana na ni pro UhuRuto....nadhani Raila kapigwa bao tayari......ukabila mbaya sana yaani yule mama ana kura 14,000 tu......hata wanawake wenziye?

Mechi bado bofya kwenye hii site :IEBC | Find a Polling Station halafu tembeza cursor kwenye sehemu tofauti uone jinsi ambavyo pro Kenyata nyingi zimeishaesabiwa bado kwa Raila yaweza kwenda round ya pili

Pia pitia kwenye tab ya Registered Voters within the same site uone jinsi walivyojiandikisha kupiga kura. Kumbuka walojitokeza ni zaidi ya 70% x 14M. = 10M+. Sasa hivi ni kama chini ya 5m reported, hivyo lolote laweza kutokea. NDO MAANA WENYEWE WAKO KIMYA KABISA.
 
discussion ya ujana na uzee itafutieni thread yake, hapa tujadili kilichoko mezani, uchaguzi wa kenya na matokeo yanayotangazwa

Watanzania tunajishusha sana mada haihitaji majungu mara kichaa mmoja kaingiza lake sasa wenye busara wote mawazo yamehamia kwa huyo chizimzoefu wao. Keshapewa jibu linaloeleweka na mtu mmoja i think inatosha tujadiliane yanayohusiana na kichwa cha uzi wetu jamani
 
Nyerere alikuwa waziri mkuu wa mwisho kuchukua nchi kama raisi mbona hata Raila alishindwa kujifunza hili akakubali kupewa uwaziri mkuu anagalia leo inavyomla na kwa huyu baba yako unayempigia kampeni za mapema itakuwa hivyohivyo. kama umesahau Uingereza iliwahi kuomba zile hela za kununua nyumba zichunguzwe serekali ikajifanya kichwa ngumu sasa 2015 ndio utaona pale watakapokuja kusimamia uchaguzi hapa watumwagie na mamashine ya kuhesabia kura utaona matokeo yatakuwa kma haya ya wakenya tu. Kama umesahau hata uchaguzi ulipita matokeo yalianza kuflow kwa mtindo huo mara ikatungwa seria ya haraka kuwa hakuna kutangaza matokeo kutoka majimboni na wakaa nayo wakacheza nayo ndio wakatupa bomu hili tulilonalo wengo ngoja kwanza baba yako mwenyewe sijui hata kama afya yake itamruhusu kufika 2015 na akifika hatutaki kuja kupepea bendera nusu mlingoti na kurudia uchaguzi maana una gharama sana

You didn't get my point at all... I meant despite the general perception hawa wanaonyooshewa vidole tend to win. May be its true ukipata UPM unakuwa cursed kuwa rais hapa Afrika. lets wait and see...
 
Back
Top Bottom