mwambojoke
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,084
- 647
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Police ajipiga risasi kichwani katika kituo cha kuhesabia kura wilayani Kisii mkoani nyanza Kenya
hakuna ujana wa nini.....kijana ni kijana tu......hayo mengine ni maboresho yako tu.....Inategemea unazungumzia ''ujana'' wa nini. Kwa mfano: mtu mwenye miaka 60 kwa u-papa wa roman catholic tunasema ni ''kijana''. Miaka 35 kwenye kandanda tunasema ni ''mzee'', hivyo kwenye nafasi ya urais miaka 51 bado ni ''kijana''.
Mhhh .... napata wasi wasi na uwezo wako .... wewe ndiyo ulitaka upewe ubunge wa kibaha kupitia chadema?
Kura mill 14,zilizohesabiwa mill 4! Ngoma bado mbichi,subir waanze kuhesabu za nyanza ndo utajua nani mshnd,
Mbona nyerere hatujamdharau,mwinyi,mkapa mbona husemi?tatizo lenu magamba mnasifia hata uozo,mtu ni dhaifu kwenye uongozi tumsifie kwani hiyo nafasi ni maalum kwa ajili yake?kama ameshindwa uongozi (kama ambavyo ameshindwa) he must go..aende akaongoze familia yake huko sio kukaa na kusifiana kinafiki hapa...matatizo chungu nzima ya nchi hii hamuyaoni...
mtazamo wangu utakuwa na uharisia namuhitaji kenyata ndio chaguo la mungu mungu huchagua vijana watumike.sipendi viongozi wazee.mf.mugabe.satta,slaa,odinga,belskon.shein.museven.odinga
Kweli mkuu kuna kile cha temeke kinajishaua kinoma nadhani kuna kitu nyuma ya pazia.....Familia yake mwenyewe ilisha mshinda, ndo maana anamiliki vibustan kila wilaya.
Mwisho wa siku hawajui rais alishinda kwa kula ngapi! Shame on you CCM! Nchi imesambaratika, wajawazito na vichanga vinanifia mikononi kila siku, hakuna dawa, hakuna vifaa tiba, hakuna kadi za wajawazito na watoto, kafa mjazito sasa hivi kisa gari la wagonjwa halina mafuta huku wakubwa DMO,etc wapo kwenye kikao wanajilipa posho! mamaaaaaaa acha nilie mimi labda hasira zitapungua.....!
Unjua maeneo yote karibu na Nairobi matokeo tayari..........na ndipo penye watu wengi sana na ni pro UhuRuto....nadhani Raila kapigwa bao tayari......ukabila mbaya sana yaani yule mama ana kura 14,000 tu......hata wanawake wenziye?
discussion ya ujana na uzee itafutieni thread yake, hapa tujadili kilichoko mezani, uchaguzi wa kenya na matokeo yanayotangazwa
Reason!!!
Nyerere alikuwa waziri mkuu wa mwisho kuchukua nchi kama raisi mbona hata Raila alishindwa kujifunza hili akakubali kupewa uwaziri mkuu anagalia leo inavyomla na kwa huyu baba yako unayempigia kampeni za mapema itakuwa hivyohivyo. kama umesahau Uingereza iliwahi kuomba zile hela za kununua nyumba zichunguzwe serekali ikajifanya kichwa ngumu sasa 2015 ndio utaona pale watakapokuja kusimamia uchaguzi hapa watumwagie na mamashine ya kuhesabia kura utaona matokeo yatakuwa kma haya ya wakenya tu. Kama umesahau hata uchaguzi ulipita matokeo yalianza kuflow kwa mtindo huo mara ikatungwa seria ya haraka kuwa hakuna kutangaza matokeo kutoka majimboni na wakaa nayo wakacheza nayo ndio wakatupa bomu hili tulilonalo wengo ngoja kwanza baba yako mwenyewe sijui hata kama afya yake itamruhusu kufika 2015 na akifika hatutaki kuja kupepea bendera nusu mlingoti na kurudia uchaguzi maana una gharama sana