Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Kweli kabisa na ukabila kenya haujaanza leo ma wenyewe wanaona ni kawaida!
Nyinyi mnaoshangaa ukabila kwa sababu ni wageni wa siasa za Kenya. Maeneo pekee ambako hamna ukabila ni Mombasa na huko nako kuna udini instead of ukabila.
Hakuna mtu anayeshinda uchaguzi Kenya bila ukabila kama jinsi Bongo ilivyokuwa haiwezekani kushinda uchaguzi bila rushwa.