March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

Masanja , Mkuu , kwanza sioni sababu ya kwenda mahakama kwa sasa , kama hiyo sheria waliitunga wenyewe wakenya , na hawakuona tatizo lolote hadi hapa imegusa maslahi ya baadhi ya watu ,itatumike hivyo hivyo , labda kuibadilisha baada ya shughuli za uchaguzi huu kukamilika.
Pili , logically , wako sahihi , ni lazima kura zilizoharibika ziwe included katika total % , ebu fikiria scenario hii, ikitokea % kubwa ya kura zimeharibika (tuchukilie 40 % ya kura zote zilizopigwa) , je unaona ni halali mshindi kupewa kupewa cheo kwa kutumia 60% tu ya kura halali , yaani mtu anashinda >50% kwa kutumia hako ka portion ka 60% tu ?
BTW: Hata TZ tunahesabu kura zilizoharibika na kuzi jumlisha katika matokeo ya jumla.

Kiongozi hapa logic is simple.

Mfano umepewa chaguo la jembe na nyundo. Wewe ukachagua shoka. Waweza sema kwamba inabidi chaguo lako lihesabiwe? My point is; Kura iliyoharibika siyo kura, na hivyo haiwezi kuhesabiwa kwa sababu haikukidhi mahitaji ya kuitwa kura. Mkuu ndo maana serikali nyingi na donors (kwa vinchi masikini) wanajitahidi sana na hii voters education au elimu kwa wapiga kura. Ni kuavoid challenges kama hizi. Otherwise ukisema uhesabu na kura zilizoharibiwa that will certainly lead to injustice. Its complicated but thats the sad reality especially kwenye jamii ambapo swala la kupiga kura bado halijapewa kipaumbele and can be exploited for benefit ya wahusika. In anycase, kama kura imeshakuwa declared invalid its then useless and cannot whatsoever reflect the final tally. Ndo maana kupiga kura ni one of the most serious exercise for any citizen. As they say : You vote. We count the votes. So if you aint careful you can vote and your vote will have no impact at all.

Masanja
 
Kiongozi hapa logic is simple.

Mfano umepewa chaguo la jembe na nyundo. Wewe ukachagua shoka. Waweza sema kwamba inabidi chaguo lako lihesabiwe? My point is; Kura iliyoharibika siyo kura, na hivyo haiwezi kuhesabiwa kwa sababu haikukidhi mahitaji ya kuitwa kura. Mkuu ndo maana serikali nyingi na donors (kwa vinchi masikini) wanajitahidi sana na hii voters education au elimu kwa wapiga kura. Ni kuavoid challenges kama hizi. Otherwise ukisema uhesabu na kura zilizoharibiwa that will certainly lead to injustice. Its complicated but thats the sad reality especially kwenye jamii ambapo swala la kupiga kura bado halijapewa kipaumbele and can be exploited for benefit ya wahusika. In anycase, kama kura imeshakuwa declared invalid its then useless and cannot whatsoever reflect the final tally. Ndo maana kupiga kura ni one of the most serious exercise for any citizen. As they say : You vote. We count the votes. So if you aint careful you can vote and your vote will have no impact at all.

Masanja

Mimi nimekumbuka kura za maruhani zilizopigwa kisiwani pemba mwaka 2001 au 2002 kama nakumbuka vizuri. Baada ya wagombea wa CUF kuwekewa mapingamizi na NCCR Mageuzi na tume ya Taifa ya uchaguzi kuwaengua wananchi wengi walipiga kura za maruhani. Ilikuwa inatokea mgombea uwakilishi anapata 3% ya kura zote zilizopigwa huku kura za maruhani zikiwa 97% sasa hapo sidhani kama ni sahihi kusema kuwa muwakilishi aliyeshinda kwa staili hiyo anawakilisha matakwa ya wananchi waliopiga kura.

Kwa mantiki hiyo maana ya kupata ushindi wa 50%+ ni kwamba kiongozi awe anayekubalika angalau na kiasi kikubwa cha wananchi anaokwenda kuwaongoza. Vinginevyo ilitakiwa kuwa clearly defines katika katiba yao juu ya kura zote zinazopigwa na kutaja kura halali.
 
Kiongozi hapa logic is simple.

Mfano umepewa chaguo la jembe na nyundo. Wewe ukachagua shoka. Waweza sema kwamba inabidi chaguo lako lihesabiwe? My point is; Kura iliyoharibika siyo kura, na hivyo haiwezi kuhesabiwa kwa sababu haikukidhi mahitaji ya kuitwa kura. Mkuu ndo maana serikali nyingi na donors (kwa vinchi masikini) wanajitahidi sana na hii voters education au elimu kwa wapiga kura. Ni kuavoid challenges kama hizi. Otherwise ukisema uhesabu na kura zilizoharibiwa that will certainly lead to injustice. Its complicated but thats the sad reality especially kwenye jamii ambapo swala la kupiga kura bado halijapewa kipaumbele and can be exploited for benefit ya wahusika. In anycase, kama kura imeshakuwa declared invalid its then useless and cannot whatsoever reflect the final tally. Ndo maana kupiga kura ni one of the most serious exercise for any citizen. As they say : You vote. We count the votes. So if you aint careful you can vote and your vote will have no impact at all.

Masanja
Masanja , nadhani Mwita Maranya ametoa mfano mzuri na wenye uhalisia ,unadhani hapo ukipewa ushindi kweli ni halali , hiyo ndo demokrasia unayoizungumzia ? Na hii ndo sababu halisi ya kujumlisha kula zilizoharibika

Mimi nimekumbuka kura za maruhani zilizopigwa kisiwani pemba mwaka 2001 au 2002 kama nakumbuka vizuri. Baada ya wagombea wa CUF kuwekewa mapingamizi na NCCR Mageuzi na tume ya Taifa ya uchaguzi kuwaengua wananchi wengi walipiga kura za maruhani. Ilikuwa inatokea mgombea uwakilishi anapata 3% ya kura zote zilizopigwa huku kura za maruhani zikiwa 97% sasa hapo sidhani kama ni sahihi kusema kuwa muwakilishi aliyeshinda kwa staili hiyo anawakilisha matakwa ya wananchi waliopiga kura.

Kwa mantiki hiyo maana ya kupata ushindi wa 50%+ ni kwamba kiongozi awe anayekubalika angalau na kiasi kikubwa cha wananchi anaokwenda kuwaongoza. Vinginevyo ilitakiwa kuwa clearly defines katika katiba yao juu ya kura zote zinazopigwa na kutaja kura halali.

Sasa ni wakati muafaka kwa sisi watanzania twende mbele zaidi kwa kuingiza sheria itakayotambua hata na idadi ya wapiga kura waliojitokeza , kama itakua chini ya 60 % ya watu wote waliojiandikisha , huo uchaguzi hautakuwa halali ,lazima kitu kifanyake , ili matakwa halisi ya wananchi yawakilishwe.
Inakuwaje turn out ya iwe <50 % halufu uwe mshindi halali wa kidemokrasia
 
Last edited by a moderator:
Masanja , nadhani Mwita Maranya ametoa mfano mzuri na wenye uhalisia ,unadhani hapo ukipewa ushindi kweli ni halali , hiyo ndo demokrasia unayoizungumzia ? Na hii ndo sababu halisi ya kujumlisha kula zilizoharibika



Sasa ni wakati muafaka kwa sisi watanzania twende mbele zaidi kwa kuingiza sheria itakayotambua hata na idadi ya wapiga kura waliojitokeza , kama itakua chini ya 60 % ya watu wote waliojiandikisha , huo uchaguzi hautakuwa halali ,lazima kitu kifanyake , ili matakwa halisi ya wananchi yawakilishwe.
Inakuwaje turn out ya iwe <50 % halufu uwe mshindi halali wa kidemokrasia
labda mpaka pale hizo nafasi zote za juu za tume ya uchaguzi recruitment yake zikisimamiwa na Deloitte & Touche. Mbali na hapo watakaa mabingwa wa kukubali uongo na kutofuata sheria
 
Mkuu wangu,kweli inashangaza sana kura zaidi ya laki 3 sio kitu kidogo hicho!
.
NOW we come to realise that some men are not ready for course of change to happen as they should happen. this is the source fierce grievances that will be manifested by proponents of democracy. surely if some men and women took an oath of allegiance not let some men from certain ethnic groups into the Nairobi state house within the republic of kenya we cant avoid to worry about what is likely to be subjugated against the will of populi volli .
 
Binafsi mimi napongeza kusimamisha hayo matokeo kwani kitu mbaya ilikuwa inaenda kutokea!

Kuna engineer mmoja wa safaricom ambaye matokeo alikuwa anayadoctor kabla ya kuyarusha HOUSE OF BOMASI na tume kuyarusha bila hata kudhibitisha! Baada ya kustuka tume imekodisha hadi chopa kuwafuata wawakilishi toka majimbo yote kuja Nairobi physically ili waweze kuhakiki yale yaliokwisha tangazwa na ambayo bado basi sasa hivi hakuna kupitia safaricom ni mwendo wa manual!

Nafikiri ni hatua nzuri kwa amani ya kenya na husisahau tume ina siku saba za kutangaza maatokeo na sasa ndo tunakaribia 48hrs.
 
ukitazama uwiano wa wingi wa population za KIKUYU NA LUO utaona tu kuwa Odinga hawezi kushinda, ajiandae tu kusababisha machafuko mengine.
 
We subiri
Raila Odinga atangazwe mshindi baaaaasi...hayo mengine maigizo kuonesha kama kuna umakini wa hali ya juu.....
 
Ni kuendeleza utamaduni wa uchakachuaji chini ya uratibu wa Jangili wa kimataifa "Kiaina ina"
 
Decision making sometimes envolve both electronical and manual simplification to reach the concrete solution so as to decide who is who,which is which,when is when and how because is coming from.
 
Hawana lolote zaidi ya kutubadilishia sura za watangazaji kwenye luninga huku hatuoni asilimia zikipanda, yaani tangu juzi hadi leo hawajahesabu kura milioni 6!
 
Back
Top Bottom