Marefa kutoka Saudi Arabia waondolewa kuchezesha Kombe la Dunia, Urusi 2018

Marefa kutoka Saudi Arabia waondolewa kuchezesha Kombe la Dunia, Urusi 2018

Kunguru Mjanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2012
Posts
2,046
Reaction score
3,971
Shirikisho la Mpira wa Miguu Dunia, FIFA limemuondoa Refa Fahad Al-Mirdasi na timu nzima ya Marefa kutoka nchini ya Saudi Arabian katika orodha ya Marefa watakaochezesha mechi za Kombe la Dunia nchini Urusi mwaka huu

Fahad.jpg


FIFA imefikia uamuzi huo baada ya refa Al-Mirdasi kufungiwa maisha kujihusisha na masuala ya mpira nchini Saudi Arabia kutokana na kujihusisha na upangaji wa matokeo ya mechi. Inasemekana aliomba fedha kutoka kwa timu moja ili kuisaidia kushinda mchezo wa fainali

Refa huyo, Fahad Al-Mirdasi ametoa kadi nyingi nyekundu kwa muda ambao amekuwa akichezesha mechi nchini Saudi Arabia

IMG_20180530_201902.jpg


Marefa wawili kutoka Japan na Umoja wa nchi za Kiarabu Emirate ndio wataenda kwenye michuano hiyo ya Kombe la Dunia kama mbadala wa timu ya Marefa kutoka Saudi Arabia
 
Shirikisho la Mpira wa Miguu Dunia, FIFA limemuondoa Refa Fahad Al-Mirdasi na timu nzima ya Marefa kutoka nchini ya Saudi Arabian katika orodha ya Marefa watakaochezesha mechi za Kombe la Dunia nchini Urusi mwaka huu

View attachment 790082

FIFA imefikia uamuzi huo baada ya refa Al-Mirdasi kufungiwa maisha kujihusisha na masuala ya mpira nchini Saudi Arabia kutokana na kujihusisha na upangaji wa matokeo ya mechi. Inasemekana aliomba fedha kutoka kwa timu moja ili kuisaidia kushinda mchezo wa fainali

Refa huyo, Fahad Al-Mirdasi ametoa kadi nyingi nyekundu kwa muda ambao amekuwa akichezesha mechi nchini Saudi Arabia

View attachment 790083

Marefa wawili kutoka Japan na Umoja wa nchi za Kiarabu Emirate ndio wataenda kwenye michuano hiyo ya Kombe la Dunia kama mbadala wa timu ya Marefa kutoka Saudi Arabia
wanaweza kuja na mabomu
 
Wameungana na Uingereza yote ambayo haijatoa mwamuzi hata mmoja
 
Back
Top Bottom