Marefa mlindeni huyu dogo, atakuja kufia uwanjani

Marefa mlindeni huyu dogo, atakuja kufia uwanjani

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Kama ningekuwa refa yeyote atayembutua huyu dogo kiwango hiki ni red card. Nadhani ukilima kadi wawili hawatarudia. Kinachomsaidia ni kuwa flexible na anapiga judo, tofauti na hapo angeshafunjika viungo.

Screenshot_20210108-072019_Chrome.jpg
 
View attachment 1671439

Kama ningekuwa refa yeyote atayembutua huyu dogo kiwango hiki ni red card. Nadhani ukilima kadi wawili hawatarudia. Kinachomsaidia ni kuwa flexible na anapiga judo,tofauti na hapo angeshafunjika viungo
Hiyo ya Kwanza naikumbuka mkuu ilikua mbaya sana unaweza ukaogopa Kwa akina sisi muda huu tungekua tushaekewa piopio la mkono..
 
Hana akili huyo,anapiga chenga anaacha mpira unaenda kushoto yeye anaenda kupalamia migongo ya watu.

Atakufa kweli uwanjani anapuga chenga huku anawaza majukwaa
Dogo ni hatari sana akianza mikimbio yake mpenyezo!Msemo huo ni kwa hisani ya wachambuzi mahiri wa Azam Tv!
 
Marefa wawalinde washambuliaji wa Simba kwa umakini mkubwa sana.
Sabababu nini hasa ya kuwafyatua mi-kungfuu wachezaji wa Simba uwanjani na referies wote wanaona na awatoi adhabu kali.
 
Nilichukia sana alivyoinuka apo mzima, nilitaka avunjike vunjike kabsa
 
Hana akili huyo, anapiga chenga anaacha mpira unaenda kushoto yeye anaenda kupalamia migongo ya watu.

Atakufa kweli uwanjani anapuga chenga huku anawaza majukwaa
Jinga sana hilo.
 
Back
Top Bottom