Marefa wetu ndiyo wanaiponza Yanga kimataifa

Marefa wetu ndiyo wanaiponza Yanga kimataifa

Frustration

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,134
Reaction score
4,124
Yanga ni sikio la kufa, halisikii dawa. Janja janja za GSM kwenye ligi letu ni matokeo yake haya. Haiwezikani ushinde kwa mipango mipango na kihuni kihuni halafu uweze kufanikiwa. Nikikumbuka game ya Yanga na Azam au Penalty waliyopewa juzi narudia kusema tena MAREFARII wetu ndiyo wanaoiharibu Yanga.

Yanga ni kama fisi sasa anakula kwa ujanja ujanja tu, yaani game anaua Said Hersy na Mayele na wenzake wanakula mizoga tu. Hyena depends on easily meals and never hunts. Yanga haikutani na challenge kubwa uwanjani kama ambavyo Simba anakumbana na upinzani mkubwa.

NB: Wakati marefa wanaidhoofisha Yanga, Yanga wenyewe wanaiimarisha Simba SC kimataifa kwa kuongea na mpinzani wa Simba ndani na nje ya ligi.
 
YANGA ni sikio la kufa halisikii dawa. Janja janja za GSM kwenye ligi letu ni matokeo yake haya. Haiwezikani ushinde kwa mipango mipango na kihuni kihuni alafu uweze kufanikiwa. Nikikumbuka game ya Yanga na Azam au Penalty waliyopewa juzi narudia kusema tena MAREFARII wetu ndio wanaoiharibu yanga.
Yanga ni kama fisi sasa anakula kwa ujanja ujanja tu yaani game anaua Said Hersy na Mayele na wenzake wanakula mizoga tu. Hyena depends on easily meals and never hunts.
Yanga haikutani na challenge kubwa uwanjani kama ambavyo simba anakumbana na upinzani mkubwa.
Nb, wakati marefa wanaidhoofisha yanga ,Yanga wenyewe wanaiimarisha Simba Sc kimataifa kwa kuongea na mpinzani wa Simba ndani na nje ya ligi
BIASHARA YA KUNUNUA MAREFA LIGI KUU imeila YANGA Shirikisho
 
Umeandika ukweli mtupu ila wao wanahisi kocha wao ni mzuri ligi ya ndani halaf nje mbovu. Ushindi wa Yanga kwenye baadhi ya mechi kwenye ligi umekuwa na ukakasi, fuatilia mechi zote Yanga alizoshinda dhidi ya Geita toka mwaka jana utagundua hilo. Huwenda wangiwa wanaachwa washinde kwa jasho wangesharekebishaga makosa yao wakawa imara ila wao wanafurahia ushindi wa mbeleko.

Tatizo la Yanga wameaminishwa wao ni bora kuliko Simba hasa kwenye mechi za ndani kitu ambacho binafsi sikubaliani nacho. Simba wanashinda mechi za ligi kwa jasho na damu, Yanga wakikutana na mechi yenye upinzani mkali kuna namna inafanyika lazima wapate ushindi mfano mzuri mechi yao na Azam, pia Geita.

Ukizoea kuiba mtihani wa ndani siku ukikutana na mtihani wa Taifa kufeli kupo nje nje. Haiwezekani Yanga ikawa bora ndani halafu nje wa bovu, ni sawa na kusema mwanafunzi anaewaongoza wenzake mtihani wa ndani halafu mitahini ya ujirani mwema awe anafeli hapo lazima kutakuwa na mashaka.
 
Yanga ni sikio la kufa, halisikii dawa. Janja janja za GSM kwenye ligi letu ni matokeo yake haya. Haiwezikani ushinde kwa mipango mipango na kihuni kihuni halafu uweze kufanikiwa. Nikikumbuka game ya Yanga na Azam au Penalty waliyopewa juzi narudia kusema tena MAREFARII wetu ndiyo wanaoiharibu Yanga.

Yanga ni kama fisi sasa anakula kwa ujanja ujanja tu, yaani game anaua Said Hersy na Mayele na wenzake wanakula mizoga tu. Hyena depends on easily meals and never hunts. Yanga haikutani na challenge kubwa uwanjani kama ambavyo Simba anakumbana na upinzani mkubwa.

NB: Wakati marefa wanaidhoofisha Yanga, Yanga wenyewe wanaiimarisha Simba SC kimataifa kwa kuongea na mpinzani wa Simba ndani na nje ya ligi.
Na kibaya zaidi ni hao wanaojiita wachambuzi wa mpira.Asilimia kubwa wanaisifu na kuwapa kichwa sana wachezaji.
Ukuangalia MVP wa Tanzania hadi unajiuliza hivi sisi mambo huwa tunayapelekaje?!!Yaani huyu huyu Bangala mbona wa kawaida sana?!

Uhalisia wa timu unaiona mechi za kimataifa. Huu ndio uhalisia wa hii timu.
Waache michezo ya kihuni kwenye ligi,maana walidanganywa na wachambuzi eti Simba anashinda kihuni
 
Na kibaya zaidi ni hao wanaojiita wachambuzi wa mpira.Asilimia kubwa wanaisifu na kuwapa kichwa sana wachezaji.
Ukuangalia MVP wa Tanzania hadi unajiuliza hivi sisi mambo huwa tunayapelekaje?!!Yaani huyu huyu Bangala mbona wa kawaida sana?!

Uhalisia wa timu unaiona mechi za kimataifa. Huu ndio uhalisia wa hii timu.
Waache michezo ya kihuni kwenye ligi,maana walidanganywa na wachambuzi eti Simba anashinda kihuni
Waki ambiwa Simba ni ya 11 Afrika kwa viwango vya ubora wanakejeri. Kwamba wao ndio bora zaidi.

Wakiambiwa wao kwa Afrika hata top 50 hawapo wanakejeri eti wanaonewa.

Ukitaka kuijua Yanga iangalie kwenye mechi za Kimataifa.

Mechi aliyo onekana bora ni ile dhidi ya Zalan FC.

Ila Sasa Yanga icheze na Ruvushuting utaamini wanaweza kuchukua ubingwa Wa dunia kabisa, na haina mshindani hapa Afrika.

Feitoto anapiga mashuti mazito yamenyooka hata kipa hayaoni anasikia nyavu zinatikisika tu.

Mayele ndo anatetema kila baada ya nusu saa.
 
Yanga ni sikio la kufa, halisikii dawa. Janja janja za GSM kwenye ligi letu ni matokeo yake haya. Haiwezikani ushinde kwa mipango mipango na kihuni kihuni halafu uweze kufanikiwa. Nikikumbuka game ya Yanga na Azam au Penalty waliyopewa juzi narudia kusema tena MAREFARII wetu ndiyo wanaoiharibu Yanga.

Yanga ni kama fisi sasa anakula kwa ujanja ujanja tu, yaani game anaua Said Hersy na Mayele na wenzake wanakula mizoga tu. Hyena depends on easily meals and never hunts. Yanga haikutani na challenge kubwa uwanjani kama ambavyo Simba anakumbana na upinzani mkubwa.

NB: Wakati marefa wanaidhoofisha Yanga, Yanga wenyewe wanaiimarisha Simba SC kimataifa kwa kuongea na mpinzani wa Simba ndani na nje ya ligi.
Yanga ni kama fisi sasa anakula kwa ujanja ujanja tu, yaani game anaua Said Hersy na Mayele na wenzake wanakula mizoga tu. Hyena depends on easily meals and never hunts. Yanga haikutani na challenge kubwa uwanjani kama ambavyo Simba anakumbana na upinzani mkubwa.
 
Waki ambiwa Simba ni ya 11 Afrika kwa viwango vya ubora wanakejeri. Kwamba wao ndio bora zaidi.

Wakiambiwa wao kwa Afrika hata top 50 hawapo wanakejeri eti wanaonewa.

Ukitaka kuijua Yanga iangalie kwenye mechi za Kimataifa.

Mechi aliyo onekana bora ni ile dhidi ya Zalan FC.

Ila Sasa Yanga icheze na Ruvushuting utaamini wanaweza kuchukua ubingwa Wa dunia kabisa, na haina mshindani hapa Afrika.

Feitoto anapiga mashuti mazito yamenyooka hata kipa hayaoni anasikia nyavu zinatikisika tu.

Mayele ndo anatetema kila baada ya nusu saa.
Hata ile ya zalan kuna namna walikuwa wanafanya kipindi cha pili. Haiwezekani mechi zote mbili washindwe kufunga kipindi cha kwanza halafu kipindi cha pili magoli 4.

Nahisi kipindi cha pili viongozi wa zalan walikuwa wanapokea bahasha toka kwa GSM ili wapate nauli ya kuwarudisha kwao sudan

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Mwana Jangwani mwenzao Mzee JK alishawaeleza
 

Attachments

  • ba1e5b4118ec4d138e9f8d67da051ca5.mp4
    1,006.9 KB
Waki ambiwa Simba ni ya 11 Afrika kwa viwango vya ubora wanakejeri. Kwamba wao ndio bora zaidi.

Wakiambiwa wao kwa Afrika hata top 50 hawapo wanakejeri eti wanaonewa.

Ukitaka kuijua Yanga iangalie kwenye mechi za Kimataifa.

Mechi aliyo onekana bora ni ile dhidi ya Zalan FC.

Ila Sasa Yanga icheze na Ruvushuting utaamini wanaweza kuchukua ubingwa Wa dunia kabisa, na haina mshindani hapa Afrika.

Feitoto anapiga mashuti mazito yamenyooka hata kipa hayaoni anasikia nyavu zinatikisika tu.

Mayele ndo anatetema kila baada ya nusu saa.
Vipimo wanvyotumia kuiona Yanga ni bora sijawahi kukielewa maana hawatumii rank za CAF wala za FIFA naona kama wanapiga bomu mortuary tu
 
Sisi Yanga tupo imara sana.Mtakufa kwa kutuonea gere!Acheni wivu.
japo sina ushabiki wa mpira ila hapa umeongea ujinga hakuna timu bongo itaona wivu kwa kushinda mechi za ligi dhaifu mapambano yapo kimataifa mnakoenda kukutana na timu na marefa makini.

msemaji wenu ashasema mnaionea simba wivu kisifiwa na mh. raisi suluhu , manara hakukosea kusema yanga wenye akili ni wawili tu
 
hivi mashabiki wa yanga now wanajiskiaje wwliangalia simba anapeta kimataifa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23].

si nilikua naskiaga yanga ya kimataifa ndo hii hii au hyo kimataifa walienda lini ili kupata hyo title.
 
hivi mashabiki wa yanga now wanajiskiaje wwliangalia simba anapeta kimataifa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23].

si nilikua naskiaga yanga ya kimataifa ndo hii hii au hyo kimataifa walienda lini ili kupata hyo title.
...
IMG-20221102-WA0013.jpg
 
Back
Top Bottom