Marefa wetu ndiyo wanaiponza Yanga kimataifa

Haibadilishi ukweli kwamba sisi Yanga ni byutibyuti.😂😂😂
 
Na wewe sijui ndo umeandika Nini hapa sasa
 
Wewe ulichukua rushwa tulipokulamba ngao. Na Mtibwa ulimhonga siyo.
 
umeandika smart sana bro
 
Nikikumbuka game ya Yanga na Azam au Penalty waliyopewa juzi narudia kusema tena MAREFARII wetu ndiyo wanaoiharibu Yanga.
Unawasingizia tu, Yanga waandae timu kwa mashindano makubwa msimu ujao.
 
We ulitaka MVP awe nani?
 
Vipimo wanvyotumia kuiona Yanga ni bora sijawahi kukielewa maana hawatumii rank za CAF wala za FIFA naona kama wanapiga bomu mortuary tu
Bingwa ×28
Wewe uko caf una nini?
Wote bado tunajaribu
Yan ni sawa mtu aliyeishia darasa la 5 anamcheka aliyeishia la 3 na wote hakuna aliyehimu
Mbumbumbu nani kawaloga nenda caf Leta utapata heshima
We unapayuka tu kumbe bado mkia tu
 
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Your browser is not able to display this video.
 
Boss itabidi tukuajir Azam TV unalijua sana ball wewe
 
Boss itabidi tukuajir Azam TV unalijua sana ball wewe
Azam Tv wana balance mambo ya watani na hiyo ndio ethics zao ili wasichukiwe na upande mmoja. Mambo ya kuchukua fomu watu 49 na akarudisha mmoja naye alipita bila kupingwa Azam Media walikaa kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…