Marehemu Babu na mbinu za kuwapata wanawake wengi

Marehemu Babu na mbinu za kuwapata wanawake wengi

Status
Not open for further replies.

Gily Gru

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
8,632
Reaction score
23,673
Mwaka 2003, safari yangu ya kwenda Tanga iliiva kutoka mkoani Kilimanjaro, kwa babu mzaa baba, kuelekea Tanga kwa babu mzaa mama. Siku hiyo nyumbani kwa babu kulikuwa na sherehe, basi watu walikula na kucheza sana. Wakati wa kucheza babu akanikuta niko nimeshikilia jimama nacheza nalo, ile kuniona alicheka sana mana lilikuwa jimama kweli paje lake mwili wangu. Sherehe ilipoisha nakumbuka marehemu babu aliniita na kuniambia wakati wako ushafika kesho lazima uingie kilingeni.

Sikumwelewa babu nikajua pombe ziko kichwani, kila mtu akaenda kulala siku ikapita.Kesho asubuhi baada ya kifungua kinywa marehemu babu alinambia ukimaliza twende tutete. Tukiwa tunateta akaniuliza “ushawahi kupanda tetea?”. Mie nikabaki nacheka tu mana niliona babu yangu mambo meng. Akanambia “wewe ni mjukuu wangu wa kiume kwa hiyo nataka nikufundishe namna ya kulala na wanawake wengi sana bila kutumia nguvu nyingi. Akaanza kujigamba kwanza nimekaza wasichana kijiji kizima, kwa shauku nikataka kujua Zaidi.

Mbinu ya kwanza aliyonipa mrehemubabu:
Ukitaka kulala na msichana na marafiki zake basi umpe sababu ya kwenda awasimulie marafiki zake. Pale msichana anapoona utofauti au akastaajabishwa basi lazima aende kuwasimulia mashosti zake, na wale mashosti zake watataka kukujua pia hapo utakuwa umeua ndege wengi kwa jiwe moja. Nikamuliza marehemu babu “wewe unatumia mbinu gani kuwastaajabisha wasichana uliolala nao na mashosti zake???

Babu Alinisimulia alivyokaza kijiji kizima, yeye akitongoza msichana siku ya mchezo marehemu babu alikuwa anavaa shanga. Marehemu babu alikuwa anakula mzigo huku katingaa shanga zake kiunoni, mchezo ukiisha yule msichana anaenda kusimuliza wenzake “yule mdigo anavaa shanga”. Wale wenzake wakawa wanajipendekeza kwa marehemu babu ili naowazione zile shanga na watataka walale na nae ili wazione. Kesho yake akiwa na mashosti wa msichana aliyetembea nae havai shanga, anastaajabishwa mbona hakuvaa shanga atataka mchezo urudiwe mpaka azione. Michezo hiyo akajikuta kala mademu wote kijiji kizima kipindi hicho mpaka akatundikwa jina Mdogo Mapenzi.

Nikamwambia marehemu babu hilo mie siliwezi labda anipe mbinu nyingine, akacheka sana akasema yani watoto wa kizazi hiki waoga sana.

Mbinu ya pili aliyonipa marehemu babu :
Marehemu babu akanambia njia ya pili ya kupata wanawake wengi ni kutengeneza busha. Yeye alivyotengeneza lake liliwavutia wanawake wengi sana kwani wengi wanakuwa na hamu ya kutaka kuliona tu na lina joto sana. Babu alinambia demu akionja lile joto akikutana na mwanaume asiye na joto lile jawezi mfikisha popote pale.

Nakumbuka siku moja tukiwa tuko mtoni tunaogelea na vijana wenzangu marehemu babu akaja akatutimua. Nakumbuka nilienda kurudi nikamchabo marehemu babu yuko juu ya maji anaogelea akiawa ametulia akawa anasukuma lile busha na kidole liingie kwenye maji alafu analiachia linakuwa linacheza cheza kwenye yale maji kama mtumbwi linanesanesa chini juu chini juu marehemu babu anapiga kelele tu mwenyewe.

Tuendelee, marehemu babu akanambia “kesho nitakupeleka kwa rafiki yangu akutengeneze kibusha kidogo”, nikamjibu “hapana babu nipe mbinu nyingine”. Akanangalia akatikisa kichwa tu kana kwamba namkwaza.

Mbinu ya tatu aliyonipa marehemu babu:
Marehemu babu alinambia inabidi utafute dodoki au mpapai unaozaa vizuri sana. Ukiupata chukua wembe jichane chale mbili kwenye dushe na uchane kwenye dodoki au papai chale mbili na ule utomvu uupake kwenye dushe na ile damu uipake kwenye ule mpapai au dodoki ulilolichana. Basi hapo papai/dodoki litakavyokuwa na dushe litakuwa linakuwa. Likiwa kubwa kiasi unachotaka basi ukate ule mpapai/dodoki.

Babu akasema “kuna mpapai uko hapo nyuma ya nyuma utakuwa unafaa kabisa”. Nikamjibu “Kwa kweli unavyonambia mbona vigumu kidogo babu kwa nini tusianze na mbinu nyepesi Marehemu babu aliuzunika sana akachukua mkongojo wake akanitandika nao kichwani toka na upuuzi wako hapa watoto wa mjini mayai sana nitokee hapa.

Nilimsumbua sana babu wakati wa uhai wake anipe hizo mbinu nyingine na aligoma kata kata mpaka nifanye moja ya mbinu alizonipa. Alichukia kwa kuwa alitegemea mie ndie nitavaa viatu vyake ila kwa kweli havikuwa saizi yangu.

Ila baada ya kumsumbua sana alinipa ushauri kuhusu wanawake wanaofaa basi itaendelea...
 
Ushahuri wa kwanza wa Maehemu Babu:

Ushauri wa kwanza kabisa marehemu babu alionipa ni kuwa pamoja na kutembea na wanawake wengi nyuma (nisile mobitel kabisa kwa sasa vijana wanaiita tigo). Marehemu babu alidai ni ngumu kumridhisha mwanamke anayeliwa nyuma kwa hiyo achana nao kabisa na wewe usije kula ni HARAM. Ukila nyuma ni kuchafu sana utapata matatizo na mikosi katika maisha yako na wengi walaji nyuma anaowajua maisha yao ni ya fedheha, shida, mikosi, nuksi nk. Huwa hawaridhiki mpaka wahisi harufu ya mavi au wachezee mavi, saikoloji yao haiko sawa. Nakumbuka nilicheka sana kwa sababu babu alitumia neno saikoloji kwangu lilikuwa la kidhungu kidogo kipindi kile.

Nakumbuka marehemu babu alinisimulia “Kuna siku nililipata mwanamke basi cheza ngoma cheza mdundiko yule msichana yupo na ndo kama kaamka anakojoa tu ila haridhiki. Nikajua hawa hawa ndo wanaopendaga nyuma masaa mawili bado yupo tu; basi nikamwinamisha nikapanua matako nikajaza hewa mdomoni na nikapuliza ndani ya matako ya yule mwanamke. Nilipuliza kama kwa dakika nne hivi, nilivyoyaachia tu yale matako nakwambia ulitoka ushuzi mwingi hatari, nikachukua kidole nikaziba pale kunako kupunguza ushuzi. Nikawa nauachia lile shuzi litoke kidogo kidogo, Kwa zile raha yule mwanamke alijikuta anakojoa na kuridhika”. Alinisisitizia sana kuwa wanawake wa namna hiyo yeye alikuwa hawataki kabisa.

Ushauri wa pili babu alinisimulia kuwa nisilale na mwnamke aliye kwenye siku zake hata siku moja. Kikwetu ni laana kubwa sana na ukifanya hivyo utapata yale manuksi na mikosi kama ile ya kula nyuma.

My late grandfather gave me a lot of advices and I remember him for that. I am too tired to write all the things he simply told me about women. He loved women alright, I will simply mention few
  • The older they get, the easier they are to pick up.
  • Single mothers are easy to get
  • Do not sleep with a married woman at all, there are enough fishes on the sea
  • Kaza style nyingi kwa mkupuo mmoja usikae na style moja tu
 
Babu mvaa shanga alikuwa hatari...

Aisee acha tu babu alikuwa msumari enzi ya ujana wake alikuwa na vituko sana.

Kuna siku alikimbizwa uchi na maaskari, alitembea na mwanamke flani hivi, kosa lake walifanya uwanjani sasa wale maaskari wakawakuta wakaanza kuwakimbiza, babu akala njia yake na yule mwanamke akala njia yake.

Basi babu alikimbia akifika mbele anawasubiria na kuwachokoza, ikawa mchezo wanamkimbiza wanasimama wanamkimbiza wanasimama. Nilisimuliwa babu akawa anaruka ruka huku dushe linacheza linajipiga pembeni ya mapaja huku. Maaskari wanamuona huyu jamaa kavurugwa wakaondoka wakamuacha na njia zake

Nawazaga tu bibi alikuwa anamvumiliaje mana kwa vituko vyake vilikuwa vinakera sana
 
Ushahuri wa kwanza wa Maehemu Babu:

Ushauri wa kwanza kabisa marehemu babu alionipa ni kuwa pamoja na kutembea na wanawake wengi nyuma (nisile mobitel kabisa kwa sasa vijana wanaiita tigo). Marehemu babu alidai ni ngumu kumridhisha mwanamke anayeliwa nyuma kwa hiyo achana nao kabisa na wewe usije kula ni HARAM. Ukila nyumba ni kuchafu sana utapata matatizo na mikosi katika maisha yako na wengi walaji nyuma anaowajua maisha yao ni ya fedheha, shida, mikosi, nuksi nk. Huwa hawaridhiki mpaka wahisi harufu ya mavi au wachezee mavi, saikoloji yao haiku sawa. Nakumbuka nilicheka sana kwa sababu babu alitumia neon saikoloji kwangu lilikuwa la kidhungu kidogo kipindi kile,

Nakumbuka marehemu babu alinisimulia “Kuna siku nililipata mwanamke basi cheza ngoma cheza mdundiko yule msichana yupo na ndo kama kaamka anakojoa tu ila haridhiki. Nikajua hawa hawa ndo wanaopendaga tigo masaa mawili bado yupo tu; basi nikamwinamisha nikapanua matako nikajaza hewa mdomoni na nikapuliza ndani ya matako ya yule mwanamke. Nilipuliza kama kwa dakika nne hivi, nilivyoyaachia tu yale matako nakwambia ulitoka ushuzi mwingi hatari, nikachukua kidole nikaziba pale kunako kupunguza ushuzi. Nikawa nauachia lile shuzi litoke kidogo kidogo, Kwa zile raha yule mwanamke alijikuta anakojoa na kuridhika”. Alinisisitizia sana kuwa wanawake wa namna hiyo yeye alikuwa hawataki kabisa.

Ushauri wa pili babu alinisimulia kuwa nisilale na mwnamke aliye kwenye siku zake hata siku moja. Kikwetu ni laana kubwa sana na ukifanya hivyo utapata yale manuksi na mikosi kama ile ya kula nyuma.

My late grandfather gave me a lot of advices and I remember him for that. I am too tired to write all the things he simply told me about women. He loved women alright, I will simply mention few
  • The older they get, the easier they are to pick up.
  • Single mothers are easy to get
  • Do not sleep with a married woman at all, there are enough fishes on the sea
  • Kaza style nyingi kwa mkupuo mmoja usikae na style moja tu
I concur... Tena masingle maza unajigongea kirahisi sana na ni watamu. Na uzuri wao kuwabwaga ni rahisi tuu.
 
Mwaka 2003, safari yangu ya kwenda Tanga iliiva kutoka mkoani Kilimanjaro, kwa babu mzaa baba, kuelekea Tanga kwa babu mzaa mama. Siku hiyo nyumbani kwa babu kulikuwa na sherehe, basi watu walikula na kucheza sana. Wakati wa kucheza babu akanikuta niko nimeshikilia jimama nacheza nalo, ile kuniona alicheka sana mana lilikuwa jimama kweli paje lake mwili wangu. Sherehe ilipoisha nakumbuka marehemu babu aliniita na kuniambia wakati wako ushafika kesho lazima uingie kilingeni.

Sikumwelewa babu nikajua pombe ziko kichwani, kila mtu akaenda kulala siku ikapita.Kesho asubuhi baada ya kifungua kinywa marehemu babu alinambia ukimaliza twende tutete. Tukiwa tunateta akaniuliza “ushawahi kupanda tetea?”. Mie nikabaki nacheka tu mana niliona babu yangu mambo meng. Akanambia “wewe ni mjukuu wangu wa kiume kwa hiyo nataka nikufundishe namna ya kulala na wanawake wengi sana bila kutumia nguvu nyingi. Akaanza kujigamba kwanza nimekaza wasichana kijiji kizima, kwa shauku nikataka kujua Zaidi.

Mbinu ya kwanza aliyonipa mrehemubabu:
Ukitaka kulala na msichana na marafiki zake basi umpe sababu ya kwenda awasimulie marafiki zake. Pale msichana anapoona utofauti au akastaajabishwa basi lazima aende kuwasimulia mashosti zake, na wale mashosti zake watataka kukujua pia hapo utakuwa umeua ndege wengi kwa jiwe moja. Nikamuliza marehemu babu “wewe unatumia mbinu gani kuwastaajabisha wasichana uliolala nao na mashosti zake???

Babu Alinisimulia alivyokaza kijiji kizima, yeye akitongoza msichana siku ya mchezo marehemu babu alikuwa anavaa shanga. Marehemu babu alikuwa anakula mzigo huku katingaa shanga zake kiunoni, mchezo ukiisha yule msichana anaenda kusimuliza wenzake “yule mdigo anavaa shanga”. Wale wenzake wakawa wanajipendekeza kwa marehemu babu ili naowazione zile shanga na watataka walale na nae ili wazione. Kesho yake akiwa na mashosti wa msichana aliyetembea nae havai shanga, anastaajabishwa mbona hakuvaa shanga atataka mchezo urudiwe mpaka azione. Michezo hiyo akajikuta kala mademu wote kijiji kizima kipindi hicho mpaka akatundikwa jina Mdogo Mapenzi.

Nikamwambia marehemu babu hilo mie siliwezi labda anipe mbinu nyingine, akacheka sana akasema yani watoto wa kizazi hiki waoga sana.

Mbinu ya pili aliyonipa marehemu babu :
Marehemu babu akanambia njia ya pili ya kupata wanawake wengi ni kutengeneza busha. Yeye alivyotengeneza lake liliwavutia wanawake wengi sana kwani wengi wanakuwa na hamu ya kutaka kuliona tu na lina joto sana. Babu alinambia demu akionja lile joto akikutana na mwanaume asiye na joto lile jawezi mfikisha popote pale.

Nakumbuka siku moja tukiwa tuko mtoni tunaogelea na vijana wenzangu marehemu babu akaja akatutimua. Nakumbuka nilienda kurudi nikamchabo marehemu babu yuko juu ya maji anaogelea akiawa ametulia akawa anasukuma lile busha na kidole liingie kwenye maji alafu analiachia linakuwa linacheza cheza kwenye yale maji kama mtumbwi linanesanesa chini juu chini juu marehemu babu anapiga kelele tu mwenyewe.

Tuendelee, marehemu babu akanambia “kesho nitakupeleka kwa rafiki yangu akutengeneze kibusha kidogo”, nikamjibu “hapana babu nipe mbinu nyingine”. Akanangalia akatikisa kichwa tu kana kwamba namkwaza.

Mbinu ya tatu aliyonipa marehemu babu:
Marehemu babu alinambia inabidi utafite dodoki au mpapai unaozaa vizuri sana. Ukiupata chukua wembe jichane chale mbili kwenye dushe na uchane kwenye dodoki au papai chale mbili na ule utomvu uupake kwenye dushe na ile damu uipate kwenye ule mpapai au dododki ulilolichana. Basi hapo papai/dodoki litakavyokuwa na dushe litakuwa linakuwa. Likiwa kubwa kiasi unachotaka basi ukate ule mpapai/dodoki.

Babu akasema “kuna mpapai uko hapo nyuma ya nyuma utakuwa unafaa kabisa”. Nikamjibu “Kwa kweli unavyonambia mbona vigumu kidogo babu kwa nini tusianze na mbinu nyepesi Marehemu babu aliuzunika sana akachukua mkongojo wake akanitandika nao kichwani toka na upuuzi wako hapa watoto wa mjini mayai sana nitokee hapa.

Nilimsumbua sana babu wakati wa uhai wake anipe hizo mbinu nyingine na aligoma kata kata mpaka nifanye moja ya mbinu alizonipa. Alichukia kwa kuwa alitegemea mie ndie nitavaa viatu vyake ila kwa kweli havikuwa saizi yangu.

Ila baada ya kumsumbua sana alinipa ushauri kuhusu wanawake wanaofaa basi itaendelea...
hio ya mpapai nishawahi isikia ila sina uhakika nayo!
 
I concur... Tena masingle maza unajigongea kirahisi sana na ni watamu. Na uzuri wao kuwabwaga ni rahisi tuu.
Hahaha yani wewe hutaki kuhonga magari, viwanja na nyumba ndio maana unataka single mothers
 
hio ya mpapai nishawahi isikia ila sina uhakika nayo!

Kwa akili yangu tu nadhani ule utomvu unafanya dushe linavimba na watu wanasema ndio inaongeza ukubwa. Ubaya wake ukivimba vimba hata udinde vipi damu inakuwa haitoshi kubeba mzigo huu na unaweza pata matatizo ua uzazi pia..
 
Babu hatari huyu.ni mjizi wa mambo ya ngono.
Vipi uchumi wake uliweza kuimarika .



Sent using Jamii Forums mobile app

Uchumi wake ulikuwa mbovu sana
Nishawahi kuandika kwenye uzi humu kuhusu watu wa Tanga vs Kilimnjaro
Kwa kweli upande wangu wa Knjaro una maendeleo sana sana sana
Ila huku Tanga kwa kweli wavivu na mangoma tu hakuna jipya
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom