Marehemu Babu na mbinu za kuwapata wanawake wengi

Marehemu Babu na mbinu za kuwapata wanawake wengi

Status
Not open for further replies.
Kwa akili yangu tu nadhani ule utomvu unafanya dushe linavimba na watu wanasema ndio inaongeza ukubwa. Ubaya wake ukivimba vimba hata udinde vipi damu inakuwa haitoshi kubeba mzigo huu na unaweza pata matatizo ua uzazi pia..
niliwahi ambia na jamaa yangu nikiwa advance, aisee alivyosema habari za kuchanja dushe nikaona hapa kuna kuleteana ulemavu[emoji23][emoji23]


mimi mtu akiongelea habari za kuchanja chanja sehemu yoyote ya mwili huwa simwamini, labda iwe kupaka tu!!
 
niliwahi ambia na jamaa yangu nikiwa advance, aisee alivyosema habari za kuchanja dushe nikaona hapa kuna kuleteana ulemavu[emoji23][emoji23]


mimi mtu akiongelea habari za kuchanja chanja sehemu yoyote ya mwili huwa simwamini, labda iwe kupaka tu!!

Mie maswala ya kupaka paka madawa hata iwe wapi sipendelei. Unakuta mtu hata mtoto wa kusingiziwa hana na anataka aongeze dushe, kwani kuna mashindano duniani? Huko Tanga watu wanashindana sana kuwa na mabusha kana kwamba wanapata tuzo vile kumbe hakuna
 
Mie maswala ya kupaka paka madawahata iwe wapi sipendelei. Unakuta mtu hata mtoto wa kusingiziwa hana na anataka aongeze dushe, kwani kuna mashindano duniani? Huko Tanga watu wanashindana sana kuwa na mabusha kana kwamba wanapata tuzo vile kumbe hakuna
Busha zina grade zake babu alikuwa amemchagulia mjukuu kadogo kg 1.5 babu atakuwa na 5.5, kuna jamaa yangu anatoa huduma ukitaka busha tuwasiliane saiz tofauti tofauti
 
Busha zina grade zake babu alikuwa amemchagulia mjukuu kadogo kg 1.5 babu atakuwa na 5.5, kuna jamaa yangu anatoa huduma ukitaka busha tuwasiliane saiz tofauti tofauti

Nashukuru kwa ofa ndugu yangu mie nilishamwambia babu huko mie siwezi kabisa, Tanga mna mambo kweli kweli yani bado tu hadi sasa watu wanatengeneza mabusha?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom