niliwahi ambia na jamaa yangu nikiwa advance, aisee alivyosema habari za kuchanja dushe nikaona hapa kuna kuleteana ulemavu[emoji23][emoji23]Kwa akili yangu tu nadhani ule utomvu unafanya dushe linavimba na watu wanasema ndio inaongeza ukubwa. Ubaya wake ukivimba vimba hata udinde vipi damu inakuwa haitoshi kubeba mzigo huu na unaweza pata matatizo ua uzazi pia..
niliwahi ambia na jamaa yangu nikiwa advance, aisee alivyosema habari za kuchanja dushe nikaona hapa kuna kuleteana ulemavu[emoji23][emoji23]
mimi mtu akiongelea habari za kuchanja chanja sehemu yoyote ya mwili huwa simwamini, labda iwe kupaka tu!!
Huyo babu yako alikuwa anataka tu akukabizi mikoba ya ulozi, alikuwa anakulia timing
Busha zina grade zake babu alikuwa amemchagulia mjukuu kadogo kg 1.5 babu atakuwa na 5.5, kuna jamaa yangu anatoa huduma ukitaka busha tuwasiliane saiz tofauti tofautiMie maswala ya kupaka paka madawahata iwe wapi sipendelei. Unakuta mtu hata mtoto wa kusingiziwa hana na anataka aongeze dushe, kwani kuna mashindano duniani? Huko Tanga watu wanashindana sana kuwa na mabusha kana kwamba wanapata tuzo vile kumbe hakuna
Busha zina grade zake babu alikuwa amemchagulia mjukuu kadogo kg 1.5 babu atakuwa na 5.5, kuna jamaa yangu anatoa huduma ukitaka busha tuwasiliane saiz tofauti tofauti
Kipindi kile ilikuwa sera za ubinafsishaji, babu angekuwepo mpaka sasa magu asingemuacha salamaHivi babi yako hakujua kuwa kuna tanzania ya viwanda. Mbona ushauri wake hauendani na kaurimbiu ya taifa ya awamu hii
Sent using Jamii Forums mobile app