appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 5,262
- 2,184
Sote tunafaham ni Muigizaji (Msanii) lakini sio big fish kama Kanumba katika sanaa ya maigizo. Samata katika sanaa ya mpira. Diamond katika sanaa ya mziki. Mbowe katika siasa
Msanii Grace Mapunda ni msanii mkongwe asiejulikana yaani kitaalam tunaita famous unkown lakin msiba wake umekuwa mkubwa kama wa msanii mkubwa Tanzania.
Pia, soma: TANZIA - Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia
Mara ya kwanza naiona picha yake nikajiuliza nani huyu baada ya kuvuta picha ikaja picha yake.
Je, naye alikua anavaa suti nyeusi kwa siri kama mtangazaji wa Wasafi Mau Kikanga.
Maana wamekufa wasanii wengi lakini hakuna aliepewa nguvu kubwa na masikitiko mengi kama huyu
Pia soma: Chalamila ahimiza mfuko wa kwa ajili ya wasanii wa maigizo, Ofisi yake kutoa milioni 15
Msanii Grace Mapunda ni msanii mkongwe asiejulikana yaani kitaalam tunaita famous unkown lakin msiba wake umekuwa mkubwa kama wa msanii mkubwa Tanzania.
Pia, soma: TANZIA - Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia
Mara ya kwanza naiona picha yake nikajiuliza nani huyu baada ya kuvuta picha ikaja picha yake.
Je, naye alikua anavaa suti nyeusi kwa siri kama mtangazaji wa Wasafi Mau Kikanga.
Maana wamekufa wasanii wengi lakini hakuna aliepewa nguvu kubwa na masikitiko mengi kama huyu
Pia soma: Chalamila ahimiza mfuko wa kwa ajili ya wasanii wa maigizo, Ofisi yake kutoa milioni 15