Marehemu Grace Mapunda ni nani? Mbona Msiba wake umekuwa mkubwa sana

Marehemu Grace Mapunda ni nani? Mbona Msiba wake umekuwa mkubwa sana

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
Sote tunafaham ni Muigizaji (Msanii) lakini sio big fish kama Kanumba katika sanaa ya maigizo. Samata katika sanaa ya mpira. Diamond katika sanaa ya mziki. Mbowe katika siasa

Msanii Grace Mapunda ni msanii mkongwe asiejulikana yaani kitaalam tunaita famous unkown lakin msiba wake umekuwa mkubwa kama wa msanii mkubwa Tanzania.

Pia, soma: TANZIA - Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia

Mara ya kwanza naiona picha yake nikajiuliza nani huyu baada ya kuvuta picha ikaja picha yake.

Je, naye alikua anavaa suti nyeusi kwa siri kama mtangazaji wa Wasafi Mau Kikanga.

Maana wamekufa wasanii wengi lakini hakuna aliepewa nguvu kubwa na masikitiko mengi kama huyu

Pia soma: Chalamila ahimiza mfuko wa kwa ajili ya wasanii wa maigizo, Ofisi yake kutoa milioni 15
 

Attachments

  • image_search_1730729141244.jpg
    image_search_1730729141244.jpg
    35 KB · Views: 7
Fika leaders club ukiona V8 nyingi iwe point ya kwanza...... Na kule atakakozikwa ukiona ofisi ya DC inatoa Michele, maji na mahitaji mengine unajiongeza.

Sheria zao zinazuia kumtambukusha akuwa hai au mfu isipokuwa mkurugenzi mkuu.

Hata hivyo tunawatambua wake WA mikoa na wilaya na mara nyingine wawakikishi wao kwenye kazi mahususi za kitaifa.
 
Fika leaders club ukiona V8 nyingi iwe point ya kwanza...... Na kule atakakozikwa ukiona ofisi ya DC inatoa Michele, maji na mahitaji mengine unajiongeza.

Sheria zao zinazuia kumtambukusha akuwa hai au mfu isipokuwa mkurugenzi mkuu.

Hata hivyo tunawatambua wake WA mikoa na wilaya na mara nyingine wawakikishi wao kwenye kazi mahususi za kitaifa.
Hakuna lolote, alikuwa Msanii tu
 
Ameanza kuigiza tangu miaka ya 90, ila zaidi amefahamika mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakati ambapo kituo cha habari cha ITV kuanza kurusha tamthiliya zao.

Alikuwa anajua kubeba uhusika kwenye maigizo yake.

She will real be missed 😭
 
Anajulikana sana mzee labda wewe kwako hakua maarufu binafsi mimi nimeanza kumuona enzi hizo nikiwa mtoto miaka ya 2000s tulikua tunamuangalia kupitia ITV kila jumamosi saa 3 usiku, walikua wanaigiza na mzee mmoja anajiita Masinde, alikua anapendwa sana.
 
Anajulikana sana mzee labda wewe kwako hakua maarufu binafsi mimi nimeanza kumuona enzi hizo nikiwa mtoto miaka ya 2000s tulikua tunamuangalia kupitia ITV kila jumamosi saa 3 usiku, walikua wanaigiza na kina mzee masinde, alikua anapendwa sana.
Daaah kipindi 2000 ulikua mtoto mkuu...
Kumbe we wa 2000
 
Sote tunafaham ni Muigizaji (Msanii) lakini sio big fish kama

Kanumba katika sanaa ya maigizo

Samata katika sanaa ya mpira

Diamond katika sanaa ya mziki

Mbowe katika siasa

Msanii grace mapunda ni msanii mkongwe asiejulikana yaani kitaalam tunaita famous unkown lakin msiba wake umekuwa mkubwa kama wa msanii mkubwa Tanzania.

Mara ya kwanza naiona picha yake nikajiuliza nani huyu baada ya kuvuta picha ikaja picha yake.

Je, naye alikua anavaa suti nyeusi kwa siri kama mtangazaji wa Wasafi Mau Kikanga.

Maana wamekufa wasanii wengi lakini hakuna aliepewa nguvu kubwa na masikitiko mengi kama huyu
Ni Msanii maarufu sana na Mwenye kazi nyingi za Sanaa na Uigizaji wake sijaona Wa Kuziba pengo lake..
Pengine umri wako ni mika 20 au 30 Ulikuwa mdogo kipindi anaigiza..

Grace ni level sawa tu na Kanumba..
 
Back
Top Bottom