Marehemu Grace Mapunda ni nani? Mbona Msiba wake umekuwa mkubwa sana

Marehemu Grace Mapunda ni nani? Mbona Msiba wake umekuwa mkubwa sana

Inaonekana mtu kuwa usalama wa taifa ni jambo kubwa sana na anaonekana ni kiumbe wa aina yake! Na hii yote ni kwa sababu tu binadamu tunapenda sana utukufu na kuogopwa na wengine,sasa kila mtu ni usalama wa taifa!
 
Ni Msanii maarufu sana na Mwenye kazi nyingi za Sanaa na Uigizaji wake sijaona Wa Kuziba pengo lake..
Pengine umri wako ni mika 20 au 30 Ulikuwa mdogo kipindi anaigiza..

Grace ni level sawa tu na Kanumba..
Hapana sio kweli labda kama alilia anapewa character ndogp ndogp level ya mhogo mchungu bi mwenda hakufika uko ila alikuepo kuepo kwenye usanii kama average artis
 
Hapana sio kweli labda kama alilia anapewa character ndogp ndogp level ya mhogo mchungu bi mwenda hakufika uko ila alikuepo kuepo kwenye usanii kama average artis
Yaani We Una Uwezo wa Kumdharau Muhogo mchungu Kweli au Bi mwenda au Kina Bi Chau..
Basi kweli nimeamini Nabishana na Mtoto..

Unafahamu hata Mikanda ya Kina Mzee Small na kina Mzee Pwagu??
Duh Bhasi fanya uchimbe sana kuhusu Historia Yako ya Bongo Movies na Mziki..

Mwisho wa Siku utakuja Niambia Single Mtambalike au Jacob Steven (JB) Ni wasanii wa Juzi
 
Ukiona hivo ujue watu walimkubali sana kimoyo moyo.
Kuna mtu anaweza kukukubali na asukupayukie kwamba anakukubali. Na watu kama hawa mara nyingi huwa ndio ni wa muhimu sana katika maisha yetu. Mtu wa namna hii unaweza kumuomba msaada akakusaidia, tofauti na yule anayepayuka na kukuonesha kuwa anakukubali.

Bila shaka huyu mama ndicho alichokuwa nacho.
 
Yaani We Una Uwezo wa Kumdharau Muhogo mchungu Kweli au Bi mwenda au Kina Bi Chau..
Basi kweli nimeamini Nabishana na Mtoto..

Unafahamu hata Mikanda ya Kina Mzee Small na kina Mzee Pwagu??
Duh Bhasi fanya uchimbe sana kuhusu Historia Yako ya Bongo Movies na Mziki..

Mwisho wa Siku utakuja Niambia Single Mtambalike au Jacob Steven (JB) Ni wasanii wa Juzi
Sijawadharau nimewaheshim kama alama ya tansia kina bishanga bichau pwagu na pwaguz rich na nk ndio wasanii wakubwa na wakongwe tumeiziona kaz zao ila kwa huyu milage aliyopewa na kaz aliyofanya haziendani
 
Misiba Mingi ya Wasanii inakuzwa kwa sababu walio hai hilo ndilo Eneo la kutafuta Kiki.

Hasa kuelekea Msimu wa Uchaguzi kama huu hata wasiomjua kama Chalamila na Shigongo nao watajitokeza kujizolea Umaarufu
Una uhakika Shigongo "hamjui"? Baba wa watoto wake wawili sijamwona.
 
Yaani We Una Uwezo wa Kumdharau Muhogo mchungu Kweli au Bi mwenda au Kina Bi Chau..
Basi kweli nimeamini Nabishana na Mtoto..

Unafahamu hata Mikanda ya Kina Mzee Small na kina Mzee Pwagu??
Duh Bhasi fanya uchimbe sana kuhusu Historia Yako ya Bongo Movies na Mziki..

Mwisho wa Siku utakuja Niambia Single Mtambalike au Jacob Steven (JB) Ni wasanii wa Juzi
Aisee mkuu umenikumbusha mbali sana huyu jamaa hata wakina Siyawezi hawajui
 
Anajulikana sana mzee labda wewe kwako hakua maarufu binafsi mimi nimeanza kumuona enzi hizo nikiwa mtoto miaka ya 2000s tulikua tunamuangalia kupitia ITV kila jumamosi saa 3 usiku, walikua wanaigiza na mzee mmoja anajiita Masinde, alikua anapendwa sana.
Yes mimi pia lakin masinde sio level ya kina muhogo mchungu mzee small au kanumba ni msanii mkongwe lakin sio mkubwa
 
Sote tunafaham ni Muigizaji (Msanii) lakini sio big fish kama Kanumba katika sanaa ya maigizo. Samata katika sanaa ya mpira. Diamond katika sanaa ya mziki. Mbowe katika siasa

Msanii Grace Mapunda ni msanii mkongwe asiejulikana yaani kitaalam tunaita famous unkown lakin msiba wake umekuwa mkubwa kama wa msanii mkubwa Tanzania.

Pia, soma: TANZIA - Muigizaji Grace Mapunda (Tessa) amefariki dunia

Mara ya kwanza naiona picha yake nikajiuliza nani huyu baada ya kuvuta picha ikaja picha yake.

Je, naye alikua anavaa suti nyeusi kwa siri kama mtangazaji wa Wasafi Mau Kikanga.

Maana wamekufa wasanii wengi lakini hakuna aliepewa nguvu kubwa na masikitiko mengi kama huyu

Pia soma: Chalamila ahimiza mfuko wa kwa ajili ya wasanii wa maigizo, Ofisi yake kutoa milioni 15
Bila ya kuweka hii picha nisingeliweza kumkumbuka.
 
Back
Top Bottom