Marehemu Hans Pope ametuachia pengo kubwa sana ndani ya Simba ndio maana akina Hersi wanatamba na wataendelea kutamba

Marehemu Hans Pope ametuachia pengo kubwa sana ndani ya Simba ndio maana akina Hersi wanatamba na wataendelea kutamba

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Siamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lakini leo uwanja ule umepigwa stop wakat jana wamecheza na Dodoma Jiji.

Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.

Hans Pope angesikaa kimya akiona mambo hayaendi sawa na timu inapoteza point kizembe.

Wanakwenda kutufunga tena mara ya 5 mfululizo nimekaa pale
 
Siamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lkn leo uwanja ule umepigwa stop wakat jana wamecheza na Dodoma Jiji.

Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.

Hans Pope angesikaa kimya akiona mambo hayaendi sawa na timu inapoteza point kizembe.

Wanakwenda kutufunga tena mara ya 5 mfululizo nimekaa pale
Simba, safari ya ubingwa ndio kwaheri
 
Hatufungwi mara ya 5 mfululizo mechi hii tunashinda vizuri. Mark my words budaa. Ni kweli try again alituchelewesha.
 
Mechi na Tabora United na Yanga ni tarehe 1 April uwanja umefungiwa Leo trh 28 February

Kwaiyo huo uwanja ndo Yanga angecheza mwaka mzima
GSM sio mmiliki wa Yanga ni mdhamini na mfanyabiashara
Mtapata akili lini nyie mbumbumbu wa Rage
 
Siamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lkn leo uwanja ule umepigwa stop wakat jana wamecheza na Dodoma Jiji.

Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.

Hans Pope angesikaa kimya akiona mambo hayaendi sawa na timu inapoteza point kizembe.

Wanakwenda kutufunga tena mara ya 5 mfululizo nimekaa pale
Kama kila idara zote zinasifu kwa kusema mitano tena, ulitegemea Karai atafanya nini? Tumeingiza michezo kwenye siasa kwa ajili tu ya kusifia kwa sababu yule mtu ni shabiki wa timu yao.
 
Mechi na Tabora United na Yanga ni tarehe 1 April uwanja umefungiwa Leo trh 28 February

Kwaiyo huo uwanja ndo Yanga angecheza mwaka mzima
GSM sio mmiliki wa Yanga ni mdhamini na mfanyabiashara
Mtapata akili lini nyie mbumbumbu wa Rage
itachezwa chamazi
 
Siamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lakini leo uwanja ule umepigwa stop wakat jana wamecheza na Dodoma Jiji.

Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.

Hans Pope angesikaa kimya akiona mambo hayaendi sawa na timu inapoteza point kizembe.

Wanakwenda kutufunga tena mara ya 5 mfululizo nimekaa pale
Kwanza hata unachoandika hukijui eti Yanga vs Tabora. Hii Yanga imeshinda mechi zote za ugenini mnatafuta sababu tu.
 
Siamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lakini leo uwanja ule umepigwa stop wakat jana wamecheza na Dodoma Jiji.

Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.

Hans Pope angesikaa kimya akiona mambo hayaendi sawa na timu inapoteza point kizembe.

Wanakwenda kutufunga tena mara ya 5 mfululizo nimekaa pale
Yaani Madunduka mnakurupa sana. Kama mechi ijayo ni Yanga dhidi ya Tabora na mechi dhidi ya Simba iko lini?
 
Uyo Hans pope alikuwepo kwenye uongozi na Simba ilikua anatandikwa na Yanga kama kawa.

Ilifikia wakati alisema ata watandika Luis na Chama kwa Lungu lake alilokua akipenda kulibeba kwakua wakicheza na Yanga uwa wana tepeta .
Kuhusu udhamini, GSM mwanzoni ali ingia mkataba na TFF kuwa mdhamini mwenza wa Ligi, Simba wakagomea udhamini uo na kwenye mechi zao hawakutaka Mabango ya GSM.

GSM wakajitoa kwenye udhamini na baadhi ya klabu zikaenda kupiga magoti ili zisi ikose fursa iyo ya Kudhaminiwa na GSM.

Kwakua Simba walijitoa wenyewe kwenye udhamini sasa watulie wasilete propaganda za kipuuzi.

Simba licha ya kubebwa na waamuzi bado wana Mchecheto.
 
Mechi na Tabora United na Yanga ni tarehe 1 April uwanja umefungiwa Leo trh 28 February

Kwaiyo huo uwanja ndo Yanga angecheza mwaka mzima
GSM sio mmiliki wa Yanga ni mdhamini na mfanyabiashara
Mtapata akili lini nyie mbumbumbu wa Rage
Mbumbumbu ni wewe usiye na uwezo wa kuona ukweli, bwege wewe
 
Siamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lakini leo uwanja ule umepigwa stop wakat jana wamecheza na Dodoma Jiji.

Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.

Hans Pope angesikaa kimya akiona mambo hayaendi sawa na timu inapoteza point kizembe.

Wanakwenda kutufunga tena mara ya 5 mfululizo nimekaa pale
Umesema kweli mara 1000000000000000000000000+
 
Back
Top Bottom