Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Simba, safari ya ubingwa ndio kwaheriSiamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lkn leo uwanja ule umepigwa stop wakat jana wamecheza na Dodoma Jiji.
Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.
Hans Pope angesikaa kimya akiona mambo hayaendi sawa na timu inapoteza point kizembe.
Wanakwenda kutufunga tena mara ya 5 mfululizo nimekaa pale
Kama kila idara zote zinasifu kwa kusema mitano tena, ulitegemea Karai atafanya nini? Tumeingiza michezo kwenye siasa kwa ajili tu ya kusifia kwa sababu yule mtu ni shabiki wa timu yao.Siamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lkn leo uwanja ule umepigwa stop wakat jana wamecheza na Dodoma Jiji.
Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.
Hans Pope angesikaa kimya akiona mambo hayaendi sawa na timu inapoteza point kizembe.
Wanakwenda kutufunga tena mara ya 5 mfululizo nimekaa pale
Kwa heri ipi hiyo uhakika wa kushinda mechi 8 upo?Simba, safari ya ubingwa ndio kwaheri
itachezwa chamaziMechi na Tabora United na Yanga ni tarehe 1 April uwanja umefungiwa Leo trh 28 February
Kwaiyo huo uwanja ndo Yanga angecheza mwaka mzima
GSM sio mmiliki wa Yanga ni mdhamini na mfanyabiashara
Mtapata akili lini nyie mbumbumbu wa Rage
Kwanza hata unachoandika hukijui eti Yanga vs Tabora. Hii Yanga imeshinda mechi zote za ugenini mnatafuta sababu tu.Siamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lakini leo uwanja ule umepigwa stop wakat jana wamecheza na Dodoma Jiji.
Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.
Hans Pope angesikaa kimya akiona mambo hayaendi sawa na timu inapoteza point kizembe.
Wanakwenda kutufunga tena mara ya 5 mfululizo nimekaa pale
Yaani Madunduka mnakurupa sana. Kama mechi ijayo ni Yanga dhidi ya Tabora na mechi dhidi ya Simba iko lini?Siamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lakini leo uwanja ule umepigwa stop wakat jana wamecheza na Dodoma Jiji.
Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.
Hans Pope angesikaa kimya akiona mambo hayaendi sawa na timu inapoteza point kizembe.
Wanakwenda kutufunga tena mara ya 5 mfululizo nimekaa pale
Mbumbumbu ni wewe usiye na uwezo wa kuona ukweli, bwege weweMechi na Tabora United na Yanga ni tarehe 1 April uwanja umefungiwa Leo trh 28 February
Kwaiyo huo uwanja ndo Yanga angecheza mwaka mzima
GSM sio mmiliki wa Yanga ni mdhamini na mfanyabiashara
Mtapata akili lini nyie mbumbumbu wa Rage
🤣🤣🤣🤣🤣Mbumbumbu ni wewe usiye na uwezo wa kuona ukweli, bwege wewe
Umesema kweli mara 1000000000000000000000000+Siamini kama Yanga itaukosa ubingwa msimu huu, kuna mambo wenzetu wanashirikiana na mamlaka za soka bila sisi kukemea ama kuhoji, kwa mfano mechi ijayo ni Yanga vs Tabora kule Tabora lakini leo uwanja ule umepigwa stop wakat jana wamecheza na Dodoma Jiji.
Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.
Hans Pope angesikaa kimya akiona mambo hayaendi sawa na timu inapoteza point kizembe.
Wanakwenda kutufunga tena mara ya 5 mfululizo nimekaa pale
Unataka ukweli Gani?Mbumbumbu ni wewe usiye na uwezo wa kuona ukweli, bwege wewe