Marehemu Hans Pope ametuachia pengo kubwa sana ndani ya Simba ndio maana akina Hersi wanatamba na wataendelea kutamba

Kolo Kolo Kolo (kolo)
Kushney kolo (kolo)
Tumsepyale kolo (kolo)
Polokina kolo (lolo)
 
Wakati Yanga ilipokuwa ikipoteza kulikuwa na furaha upande wa pili na tuliona ni haki yao ndio mpira. Hawapotezi mechi na Yanga inashinda wanakasirika. Wakishinda wao wameshinda kihalali kwa kuwa wana kikosi bora cha akina Mkwala, Kibu na Mutale. Wakishinda Yanga wanahonga na wanaondolewa kwenye ubora.

Mkiendelea kudharau ubora wa kikosi cha Yanga mnafungwa tena kwa mara ya 5 consecutively. Jitahidini tarehe 08 timu yenu iwe vizuri ipate angalau suluhu.
 
Uwanja umefungiwa Jana,alafu yanga atacheza na Tabora mwezi wa4 huoni hapa katikati wanaweza kufanya maboresho na yanga akacheza ktk uwanja huo?
 
Hans Pope asingekubali ujinga huu, Hans Pope asingekubali timu zidhaminiwe na washindani wenzake Yaan Man Utd izidhamini Man City, Liverpool, Tottenham, southampton, hiyo haipo kabisa.
Wewe unahisi Hanspope angefanya nini hapo kitu ambacho viongozi wa sasa hawajakifanya. Kinge impact nini kwenye huo udhamini wa GSM?

Mnapofeli mashabiki wengi wa Simba mnafanya mambo kwa hisia bila kutumia akili. Ukiruhusu hisia zikuongoze utaishia kufeli. Ndicho kinachoendelea sasa hivi na bado mtabisha tu
 
bado saana...ndo kwanza kumekucha
 
Kwa hiyo Hans Pope alikuwa ni zaidi ya Bodi ya Ligi siyo! Yaani hata kama uwanja ni mbovu, bado angeweza kutoa amri uendelee kutumika kinyume na kanuni zilizowekwa na TFF!
 
Kamfufueeee........kila zama kitabu chake
 
Mnachosahau ni kuwa Hersi ni kiongozi wa klabu zote Afrika.

Kama Simba inachangamoto imuone Hersi Kwa nafasi yake Kama Rais wa vilabu Africa ili awasaidie
 
Vilio vimekuwa vingi kila mtu analaumiwa sasa🤣🤣
 
Mmngoa jino wenyewe si mngeliwekea dawa kusiwe na pengi
 
ila azam kudhamini team zote ikiwemo ya MAKOLO haina shida??PUMBAF KABISA!HATA KUJENGA HOJA HAMJUII

YANGA IKIWA NA UTULIVU!MAKOLO HAWABEBI KOMBE HATA KWA DAWA!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…