Marehemu Kufungua Jicho Moja Wakati Wa Kuaga Mwili Wake!! Nini Sayansi Nyuma Ya Hili Jambo??

Marehemu Kufungua Jicho Moja Wakati Wa Kuaga Mwili Wake!! Nini Sayansi Nyuma Ya Hili Jambo??

Kisayansi ni Muscles za orbitocularis Oculli zilifunguka.. Kama Mbuzi Tu Umeshamchinja Ila Muscles Zinacheza zikimalizia Uhai wake
 
Kwa kawaida wana sayansi wame prove kwamba binadamu anapo kufa/kufariki... Haimaanishi kwamba kwamba kila kitu katika mwili wake kina simama/kufa/kutokufanya kazi at Pa.. Ila kuna baadhi ya vitu huendelea kuishi huku vikifa pole pole. Mfano, kuna seli za mwili huendelea kuishi ndo maana marehemu kama alikufa akiwa amenyoa ndevu unaweza kushangaa baada ya siku 1au2 kukuta ndevu zimeota. Tena kuna ushahidi mwingine wana sayansi kwamba mtu akifa ndani ya dk15 akichezewa sehemu zake za siri (kwa wanaume) anaweza kutoa sperm hvyo anaweza kuzalisha
 
Kwa kawaida wana sayansi wame prove kwamba binadamu anapo kufa/kufariki... Haimaanishi kwamba kwamba kila kitu katika mwili wake kina simama/kufa/kutokufanya kazi at Pa.. Ila kuna baadhi ya vitu huendelea kuishi huku vikifa pole pole. Mfano, kuna seli za mwili huendelea kuishi ndo maana marehemu kama alikufa akiwa amenyoa ndevu unaweza kushangaa baada ya siku 1au2 kukuta ndevu zimeota. Tena kuna ushahidi mwingine wana sayansi kwamba mtu akifa ndani ya dk15 akichezewa sehemu zake za siri (kwa wanaume) anaweza kutoa sperm hvyo anaweza kuzalisha
Ni kweli kabisa. Kuna ndugu yangu mmoja alifariki kwa ajali ya pikipiki pale magomeni mapipa alikuwa kanyoa ndevu. Mwili wake tuliuhifadhi pale muhimbili hosp mimi nikiwepo. Siku ya kwenda kuuchukua kwa ajili ya kuaga na kuusafirisha kwenda mikoa ya kaskazini tulimkuta anafull ndevu jambo lililozua utata mkubwa mpaka mke wake alipokuja kuthibitisha kuwa ule mwili ni wa mumewe.

Ni kweli kuna seli zinaendelea kuishi kwa muda baada ya mtu kufa.
 
nahisi ni more spiritual, kuna mtoto alibusu mwili wa baba yake tukiwa tunauaga, na ghafla marehemu alitabasamu.


Ahahahahah jamani Lin ulikazia macho maiti hadi uone Hilo tabasamu ahahahahaahhahhahah
 
Back
Top Bottom