Umekosea kuuliza swali..Nyerere na Karume wameanzisha CCM, hiyo ni historia..ubishi hamna hapo.
Nyerere ni Mwanasiasa, Mwalimu pia..Ubishi haupo. Unayedai ukombozi au uokoaji upi? kumpenda au kutompenda Kikwete ni haki yako na maoni yako..Makundi CCM yapo,kwa sababu upinzani upo ndani ya chama lakini,, nisikilize... hata mgogoro uwe vipi within CCM, kwenye chaguzi, Kiteto, na wapi, ushindi huwa zaidi kwa Chama cha Mapinduzi..na hata useme nchi inahitaji uokoaji, sidhani kama watu wote CCM wanajisikia kama wewe..Wengine hawafurahii sababu ya kudhofika kisiasa na kupiga kelele, wapinzani wanafikiri hiyo gari ya ku-magnify kelele na tofauti za chama ni gari la ushindi..Halina mafuta gari hilo, Chalinze empty tank, ikija Kampeni za uchaguzi, CCM itashinda kwa kiwango kikubwa, uokoaji ni kwamba wapinzani hawajaweza kuchukua talent za wanasiasa walioko CCM kuwasaidia, wachache walikuja wakarudi baada ya mikutano ya NCCR Tanga, ugomvi ambao ni tofauti na wa CCM..Physical altercation nini..uokoaji ni broad sana.kupi haswa
Tanzania ni kubwa, CCM ni kubwa ina watu wengi, wanasiasa na sasa hata wafanyabiashara,ni wengi, chama ni kikubwa, tofauti zitakuwepo tu, wapinzani tatizo kuu ni njaa ya kifedha ni mzigo kwao kisiasa, inaeleza kwanini matatizo ya Pesa kama EPA yamekuwa hoja isiachwa hata dakia 1.
Nyerere ame inspire wanasiasa wengi tu, wengi anawajua--Akina Kambona walijiona wana akili zaidi yake hawakuzalisha chama chochote imara zaidi ya CCM ya Nyerere na Karume (Historia)
Sasa hata mwanasiasa kama Nyerere bado ni Baba wa Taifa,,,hilo nalo halina ubishi.