Marehemu Roy alikuwa anajua sana

Marehemu Roy alikuwa anajua sana

We binti wewe uko informed ba mambo ya mziki deeply ebu nipe siri ya kuwa informed maana madada wengi wanajua waimbaji siyo waandaaji labda wawe WCB
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mi napenda sana mziki wa zamani maprodyuza pia nilikua nawajua kiasi

Mwingine akili the brain sijui kafia wapi!
 
Uko vizuri, basi eti nikawa nashangaa Adam alivyoweka blu na snalee wanaonekana wengi yani nikawa naona ile video level ya akina ja rule
[emoji2] [emoji2] adam alisumbua sana enzi hizo!ht ile ice cream yaani the way ilivyo nlikua nashangaa shangaa tu!
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] mi napenda sana mziki wa zamani maprodyuza pia nilikua nawajua kiasi

Mwingine akili the brain sijui kafia wapi!
Yupo kwani aliyetengeneza mabundi si akili?
Enzi za regina sema mimi napenda zaidi bongo bangla.
Enzi za steve 2k (RIP)
Nakumbuka 2berry walipotoka walitisha na shirko alikuwa anachana ka sean paul sema beat zake ziliko zafanana
 
[emoji2] [emoji2] adam alisumbua sana enzi hizo!ht ile ice cream yaani the way ilivyo nlikua nashangaa shangaa tu!
Hahaha eti anaweka gari tunaona kama mbele dah jamani, salama ndiye alianza nifanya nianze ona makosa kwenye video bwana
 
Hahaha na nokia ringo.
Kipindi nisher kashika kila video adam anaikosoa facebook, hadi nisher akamaindi akamwambia awe basi anamwambia inbox maana ni too much.
Adam akawa anaandika kama vile anawasema madirector wapya kuwa hajaamua akiamua anaweza fanya kitu wasichoweza fanya.
Kila siku anapost ka analalamika, mara linex naye akamzngua kuwa kamwaribia video ya wimbo wake ule alioimba na diamond wakati yeye ndiye msanii ambaye aliwahi mlipa ela nyingi kwa video eti akawa anadai amempa milion saba.
Ndipo nikagundua wasanii uwa waongo maana walikuwa wakiulizwa video anakwambia zaidi ya milion kumi kumbe linex milion saba ndo kalipa nyng kuliko wote kipindi kile.
Ila Adam amefanya kazi kubwa kwenye video
Linex msanii tu yule
 
Ila Adam amefanya kazi kubwa kwenye video
Linex msanii tu yule
Hata mimi linex nilimshangaa maana inaelekea ye na adam walikuwa wana sana hadi kuna kipindi adam alimwambia linex alete wimbo amtengeneze video bure.
Sijui nini kilitokea hadi akaanza mdiss
 
Yupo kwani aliyetengeneza mabundi si akili?
Enzi za regina sema mimi napenda zaidi bongo bangla.
Enzi za steve 2k (RIP)
Nakumbuka 2berry walipotoka walitisha na shirko alikuwa anachana ka sean paul sema beat zake ziliko zafanana

Mi Regina nlikua naipenda haswa!
Steve 2k yule mshikaji aliyemuua(Castro) hivi ashatoka jela?
Enzi zile ray c ndo queen wa bongo fleva alitiwa makofi na kajala siku moja baada ya kuskia anatoka nae

Halafu Amit nae kamla ray c
 
Hahaha eti anaweka gari tunaona kama mbele dah jamani, salama ndiye alianza nifanya nianze ona makosa kwenye video bwana
Yaap!Salama ana mchango mkubwa mnoo kwwnye mziki wetu japo alikua anampenda sana bluu hamkosoi ht siku moja daily anamsifia
 
Mi Regina nlikua naipenda haswa!
Steve 2k yule mshikaji aliyemuua(Castro) hivi ashatoka jela?
Enzi zile ray c ndo queen wa bongo fleva alitiwa makofi na kajala siku moja baada ya kuskia anatoka nae

Halafu Amit nae kamla ray c
Castro ndiye alimuua steve 2k bwanake joan.
Sina hakika hadi matonya alimuimba kwenye dunia mapito prod by roy again.
Nani alimkata makofi mwenzake kajala au ray c?
Dah ray c nlikuwa nikuona tumbo lake nasema ayaah yaaah kama kwenye she got gwan
 
Yaap!Salama ana mchango mkubwa mnoo kwwnye mziki wetu japo alikua anampenda sana bluu hamkosoi ht siku moja daily anamsifia
Salama akimpenda mtu uwa hamkosoi.
Yah alipoanza ponda video zikaanza boreshwa.
Kuna wimbo nilikuwa naupenda wa k-lyne ft jaymo- nikipata wangu, salama aliponda video na zile helcopter hadi nkaichukia
 
Enzi hizo zeze inatamba kutoka 2eyes[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]

Adam wa visual lab kafia wapi jamani maana ndiyo aliyeleta mapinduzi kwenye video Tzz
hataki kuwekeza,ana camera lake red old version hadi Sunday mjeda kamkimbia
 
Ila Roy alikuwa mswahili sana nahisi kuzid producers wenzake kipindi hicho. Jamaa alikuwa anazungusha sana mpaka msanii apewe kazi yake ni shida. Haf alikuwa mlevi sana. Na saa zngine ilikuwa zali kwa msanii akimkuta jamaa studio kama ameenda na mabapa ya konyagi basi kazi iliweza kufanyika muda huohuo.
 
Ila Roy alikuwa mswahili sana nahisi kuzid producers wenzake kipindi hicho. Jamaa alikuwa anazungusha sana mpaka msanii apewe kazi yake ni shida. Haf alikuwa mlevi sana. Na saa zngine ilikuwa zali kwa msanii akimkuta jamaa studio kama ameenda na mabapa ya konyagi basi kazi iliweza kufanyika muda huohuo.
Kumbe? Basi ndiyo maana 20% alikuwa analalamika
 
Back
Top Bottom