Nilisikia alianzisha chama chake cha Harijan_cha wale 'wasiopaswa kuguswa'kweli mkuu,jamaa alifanyia kweli makubwa india ila ukiwa uliza wale wahindi weusi watakupa ukweli jinsi alivyowatenga na kuwabangua
Quran inayosha kuthibitisha madai hayo kuwa utume hauendelei. Lkn kabla sija kuthibitisha huenda ukawa si mwenye kuiamini Quran kuwa ni kitabu cha Allah, hivyo inanilazimu hapo kwa uchache kwa ushahidi wa kisayansi kukuthibitishia hilo.
Hebu pitia hii link kama itakuridhisha
Proof Quran is the Word of God | Submission.org - Your best source for Submission (Islam)
Sasa nikirudi kwenye swali lako kuwa utume uliishia kwa nani. Jibu ni ktk Quran, surat Ahzab
— The Qur'an - Chapter 33 Verse 40
Muhammad is not the father of any of your men, but (he is) the Messenger of Allah, and the Seal of the Prophets: and Allah has full knowledge of all things."
ili waendeele kuwadharau watu weusi mabao wanawaua na kuwaona kama wadudu?Sijasema alikuwa rafiki Wa mtu mweusi Bali nimeangazia majitoleo yake katika Taifa la India.
Mzee wa kanisa huyo, hawezi kumfananisha mungu yesu na wangine. Ila anaweza kumfananisha Mtume Muhammad (S. A. W) na wengine.Kichwa cha habari kingesomeka:-
Marejeo ya Historia: Mahatma Ghandi, Abraham Lincoln, Nelson Mandela na Mama Tereza waenziwe kwa utume kama Muhammad au Yesu?
Unawajua sana. Na wewe usihodhi tafakari yangu. Wewe umewaacha hao PAULO na YESU kwa sababu unawaona bora na holy na class nyingine tofauti na MUHAMMAD ambaye umemuweka daraja moja na wakina MANDELA.! Lengo lako ni kashfa tu ..bla bla nyingine zote ni unafiki. MUHAMMAD ana followers 1.8 Billion people unamfananishaje na Mandela? Upuuzi tu!
WAna Mungu wao, wanamwita mungu mwana.Ijapo kuwa yeye mwenyewe alishakataa kuitwa mungu, na wala hakuwahi kujifananisha na mungu. Akili za watu wengine kweli tatizo.Kwa hawa jamaa wakina KOMANDO, MZEE WA UPAKO, MWINGIRA wote ni mitume! Tafsiri ya wakristo UTUME inaweza ikawa rahisi kuupata kuliko UASKOFU!
Hata tasfiri ya 'mungu' haiko serious sana kwa hawa ndugu!
Mleta mada mbona Paulo hayupo kwenye list?nadhani angekuwepo kwenye list maana kisa chake cha kutoka kuwa muuaji wa wanafunzi wa Yesu hadi leo kuwa na cheo cha utume ana nafasi kubwa kwenye ukristo,nafikiri kuna mengi pia tungejifunza.
Nitakujibu kwa mara ya mwisho.1. Nini maana ya follower, Mkuu?
2. Ni kuwa na damu sawa na ya unayemhusudu? Hivi, Wewe umeshafanya utafiti na kugundua kuwa Mandela hana followers wanaofikia idadi kama ya hao wanaom-follower Muhammad?
3. Tueleze ni mambo gani spesheli yanaweza kumtoa Muhammad kwenye kundi moja na Mandela. Kama ni idadi ya Followers, Papa Fransco anaongeza watu 2.28 billions,je naye tumuite Mtume?
Naomba nikujibu kwa niana ya unayemuuliza.1. Nini maana ya follower, Mkuu?
2. Ni kuwa na damu sawa na ya unayemhusudu? Hivi, Wewe umeshafanya utafiti na kugundua kuwa Mandela hana followers wanaofikia idadi kama ya hao wanaom-follower Muhammad?
3. Tueleze ni mambo gani spesheli yanaweza kumtoa Muhammad kwenye kundi moja na Mandela. Kama ni idadi ya Followers, Papa Fransco anaongeza watu 2.28 billions,je naye tumuite Mtume?
Tatizo mnarahisisha sana taarifaili waendeele kuwadharau watu weusi mabao wanawaua na kuwaona kama wadudu?
Kwa mujibu wa dini ya kiislam unaruhusiwa kukashfu kadiri uwezavyo. Nadhani unaweza fatilia baadhi ya waliokashfu wameishia wapi kwa hii karne tuliopo. Wengi wanashangaa mbumbu asiyejua kusoma alivyotuachia urithi wa kudumu. Mohammed The Last Prophet of our Time. Tafuta hichi kitabu ukisome ingawa hakijaandikwa na muislamUnawajua sana. Na wewe usihodhi tafakari yangu. Wewe umewaacha hao PAULO na YESU kwa sababu unawaona bora na holy na class nyingine tofauti na MUHAMMAD ambaye umemuweka daraja moja na wakina MANDELA.! Lengo lako ni kashfa tu ..bla bla nyingine zote ni unafiki. MUHAMMAD ana followers 1.8 Billion people unamfananishaje na Mandela? Upuuzi tu!
Miracle hunter humu huwezi kupata majibu to that extent, jaribu kusoma Sila Ya Mtume Muhammad pamoja na Tarekh (it's not one day study)1. Nini maana ya follower, Mkuu?
2. Ni kuwa na damu sawa na ya unayemhusudu? Hivi, Wewe umeshafanya utafiti na kugundua kuwa Mandela hana followers wanaofikia idadi kama ya hao wanaom-follower Muhammad?
3. Tueleze ni mambo gani spesheli yanaweza kumtoa Muhammad kwenye kundi moja na Mandela. Kama ni idadi ya Followers, Papa Fransco anaongeza watu 2.28 billions,je naye tumuite Mtume?
Nitakujibu kwa mara ya mwisho.
1. Mimi ni muislam na nashuhudia kuwa hakuna apaswaye kuabudiwa kwa haki ila Allah Muumbaji na MUHAMMAD (SAW) ni MTUME wa ALLAH..........Huo ndio ufuasi ninakusudia. Nani anashuhudia hivyo Kwa Mandela na Mahtma?
2. Mandela hana wafuasi zaidi ya wafuasi wa Kagame ..hao ndio daraja lake
3. Saa hao 2.28 B followers ni wafuasi wa Francis, Paul au Jesus? Shirikisha ubongo acha mihemko!
Soma Sila ya Mtume Mohammad kikamilifu.Kuua ni dhambi tu kama dhambi zingine. Ni sawa na kuzini,kuiba au kusema uongo na pengine kutega wajibu Fulani. Hapa duniani hakuna msafi na hivi Mungu ni lazima atumie hao hao wadhambi kwa ajili ya wadhambi wenzao. Jielekeze kutoa ushahidi Wa jinsi Muhammad anavyoweza kutowekwa kundi moja na hao wengine.
Miracle hunter humu huwezi kupata majibu to that extent, jaribu kusoma Sila Ya Mtume Muhammad pamoja na Tarekh (it's not one day study)
Mie hajawahi kunitenga na wala simfahamu. Wao aliowatenga ndio wanaolalamika. Na madhara yake yapo mpaka leo hii, wahindi weusi ni wa maana dhidi ya wahindi weupe. POPOTE PALE WALIPOTatizo mnarahisisha sana taarifa
Kujitenga kitabaka hakujaanza katika kipindi cha Mahatma Gandhi
Imani za kihindu na mapokeo yake ndiyo yaliyosababisha mpasuko huo wa kitabaka na kuwa chanzo cha manyanyaso
Walikuwepo wale weupe weupe waliojiita wa Brahmanas wa Vaisya na Wa Sudra Weusi Tii wa tabaka la mwisho la watu wa kazi ngumu walio mbali kwa ukaribu na Miungu kiufupi wenye Laana
Na ndio hao wa kundi la mwisho la wasiopaswa kuguswa (sudra) aliowatumia Mahatma Gandhi kama kiki yake kisiasa
Nyie mnasema aliwatenga vipi tena....!?
Hiyo sila ndiyo inamtofautisha yeye na watu wengine wanaongelewa katika mjadala huu?Soma Sila ya Mtume Mohammad kikamilifu.
Si somo la siku moja kama unavyofikiria kuwa ni kucopy na kupaste.Kwa maelezo haya ina maana wewe hizo rejea unazonipatia mimi umezisoma. Kwa nini usizitumie kujibu hoja za mjadala huu?
Aisee kama hufahamu Sila ni nini, basi hakuna mantiki ya Kuja mbele za watu kisha ukadai Unamjua Mtume Muhammad.Hiyo sila ndiyo inamtofautisha yeye na watu wengine wanaongelewa katika mjadala huu?