Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Kama kweli Mihammad alifanyika mtume kupitia Padri wa kanisa katoliki(Waraqah)Na mtawa wa kanisa katoliki (Khadijah).Naanza kuamini vitu viwili;Uwiano wa kimahesabu katika quraan ni mwingi sana ni wa kushangaza na pia uko juu sana ya akili za kibinaadamu kwa lugha rahisi ndio huitwa MUUJIZA. Na huo ndio muujiza wa Qur'an. Kama vile nabii Musa alivyotenda Yale mambo ambayo kwa wakati huo kwa akili ya yaliwashangaza kwa kugeuza fimbo kuwa nyoka ikaonekana ni MUUJIZA sawa na karne Yake waliyoamini uchawi, na kama nabii ISSA Yesu alivyonponya kipofu Mmoja ikaonekana ni muujiza sawa na karne walioamini ktk uchawi, ndio vivyo hivyo Nabii Muhammad kaleta muujiza wa kisayansi sawa na karne yetu.
Kwanza ile story ya Alberto Rivera kuhusu uislamu kuasisiwa na majesuit
Pili,quran ni total pragialism na fabrication ya bible katika sense ya kwamba hata hiyo inayoitwa miujiza ni coding za jesuits.Refer Da vinci codes na yafananayo na hayo.
Tatu ni umuhimu wa mji wa Jerusalem na namna ambayo muhammad aliufanya uwe mtakatifu uoanishe na lengo la kuanzisha uislam na vatican