Marejeo ya Historia: Mahatma Ghandi, Abraham Lincoln, Nelson Mandela na Mama Tereza waenziwe kwa utume kama Muhammad?

Marejeo ya Historia: Mahatma Ghandi, Abraham Lincoln, Nelson Mandela na Mama Tereza waenziwe kwa utume kama Muhammad?

Uwiano wa kimahesabu katika quraan ni mwingi sana ni wa kushangaza na pia uko juu sana ya akili za kibinaadamu kwa lugha rahisi ndio huitwa MUUJIZA. Na huo ndio muujiza wa Qur'an. Kama vile nabii Musa alivyotenda Yale mambo ambayo kwa wakati huo kwa akili ya yaliwashangaza kwa kugeuza fimbo kuwa nyoka ikaonekana ni MUUJIZA sawa na karne Yake waliyoamini uchawi, na kama nabii ISSA Yesu alivyonponya kipofu Mmoja ikaonekana ni muujiza sawa na karne walioamini ktk uchawi, ndio vivyo hivyo Nabii Muhammad kaleta muujiza wa kisayansi sawa na karne yetu.
Kama kweli Mihammad alifanyika mtume kupitia Padri wa kanisa katoliki(Waraqah)Na mtawa wa kanisa katoliki (Khadijah).Naanza kuamini vitu viwili;
Kwanza ile story ya Alberto Rivera kuhusu uislamu kuasisiwa na majesuit
Pili,quran ni total pragialism na fabrication ya bible katika sense ya kwamba hata hiyo inayoitwa miujiza ni coding za jesuits.Refer Da vinci codes na yafananayo na hayo.
Tatu ni umuhimu wa mji wa Jerusalem na namna ambayo muhammad aliufanya uwe mtakatifu uoanishe na lengo la kuanzisha uislam na vatican
 
Siwezi kughafirika kwa hoja mufilisi kama yako ya kuwaonea wivu waislamu na wao kumpachika utume Muhammad wakati na wewe dhehebu lako linafanya hivyohivyo

Yaani mnakaa kikao mnajadili huyu kwa jinsi alivyoishi anafaa kuwa mtakatifu ha ha binadamu mdhambi anampa utakatifu binadamu mwenzie halafu wenzako kumpa utume mtu wao wewe imekuuma kwelikweli

Wote mna makosa kwa kuingilia kazi inayopaswa kufanywa na Mungu pekee, ni Mungu peke yake anayechagua mitume kwa ajili ya kazi hiyo na pia ndiye anayewajua watakatifu wake waliopo duniani na mamlaka hayo hakuyakasimisha kwa kikundi cha wakatoliki
Sory mkuu ivi Muhammad anasifa zozote kumzidi nabii isa au yesu.
 
Mkuu unaweza kulaumu kwamba wakritu tuna vichwa vigumu kuelewa hata sis tunawaona ninyi hivyo. Mfano 'MALAIKA GABLIeli alivyo mkaba Muhammad kulazimisha asome .


1. Yeye hajaelewa kwamba hadi Malaika afikie kumbangua Muhammad makofi (kama ni kweli alikuwa malaika) ni kwa sababu aligundua kuwa Muhammad ana Kichwa cha Nazi. Haiwezekani maneno machache tu hivyo halafu ashindwe kuyarudia kuyatamka. Tena tunaambiwa malaika alikuwa anaongea Kiarabu,Lugha ambayo ndiyo Muhammad alikuwa anaimudu.

2. Hivi kama leo watoto Wa Umri Mdogo Wa kiislamu wanakariri karibu Kurani nzima yeye Muhammad alishindwa nini kukariri vimaneno vichache hivyo? Je,hiii haionyeshi kwamba yeye ndiye amekuwa "mtume" Wa kwanza na Wa mwisho kwa kuwa na akili ndogo kabisa kuwahi kutokea?

3. Je,kama inavyosemwa kwamba Mungu alimfanya Muhammad mtume Wa mwisho, ni kwa akili kiduchu kama hivyo amefanywa mtume Wa mwisho?

4. Je,kama Mungu hakujali akili kidogo za Muhammad, ni kwa nini hadi leo hajaonesha kwamba Yeye Mungu anaweza kufanya lolote hata kwa kufanya mafundisho yake Muhammad yaeleweke kwa watu wwnye akili kubwa?
 
Kama kweli Mihammad alifanyika mtume kupitia Padri wa kanisa katoliki(Waraqah)Na mtawa wa kanisa katoliki (Khadijah).Naanza kuamini vitu viwili;
Kwanza ile story ya Alberto Rivera kuhusu uislamu kuasisiwa na majesuit
Pili,quran ni total pragialism na fabrication ya bible katika sense ya kwamba hata hiyo inayoitwa miujiza ni coding za jesuits.Refer Da vinci codes na yafananayo na hayo.
Tatu ni umuhimu wa mji wa Jerusalem na namna ambayo muhammad aliufanya uwe mtakatifu uoanishe na lengo la kuanzisha uislam na vatican

Kasome upya Uzi huu. Waraqah alishafukuzwa kwenye Upadri Wa Kikatoliki wakati anampigia Muhammad ramli ya utume. Kwa hiyo usije hapa kuunganisha dots ambazo hazipo.
 
Mkuu unaonekana unajua mengi.Ujio wa mitume ulikuwa unatabiliwa je kwenye kurwan Kuna details zozote juu ya ujio muhamad.

Haelewi isipokuwa amekaririshwa. Linapokuja suala la Muhammad kutabiriwa kama mtume huwa wanatumia Biblia,Agano la Kale na Jipya. Wakimaliza kufanya hivyo,wanaitumia Kurani kuikataa Biblia kumshuhudia Yesu kama Mungu na Mwana wa Mungu.
 
Wakati mwingine hadithi hizi zinachekesha sana. Swala akaomba kwenda kunyonyesha? Hahahahaaaaaa....
 
Kuua ni dhambi tu kama dhambi zingine. Ni sawa na kuzini,kuiba au kusema uongo na pengine kutega wajibu Fulani. Hapa duniani hakuna msafi na hivi Mungu ni lazima atumie hao hao wadhambi kwa ajili ya wadhambi wenzao. Jielekeze kutoa ushahidi Wa jinsi Muhammad anavyoweza kutowekwa kundi moja na hao wengine.
Nakunukuu:
"Ni mambo gani ya kipekee ambayo Muhammad kabla ya kifo chake alipata kuifanyia ardhi ya Arabia ambayo leo yanamfanya aikwae hadhi ya Kinabii sawa na Yesu Kristu?"

Kwa maswali kama hayo si mbaya tukataka kujua kuhusu Paulo nae ni yapi aliyoyafanya hadi akadai ametokewa na Yesu?na ana cheo cha utume na ni mtu muhimu katika ukristo tunaouona.

Kwa mtazamo wangu Paulo ni mfano mzuri katika huu mjadala.
 
Nakunukuu:
"Ni mambo gani ya kipekee ambayo Muhammad kabla ya kifo chake alipata kuifanyia ardhi ya Arabia ambayo leo yanamfanya aikwae hadhi ya Kinabii sawa na Yesu Kristu?"

Kwa maswali kama hayo si mbaya tukataka kujua kuhusu Paulo nae ni yapi aliyoyafanya hadi akadai ametokewa na Yesu?na ana cheo cha utume na ni mtu muhimu katika ukristo tunaouona.

Kwa mtazamo wangu Paulo ni mfano mzuri katika huu mjadala.

Paulo alikuwa anaua wakristu kabla ya kuwa Mtume. Muhammad hakuwa anaua watu kabla ya kuwa "Mtume" lakini baada ya kuwa mtume akaanza kuuawa watu. Umeelewa sasa jinsi Wawili hao wasivyoweza kulinganishwa?
 
Paulo alikuwa anaua wakristu kabla ya kuwa Mtume. Muhammad hakuwa anaua watu kabla ya kuwa "Mtume" lakini baada ya kuwa mtume akaanza kuuawa watu. Umeelewa sasa jinsi Wawili hao wasivyoweza kulinganishwa?
Ndio maana nikataka awekwe kwenye list ili wadau wachangie najua kuna mengi ya kujadili,sijataka Paulo awekwe kwenye list kwa sababu tu ya kuua maana hata Musa na wengineo waliua sana tu na pamoja na utume wao hivyo kuua sio point muhimu.
 
Unadhani kwa nini Wayahudi kabila la Yesu hawamtambui wala kumkubali Yesu na matamshi yake
Josephus mwana historia wa Kiyahudi alyeandika yote yaliyo tokes Uyahudini karne ya kwanza kwanini hakuandika lolote kuhusu miujiza ya mtoto wa Fundi seremala wa miaka themanini na tano na mke wake wa miaka kumi na tatu?
Tuanzie hapo kwanza?

Josephus,Myahudi yupi? Myahudi mkana Ukristo au Myahudi Mkristu?

1. Je,wewe leo unaweza kuandika miujiza ya Yesu?

2. Unaweza kuandika wasifu Wa Yesu kama Mwana Wa Mung na kwamba ni Mungu? Kama huwezi sababu itakayokufanya hivyo ndo hiyo hiyo iliyomfanya Josephus asifanye hivyo kadri ulivyotujuza.
 
Toa Nelson Mandela hajawafanyia chochote wa Afrika Kusini weusi usiamini propaganda za wazungu , mtoa post.
 
....Aliyesulubiwa amelaaniwa. ...

Ni afadhali kupigwa na wanadamu wenzio. Yesu alikuwa Mungu na Mwanadamu. Mwanadamu aliyepigwa na mjumbe Wa Mungu pangoni yeye atakuwa amelaaniwa kuliko mwanadamu yeyote yule. Ni yeye Wa kwanza kupigwa na Mungu na Wa mwisho pia.
 
1. Kuminywa hadi Muhammad kujihofia kufa muda wowote sio kukabwa ni nini? Umesahau alichofika na kumueleza Khadija anavyojisikia?

2. Ina maana Mungu hana njia nyingine ya kumuelewesha binadamu pale anapokuwa na Kichwa kigumu hadi atumie nguvu?

3. Je,Mungu wakati anamtuma Malaika kwa Muhammad hakuwa anafahamu kwamba Muhammad ana Kichwa kigumu cha kuelewa hata asubirie kwenda kumdhalilisha hivyo MTU mzima na watoto na familia? Wewe unafikiria akina Kassimu walijisikiaje kumuona baba yao anarudi nyumbani amelowa majasho?


Nacheka sana. Sasa wapi amedhalilishwa ?

Hizo ni hatua za maandalizi. Kwanza umeelewa nilichokiandika ?

Unajua ni lini mtume alipewa utume ?

Na kwa nini alimchagua Muhammad kuwa mjumbe wake ? Tena mjumbe asiye jua kusoma wala kuandika ?

Lakini je hujui nini kilichofata baada ya mtume kufanya hima na juhudi ya kuhifadhi aya alizokuwa analetewa na malaika Jibril mwenye kuheshimiwa ? Allah alimwambia hakika atadhibiti aya zake kifuani mwake na wala hatasahau.

Ukipenda kuuliza maswali lazima upende kujibu maswalo pia.

Kila mtume alikuwa anapewa utume kulingana na hali yake. Na Allah angetaka angefanya hivyo tena kwa muda mchache na kwa ufanisi zaidi.
 
Mkuu unaonekana unajua mengi.Ujio wa mitume ulikuwa unatabiliwa je kwenye kurwan Kuna details zozote juu ya ujio muhamad.

Kila kitu kimo wewe soma utakuta habari zake na si kwenye Qur'an tu mpaka kwenye Taurati na Injili.

Hao unao wasikia wakina Waraqah bin Nawfal ibn Abdul 'Uzza al Qurash al Asad hawakuwa Waislam bali walikuwa watu wa kitabu waliyoyadhibiti mafundisho ya kwenye Injili vilivyo na ndio maana wakawa wanajua ishara za utume,bali mpaka yule Bahira,je unafikiri alioteshwa ? La hasha,bali ni elimu walizo kuwa nazo katika vitabu vyao.
 
Kama kweli Mihammad alifanyika mtume kupitia Padri wa kanisa katoliki(Waraqah)Na mtawa wa kanisa katoliki (Khadijah).Naanza kuamini vitu viwili;
Kwanza ile story ya Alberto Rivera kuhusu uislamu kuasisiwa na majesuit


Pili,quran ni total pragialism na fabrication ya bible katika sense ya kwamba hata hiyo inayoitwa miujiza ni coding za jesuits.Refer Da vinci codes na yafananayo na hayo.
Tatu ni umuhimu wa mji wa Jerusalem na namna ambayo muhammad aliufanya uwe mtakatifu uoanishe na lengo la kuanzisha uislam na vatican





Kama kweli Mihammad alifanyika mtume kupitia Padri wa kanisa katoliki(Waraqah)Na mtawa wa kanisa katoliki (Khadijah).Naanza kuamini vitu viwili;
Kwanza ile story ya Alberto Rivera kuhusu uislamu kuasisiwa na majesuit

Nikiri Kwa kipengele hiki cha kwanza kwangu ni habari ngeni. Yaani ni mpya na ni uzushi.

Lkn kama una hakika ya hicho ukisemacho nipatie dalili kutoka katka kitabu kisicho na shaka ndani Yake nani Mwongozo pekee sahihi na wa mwisho wa MwenyeziMungu yaani Qur'an.



Pili,quran ni total pragialism na fabrication ya bible katika sense ya kwamba hata hiyo inayoitwa miujiza ni coding za jesuits.Refer Da vinci codes na yafananayo na hayo.

Hapa naomba niweke sawa jambo moja, usifananishe Quran na bibilia, ukisema Quran imekopi kutoka kwa Taurat, zaburi na injili nitakukubalia kwa shingo upande na kabla kwa kukuonea huruma. Kwani ukweli Quran imekuja kukamilisha kutoka ktk vitabu vilivyotangukia.

Ndio maana tunahoji,
Taurati -Mussa
Zaburi - Saudi
Injili - Yesu
Quran - Muhammad.
Je bibilia imekabidhiwa kwa mtume gani, jibu jepesi ni fabricated huko antiokia italy.


Tatu ni umuhimu wa mji wa Jerusalem na namna ambayo muhammad aliufanya uwe mtakatifu uoanishe na lengo la kuanzisha uislam na vatican
Sijakuelewa, hata hivyo imani ya kiislam ni kuwa uislam haukuanza kwa Muhammad Bali yeye kaja kutimiliza.

Uislam ulianzia kwa adam , Nuhu, Suleiman , Ibrahim, ishaka, yakubu, na wote wengine hadi ukafika Kwa Issa (Yesu) ndio ukaishia kwa Muhammad (SAW)

Ndio maana utaona Quran inafanana sana na maandiko ya vitabu vya mungu vilivyotangulia, na inatofautiana n kitabu cha mwanafalsafa wa dini naemyheshimu Professor Paul.

Need u say more
 
Ni afadhali kupigwa na wanadamu wenzio. Yesu alikuwa Mungu na Mwanadamu. Mwanadamu aliyepigwa na mjumbe Wa Mungu pangoni yeye atakuwa amelaaniwa kuliko mwanadamu yeyote yule. Ni yeye Wa kwanza kupigwa na Mungu na Wa mwisho pia.

Ila kaka una hoja za kitoto sana. Hivi unajua kwamba mpaka sasa hujabatilisha utume wa Muhammad ?
 
Nacheka sana. Sasa wapi amedhalilishwa ?

Hizo ni hatua za maandalizi. Kwanza umeelewa nilichokiandika ?

Unajua ni lini mtume alipewa utume ?

Na kwa nini alimchagua Muhammad kuwa mjumbe wake ? Tena mjumbe asiye jua kusoma wala kuandika ?

Lakini je hujui nini kilichofata baada ya mtume kufanya hima na juhudi ya kuhifadhi aya alizokuwa analetewa na malaika Jibril mwenye kuheshimiwa ? Allah alimwambia hakika atadhibiti aya zake kifuani mwake na wala hatasahau.

Ukipenda kuuliza maswali lazima upende kujibu maswalo pia.

Kila mtume alikuwa anapewa utume kulingana na hali yake. Na Allah angetaka angefanya hivyo tena kwa muda mchache na kwa ufanisi zaidi.

"Sasa wapi amedhalilishwa ?"

Wewe huoni kwamba Muhammad alidhalilishwa? Mtu mzima na watoto waliokuwa wanamtegemea baba yao kama mlinzi Wa familia walijisikiaje kumuona Baba yao amerudi huku amelowa jasho chapachapwa?
 
"Sasa wapi amedhalilishwa ?"

Wewe huoni kwamba Muhammad alidhalilishwa? Mtu mzima na watoto waliokuwa wanamtegemea baba yao kama mlinzi Wa familia walijisikiaje kumuona Baba yao amerudi huku amelowa jasho chapachapwa?

Naona unakwepa swali. Hujaonyesha amedhalilishwa wapi na kivipi ?

Na je jalia kama ingekuwa kweli amedhalilishwa,je una uhakika gani kama watoto wake walimuona alipoingia nyumbani kwake ?

Je kutokwa jasho ni udhalili ?

Huku tunapoelekea itabidi tuanze kuelekezana namna ya kujibu hoja.
 
Back
Top Bottom