kilele pori
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 232
- 30
Habarini wana jamvi!! Mimi kwa mda sasa nashindwa kuwaelewa Bodi ya mikopo ya Elimu (HESLB) kwa upande wa Loans repayment kwa wanufaika wote. Moja hii mikopo ina riba au haina, pili inakuaje mtu unapoangalia deni lako (outstanding loan) linakua linatofautiana Mara kwa mara mfano Mimi mwaka jana mwanzoni nliangalia lilikua around 7M Mwaka huu limeongezeka karibia 3M Na mwisho inakuaje watu mmesoma course moja mwaka mmoja Na means test (kwa wakati wetu) sawa lakini mnatofautiana kwenye outstanding loans??
Naomba michango yenu kusaidia manake kulipa deni Ni Wajibu wetu kwa ajili ya ustawi wa nchi ila panaanza Na vikwazo vya ajabu Na vya kukura tena ukizingatia boom lenyewe lilikua linapatikana kwa manati bila migomo Na kelele haliingii kwenye account.
Karibuni,
KILELE PORI.
Naomba michango yenu kusaidia manake kulipa deni Ni Wajibu wetu kwa ajili ya ustawi wa nchi ila panaanza Na vikwazo vya ajabu Na vya kukura tena ukizingatia boom lenyewe lilikua linapatikana kwa manati bila migomo Na kelele haliingii kwenye account.
Karibuni,
KILELE PORI.