Marekani: Atoka jela baada ya kufungwa karibia miaka 70, atoka jela akiwa na miaka 83

Marekani: Atoka jela baada ya kufungwa karibia miaka 70, atoka jela akiwa na miaka 83

Miongo saba ni mingi sana aliingia jela kukiwa hamna TV za rangi sahivi kuna Flat screens na simu za kugusa vioo.

Kuna huyu Ortis, alitoka jela baada ya miaka 44.

Anasema alipotoka alishangaa kukuta watu wanaongea wenyewe wanatembea wanaongea wenyewe kumbe watu wanatembea wanaongea na simu.

Anasema mwaka 1975 alipoingia jela aliacha maisha ya kawaida lakini alipotoka akakuta watu wana mawaya waya masikioni akajiuliza hivi miaka hii kila mtu ni CIA kumbe watu wana earphones.

Kukaa jela miaka 70 sio masihala.
 
Nyinyi tu mmeishi bila bugudha yeyote maishani mwenu moto ,ila hatakunyanyua miguu huwezi..mwezenu gerezani hiyo miaka yuko imara kabisa......tumtafte das mmoja tumtume akaolewe huko kama yule kwababu seya
 
Na me natamani niende jela nikae miaka 50,ili niisahau hii dunia
 
Back
Top Bottom