Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilichotokea hapa NY ni tofauti sana na matarajio ya wengi.Naona Newyork wameanza weka barricades
Hiyo Jumanne hapatatosha maana Trump supporters, waandishi wa habari watajaa kweli kweli.
Kwani itabidi achukuliwe prints, apigwe mugshot, apelekwe mahakamani
Hii issue ingekuwa ni hapa kwetu umgesikia kelele kuwa wapimzani wanaonewaDonald Trump anakuwa rais mstaafu wa kwanza wa Marekani kushitakiwa, baada wazee wa mahakama ya Manhattan jijini New York kupiga kura ya kumshitaki Trump
Trump anatuhumiwa kumlipa hela, Stormy Daniels mcheza sinema za kikubwa ili akae kimya juu ya tuhuma ya mahusiano yao.
=============
Donald Trump amefunguliwa mashtaka na jopo kuu la mahakama ya wilaya ya Manhattan katika jimbo la New York baada ya uchunguzi kuhusu pesa haramu anazodaiwa kulipwa nyota wa filamu za ngono Storm Daniels, gazeti la New York Times limeripoti Alhamisi.
Amekuwa rais wa zamani wa Marekani wa kwanza kukabiliwa na mashtaka ya uhalifu wakati ambapo anagombea tena urais mwaka ujao.
Mashtaka hayo, yaliyotokana na uchunguzi ulioongozwa na mwanasheria mdemocrat wa wilaya ya Manhattan Alvin Bragg, yanaweza kubadili mwelekeo wa kinyang’anyiro cha urais cha mwaka wa 2024.
Awali, Trump alisema kwamba angeendelea kufanya kampeni za uchaguzi wa kumteua mgombea atakayekiwakilisha chama cha Republican ikiwa angeshtakiwa kwa uhalifu.
Jopo kuu la mahakama ya Manhattan lililoitishwa na Bragg mwezi Januari lilianza kusikiliza ushahidi kuhusu jukumu la Trump katika malipo ya Daniels siku chache kabla ya uchaguzi wa rais wa 2016 ambao aliishia kushinda.
Daniels, mwigizaji na muongozaji maarufu wa filamu za ngono ambaye jina lake halisi ni Stephanie Clifford, alisema alipokea pesa hizo ili asifichuwi kitendo cha ngono alichofanya na Trump mwaka wa 2006.
Trump anakabiliwa pia na kesi nyingine mbili za uchunguzi wa uhalifu. Trump amekosoa vikali hatua hiyo ya kumfunglia mashtaka, akidai imechochewa kisiasa.
Hii issue ingekuwa ni hapa kwetu umgesikia kelele kuwa wapimzani wanaonewa
Putin aka Dubu hiyo ni habari nyingineHii mi Askari iliyomdaka Trump ni mi giant sipati picha siku yamemtia mikononi Putin yanambeba mzobe mzobe kumpeleka the Hague.[emoji1787]
Mashtaka ya kutengeneza,wanamhofia atawapiga chini uchaguzi ujaoDonald Trump anakuwa rais mstaafu wa kwanza wa Marekani kushitakiwa, baada wazee wa mahakama ya Manhattan jijini New York kupiga kura ya kumshitaki Trump
Trump anatuhumiwa kumlipa hela, Stormy Daniels mcheza sinema za kikubwa ili akae kimya juu ya tuhuma ya mahusiano yao.
=============
Donald Trump amefunguliwa mashtaka na jopo kuu la mahakama ya wilaya ya Manhattan katika jimbo la New York baada ya uchunguzi kuhusu pesa haramu anazodaiwa kulipwa nyota wa filamu za ngono Storm Daniels, gazeti la New York Times limeripoti Alhamisi.
Amekuwa rais wa zamani wa Marekani wa kwanza kukabiliwa na mashtaka ya uhalifu wakati ambapo anagombea tena urais mwaka ujao.
Mashtaka hayo, yaliyotokana na uchunguzi ulioongozwa na mwanasheria mdemocrat wa wilaya ya Manhattan Alvin Bragg, yanaweza kubadili mwelekeo wa kinyang’anyiro cha urais cha mwaka wa 2024.
Awali, Trump alisema kwamba angeendelea kufanya kampeni za uchaguzi wa kumteua mgombea atakayekiwakilisha chama cha Republican ikiwa angeshtakiwa kwa uhalifu.
Jopo kuu la mahakama ya Manhattan lililoitishwa na Bragg mwezi Januari lilianza kusikiliza ushahidi kuhusu jukumu la Trump katika malipo ya Daniels siku chache kabla ya uchaguzi wa rais wa 2016 ambao aliishia kushinda.
Daniels, mwigizaji na muongozaji maarufu wa filamu za ngono ambaye jina lake halisi ni Stephanie Clifford, alisema alipokea pesa hizo ili asifichuwi kitendo cha ngono alichofanya na Trump mwaka wa 2006.
Trump anakabiliwa pia na kesi nyingine mbili za uchunguzi wa uhalifu. Trump amekosoa vikali hatua hiyo ya kumfunglia mashtaka, akidai imechochewa kisiasa.
Wamemdakaje wakati kaenda mwenyewe na private jet.Hii mi Askari iliyomdaka Trump ni mi giant sipati picha siku yamemtia mikononi Putin yanambeba mzobe mzobe kumpeleka the Hague.[emoji1787]
Soko lishapanda huyuStormy Daniels huyu hapa, picha muhimuView attachment 2571636
Mashtaka ya kutengeneza,wanamhofia atawapiga chini uchaguzi ujao
Atawashinda
Jet iliishiia uwanja wa ndege tu baada ya hapo akawa chini ya ulinzi na kuchukuliwa fingerprint pamoja na mugshot, walichomuonea huruma ni kutompiga bangili tu wkt anaelekea court room.Wamemdakaje wakati kaenda mwenyewe na private jet.
Mwamba anawapiga chini kwenye kesi na anaenda shinda uchaguzi mwaka ujao
Next year ndio Rais huyo baada ya Biden.Jet iliishiia uwanja wa ndege tu baada ya hapo akawa chini ya ulinzi na kuchukuliwa fingerprint pamoja na mugshot, walichomuonea huruma ni kutompiga bangili tu wkt anaelekea court room.
He is done.Next year ndio Rais huyo baada ya Biden.
Hizi ni sarakasi tu