Marekani: Donald Trump ashtakiwa kwa pesa haramu anazodaiwa kumlipa nyota wa filamu za ngono

Marekani: Donald Trump ashtakiwa kwa pesa haramu anazodaiwa kumlipa nyota wa filamu za ngono

Former US President Donald Trump will be charged with a crime over allegations he covered up hush money payments to ex-porn actress Stormy Daniels.
Ms Daniels claims she and Mr Trump had sex, and that she accepted $130,000 (£100,000) from his former lawyer before the 2016 election in exchange for her silence on the encounter.
The lawyer, Michael Cohen, was later jailed on multiple charges.
The former president has denied he had any sexual involvement with Ms Daniels since the allegations surfaced in 2018.
 
Trump ana makandokando sana
Kisheria si sawa kutumia pesa ulizokusanya kwa ajili ya kampeni kumlipa mtu ili asiweke ukweli hadharani.

Isingekuwa malipo ameyafanya katikati ya kampeni kusingejuwa na kosa.
Pili alifunika hayo malipo kuonesha ni malipo ya kawaida kuhusiana na kampeni.
 
Naona Newyork wameanza weka barricades

Hiyo Jumanne hapatatosha maana Trump supporters, waandishi wa habari watajaa kweli kweli.

Kwani itabidi achukuliwe prints, apigwe mugshot, apelekwe mahakamani
 
Naona Newyork wameanza weka barricades

Hiyo Jumanne hapatatosha maana Trump supporters, waandishi wa habari watajaa kweli kweli.

Kwani itabidi achukuliwe prints, apigwe mugshot, apelekwe mahakamani
Kilichotokea hapa NY ni tofauti sana na matarajio ya wengi.
 
Donald Trump anakuwa rais mstaafu wa kwanza wa Marekani kushitakiwa, baada wazee wa mahakama ya Manhattan jijini New York kupiga kura ya kumshitaki Trump

Trump anatuhumiwa kumlipa hela, Stormy Daniels mcheza sinema za kikubwa ili akae kimya juu ya tuhuma ya mahusiano yao.

=============


Donald Trump amefunguliwa mashtaka na jopo kuu la mahakama ya wilaya ya Manhattan katika jimbo la New York baada ya uchunguzi kuhusu pesa haramu anazodaiwa kulipwa nyota wa filamu za ngono Storm Daniels, gazeti la New York Times limeripoti Alhamisi.

Amekuwa rais wa zamani wa Marekani wa kwanza kukabiliwa na mashtaka ya uhalifu wakati ambapo anagombea tena urais mwaka ujao.

Mashtaka hayo, yaliyotokana na uchunguzi ulioongozwa na mwanasheria mdemocrat wa wilaya ya Manhattan Alvin Bragg, yanaweza kubadili mwelekeo wa kinyang’anyiro cha urais cha mwaka wa 2024.

Awali, Trump alisema kwamba angeendelea kufanya kampeni za uchaguzi wa kumteua mgombea atakayekiwakilisha chama cha Republican ikiwa angeshtakiwa kwa uhalifu.

Jopo kuu la mahakama ya Manhattan lililoitishwa na Bragg mwezi Januari lilianza kusikiliza ushahidi kuhusu jukumu la Trump katika malipo ya Daniels siku chache kabla ya uchaguzi wa rais wa 2016 ambao aliishia kushinda.

Daniels, mwigizaji na muongozaji maarufu wa filamu za ngono ambaye jina lake halisi ni Stephanie Clifford, alisema alipokea pesa hizo ili asifichuwi kitendo cha ngono alichofanya na Trump mwaka wa 2006.

Trump anakabiliwa pia na kesi nyingine mbili za uchunguzi wa uhalifu. Trump amekosoa vikali hatua hiyo ya kumfunglia mashtaka, akidai imechochewa kisiasa.
Hii issue ingekuwa ni hapa kwetu umgesikia kelele kuwa wapimzani wanaonewa
 
Hii mi Askari iliyomdaka Trump ni mi giant sipati picha siku yamemtia mikononi Putin yanambeba mzobe mzobe kumpeleka the Hague.[emoji1787]
 
Donald Trump anakuwa rais mstaafu wa kwanza wa Marekani kushitakiwa, baada wazee wa mahakama ya Manhattan jijini New York kupiga kura ya kumshitaki Trump

Trump anatuhumiwa kumlipa hela, Stormy Daniels mcheza sinema za kikubwa ili akae kimya juu ya tuhuma ya mahusiano yao.

=============


Donald Trump amefunguliwa mashtaka na jopo kuu la mahakama ya wilaya ya Manhattan katika jimbo la New York baada ya uchunguzi kuhusu pesa haramu anazodaiwa kulipwa nyota wa filamu za ngono Storm Daniels, gazeti la New York Times limeripoti Alhamisi.

Amekuwa rais wa zamani wa Marekani wa kwanza kukabiliwa na mashtaka ya uhalifu wakati ambapo anagombea tena urais mwaka ujao.

Mashtaka hayo, yaliyotokana na uchunguzi ulioongozwa na mwanasheria mdemocrat wa wilaya ya Manhattan Alvin Bragg, yanaweza kubadili mwelekeo wa kinyang’anyiro cha urais cha mwaka wa 2024.

Awali, Trump alisema kwamba angeendelea kufanya kampeni za uchaguzi wa kumteua mgombea atakayekiwakilisha chama cha Republican ikiwa angeshtakiwa kwa uhalifu.

Jopo kuu la mahakama ya Manhattan lililoitishwa na Bragg mwezi Januari lilianza kusikiliza ushahidi kuhusu jukumu la Trump katika malipo ya Daniels siku chache kabla ya uchaguzi wa rais wa 2016 ambao aliishia kushinda.

Daniels, mwigizaji na muongozaji maarufu wa filamu za ngono ambaye jina lake halisi ni Stephanie Clifford, alisema alipokea pesa hizo ili asifichuwi kitendo cha ngono alichofanya na Trump mwaka wa 2006.

Trump anakabiliwa pia na kesi nyingine mbili za uchunguzi wa uhalifu. Trump amekosoa vikali hatua hiyo ya kumfunglia mashtaka, akidai imechochewa kisiasa.
Mashtaka ya kutengeneza,wanamhofia atawapiga chini uchaguzi ujao

Atawashinda
 
Hii mi Askari iliyomdaka Trump ni mi giant sipati picha siku yamemtia mikononi Putin yanambeba mzobe mzobe kumpeleka the Hague.[emoji1787]
Wamemdakaje wakati kaenda mwenyewe na private jet.

Mwamba anawapiga chini kwenye kesi na anaenda shinda uchaguzi mwaka ujao
 
Wamemdakaje wakati kaenda mwenyewe na private jet.

Mwamba anawapiga chini kwenye kesi na anaenda shinda uchaguzi mwaka ujao
Jet iliishiia uwanja wa ndege tu baada ya hapo akawa chini ya ulinzi na kuchukuliwa fingerprint pamoja na mugshot, walichomuonea huruma ni kutompiga bangili tu wkt anaelekea court room.
 
Jet iliishiia uwanja wa ndege tu baada ya hapo akawa chini ya ulinzi na kuchukuliwa fingerprint pamoja na mugshot, walichomuonea huruma ni kutompiga bangili tu wkt anaelekea court room.
Next year ndio Rais huyo baada ya Biden.
Hizi ni sarakasi tu
 
Back
Top Bottom