Marekani: Elon Musk avunja Bodi ya Wakurugenzi ya Twitter

Marekani: Elon Musk avunja Bodi ya Wakurugenzi ya Twitter

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Elon Musk amevunja bodi ya Twitter na kujifanya "mkurugenzi pekee" wa kampuni hiyo.

Wanachama wote wa awali wa bodi hiyo wameondolewa kwenye jukumu hilo, na kumwacha Bw Musk pekee kama mkurugenzi, kulingana na jalada jipya.

Hatua hiyo ilichukuliwa wiki iliyopita kama sehemu ya ununuzi wa Bw Musk wa dola bilioni 44 wa kampuni hiyo, kwa mujibu wa na jalada hilo hilo la SEC, ambalo limewekwa wazi leo Jumatatu.

Hapo awali bodi hiyo ilikuwa imejumuisha mwenyekiti wake, Bret Taylor, pamoja na mtendaji mkuu aliyefukuzwa Parag Agrawal. Kwa jumla, ilijumuisha wakurugenzi tisa.

Ni moja tu ya mabadiliko makubwa ambayo Bw Musk tayari amefanya, ndani ya siku chache baada ya kununua na kuchukua kampuni.

1667243273463.png

1667243338762.png

1667243362232.png

1667243388795.png

1667243408577.png
 

Attachments

  • 1667243164731.png
    1667243164731.png
    7.8 KB · Views: 5
Wasenge wanakujaga kutufundisha khs Corporate governance,sijui umuhimu wa kutenganisha nafasi ya CEO na Chairman na blah blah blah kibao.

Muhuni kapindua meza Hakuna Kitu Cha Corporate governance na ujinga mwingine na Maisha yataenda fresh tu.
Kampuni yangu halafu kuwa na wakurugenzi 9 timua wote nnabaki CEO mwenyewe
 
Jamaa kapigwa....
Unamnunua marytina outdated kwa bei ya msichana wa miaka 21
 
Jamaa kapigwa....
Unamnunua marytina outdated kwa bei ya msichana wa miaka 21
Sio tu hivyo, kaingiia choo cha Trans....
Huwezi kununua hisia za mtu kujishughulisha na mtandao wa kijamii...
Twitter wenyewe walishaichoka na walishindwa kuinua ili kushindana na kina Facebook, Insta na Sasa babalao TikTok kwa kuwa walishaona hakuna tena uchawi wa kiteknologia utakaosaidia hilo, ndio maana
walimshikia bango mahakamani alipe dola billioni 1 baada ya chale kumcheza akataka kupiga chini dili.
Halafu alidhani atamrudisha Trump na wafuasi wake kuboost members, Trump kampa za mbavu.....
 
Sio tu hivyo, kaingiia choo cha Trans....
Huwezi kununua hisia za mtu kujishughulisha na mtandao wa kijamii...
Twitter wenyewe walishaichoka na walishindwa kuinua ili kushindana na kina Facebook, Insta na Sasa babalao TikTok kwa kuwa walishaona hakuna tena uchawi wa kiteknologia utakaosaidia hilo, ndio maana
walimshikia bango mahakamani alipe dola billioni 1 baada ya chale kumcheza akataka kupiga chini dili.
Halafu alidhani atamrudisha Trump na wafuasi wake kuboost members, Trump kampa za mbavu.....
Mnabeza uwekezaji? Hata miezi mitatu haijapita? Wakati waanzilishi wa apple na waanzilishi wenza wa microsoft(utanikosoa kama nimekosea) wanaachia haki na umiliki wao huwenda kuna watu walibeza kama mfanyavyo. Ila sasa hali ipoje?

Musk ni mbunifu ni mapema kusema ameshkishwa/amepigwa..
 
Wakati waanzilishi wa apple na waanzilishi wenza wa microsoft(utanikosoa kama nimekosea) wanaachia haki na umiliki wao huwenda kuna watu walibeza kama mfanyavyo. Ila sasa hali ipoje?
Sijaelewa una maanisha nini? na inahusiana vipi na uuzaji na ununuzi wa Twitter...

Steve Wozniak alijitoa Apple na kuchukua chake mapema...
Steve Jobs alifukuzwa Apple sio aliiuza....baada ya Apple kuvurunda
Akaenda kuanzisha kampuni nyingine na ilifanya vizuri, huku Apple wakataka kuinunua, ndio akarudi Apple mazima.....
Bill Gate bado ni mmiliki wa Microsoft, lakini hajishughulisi na uendeshaji wake...
Na hizi zote sio tandao za jamii, hizi mali ghafi.....

Twitter ni Mimi na mawazo yangu kuamua kuitumia, kama sitaki, najua sitakua peke yangu
Ni kama umenunua magazeti ya Uhuru na Mzalendo, ambayo watu wakiamua kutokuyasoma, unakuwa umeangukia pua.....
 
Kwamba wewe unajua kuliko yeye?
Sihitaji kujua...
Alitumbukiza mguu mmoja kwenye choo cha shimo, Twitter wakamwambia ukichoropoka tunakupaka mavi mwili mzima....and the rest is history.....
 
Sio tu hivyo, kaingiia choo cha Trans....
Huwezi kununua hisia za mtu kujishughulisha na mtandao wa kijamii...
Twitter wenyewe walishaichoka na walishindwa kuinua ili kushindana na kina Facebook, Insta na Sasa babalao TikTok kwa kuwa walishaona hakuna tena uchawi wa kiteknologia utakaosaidia hilo, ndio maana
walimshikia bango mahakamani alipe dola billioni 1 baada ya chale kumcheza akataka kupiga chini dili.
Halafu alidhani atamrudisha Trump na wafuasi wake kuboost members, Trump kampa za mbavu.....
Elon Musk ni nyakanga wa teknolojia.
Ana ubunifu wa hali ya juu. Ataigeuza twitter ambapo kila mtu atatamani kuingia humo.

Kikubwa uhakika wa security na freedom of expression. Pia angalia hizo tiktoka na fesiboka na wengineo wanavyotafuna bando.

Jamaa atakuja na solution moja amazing
 
Elon Musk ni nyakanga wa teknolojia.
Ana ubunifu wa hali ya juu. Ataigeuza twitter ambapo kila mtu atatamani kuingia humo.

Kikubwa uhakika wa security na freedom of expression. Pia angalia hizo tiktoka na fesiboka na wengineo wanavyotafuna bando.

Jamaa atakuja na solution moja amazing
Tatizo la haya mambo ya Teknologia ya mitandao ya jamii....
Hakunaga eti nitawaletea hiki au kile...
Hakuna solution yeyeto atakayoleta hapa...akawaulize Facebook , Insta , Snapchat kwanini walitota kwa TikTok.....Jamii inapenda kitu kipya na chenye mshangao wa faida ...sasa Twitter italeta nini,
Sasa hata kitwiti tu anataka awalipishe watu......yaani amejitapika mwenyewe.....
Twitter ilikuwa ni dunia yake ndogo, ya kukidhi his asperger's syndrome....na fan base awke walikuwa wanampenda on just that....
Hata Trump kamcheka.....
 
Tatizo la haya mambo ya Teknologia ya mitandao ya jamii....
Hakunaga eti nitawaletea hiki au kile...
Hakuna solution yeyeto atakayoleta hapa...akawaulize Facebook , Insta , Snapchat kwanini walitota kwa TikTok.....Jamii inapenda kitu kipya na chenye mshangao wa faida ...sasa Twitter italeta nini,
Sasa hata kitwiti tu anataka awalipishe watu......yaani amejitapika mwenyewe.....
Twitter ilikuwa ni dunia yake ndogo, ya kukidhi his asperger's syndrome....na fan base awke walikuwa wanampenda on just that....
Hata Trump kamcheka.....
Muda ni mwalimu mzuri

Addiction to inflation inaenda kukumbana na kikwazo. Hali ya maisha watu wanataka mabadiliko yenye kuwaletea unafuu.
Faceboik bado anatrend kwa sababu ya matangazo rahisi ya biashara.

Twitter akija na idea mpya zaidi ya spaces utaona namna ubunifu unavyoweza kusababisha watumiaji kurudisha fikra zao. Intellectuals wanaweza kuitumia kwa malengo yao. Wakulima na wajasiriamali wanaweza kujikuta wanaihitaji sana kwa malengo yao.

Akianzisha communities ehnacements kama social mini-platforms zinazojiendesha kama webpages. Akaanzisha secured emails, na peer to peer kama whatsapp utajikuta unakimbilia kuitumia kuliko sasa ambapo wamiliki wake walikuwa oldfashioned na conservatives by nature
 
Kanunua simu ya Nokia kwa bei iPhone....

Kuna ukweli fulani
Wabongo mnajikuta wajuaji Sana , mtu ambaye Taifa la Marekani linamtegemea kwenye operations nyeti kabisa , mnaona amekrupuka , duniani kote billionares wanakuwa boosted na serikali , huwez kutoboa kufika level ya billionares bila mkono wa serikali , na alichokifanya hajskrupuka ni inside mission , na matokeo mtayaona soon ....!!
 
Wabongo mnajikuta wajuaji Sana , mtu ambaye Taifa la Marekani linamtegemea kwenye operations nyeti kabisa , mnaona amekrupuka , duniani kote billionares wanakuwa boosted na serikali , huwez kutoboa kufika level ya billionares bila mkono wa serikali , na alichokifanya hajskrupuka ni inside mission , na matokeo mtayaona soon ....!!

Sawa mmarekani usiye mjuaji.
 
Back
Top Bottom