Marekani: Elon Musk avunja Bodi ya Wakurugenzi ya Twitter

Marekani: Elon Musk avunja Bodi ya Wakurugenzi ya Twitter

Wabongo ni watu wa hovyo. Ujuaji mwingi kwenye vitu wasivyo vifahamu.
 
Muda ni mwalimu mzuri

Addiction to inflation inaenda kukumbana na kikwazo. Hali ya maisha watu wanataka mabadiliko yenye kuwaletea unafuu.
Faceboik bado anatrend kwa sababu ya matangazo rahisi ya biashara.

Twitter akija na idea mpya zaidi ya spaces utaona namna ubunifu unavyoweza kusababisha watumiaji kurudisha fikra zao. Intellectuals wanaweza kuitumia kwa malengo yao. Wakulima na wajasiriamali wanaweza kujikuta wanaihitaji sana kwa malengo yao.

Akianzisha communities ehnacements kama social mini-platforms zinazojiendesha kama webpages. Akaanzisha secured emails, na peer to peer kama whatsapp utajikuta unakimbilia kuitumia kuliko sasa ambapo wamiliki wake walikuwa oldfashioned na conservatives by nature
Bora umefafanua vyema. Bado nasisitiza musk ni mbunifu ana pesa ya kuitangaza na nimapema sana kuanza kusema eti amechemka. Katika ulimwengu wa viwanda na makamouni ya magari ambayo yana majina makubwa tangu enzi na enzi tizama yeye amekuja na brand yake ya magari ya umeme na tayari magari yake yana jina ulimwenguni
 
Wabongo mnajikuta wajuaji Sana , mtu ambaye Taifa la Marekani linamtegemea kwenye operations nyeti kabisa , mnaona amekrupuka , duniani kote billionares wanakuwa boosted na serikali , huwez kutoboa kufika level ya billionares bila mkono wa serikali , na alichokifanya hajskrupuka ni inside mission , na matokeo mtayaona soon ....!!
Nashangaa umiliki wake kwa twita hauna hata miezi sita watu wamesha assess na kuja na hitimisho kuwa musk kachemsha
 
Nashangaa umiliki wake kwa twita hauna hata miezi sita watu wamesha assess na kuja na hitimisho kuwa musk kachemsha
Kalinunua Twitter bila kupenda...jamaa walimtwisti mahakaman...
 
Twitter ilikuwa controlled na left wing/liberals , uhuru wa maoni hasa yanayoshahabiana na conservatives ulikuwa haupo.

Kama elon ataweza kuifanya twitter iwe platform huru kwa watu wote atafanikiwa sana.
 
Back
Top Bottom