Marekani hakuna Rais daktari, CPT, Engineer wala Advocate? Kwanini hawapendi kusoma?

Marekani hakuna Rais daktari, CPT, Engineer wala Advocate? Kwanini hawapendi kusoma?

Obama na hata Biden ni PhD holders, Bill Clinton ni Professor........sema kwa wazungu hata wenye title hizo za elimu wanaitwa tu kwa majina yao ya awali bila kuzitaja, hawana mambo ya kujikweza au kujenga matabaka......

Utashangaa hakuna mtu anahangaika kumwita rais au waziri mkuu wa nchi kama Marekani na Uingereza mheshimiwa kama ilivyo hapa bongolala.

Nafikri wana discourage kujenga matabaka ndani ya jamii ndo maana inakuwa rahisi hata kuwawajibisha viongozi wanaokiuka sheria na miongozo waliyojiwekea maana hawachukuliwi kama watu special au miungu watu.​
 
Marekani wanaamini cheo Cha fani kinatakiwa kutumika ukiwa kwenye fani husika tu sio kwenye eneo lisilo la fani Yako mfano wewe uko bungeni na Ni Engineer pale huwezi itwa Engineer Fulani sio sehemu ya Engineering pale au wewe Daktari wa binadamu huwezi itwa Dr Fulani pale utaitwa Kwa jina lako tu hayo ya kuitwa Dr yanabakia Kwa Daktari aliyeko eneo husika

Hivyo hata uwe Professor kama Obama ukiwa kwenye siasa jina la Professor linaondoka Sababu huko chuoni Tena uko Raisi ambacho sio kitivo Cha chuo kikuu Sisi majina ya Dk ,Engineer etc mtu anabeba Hadi misibani ,ngomani, kitchen party nk
Mtu mbunge unakuta Yuko bungeni anaitwa mheshimiwa mbunge Askofu Gwajima.Uaskofu bungeni . Wamarekani cheo huhusika pale kilipo active kwenye fani husika tu nje hakuna unatajwa Kwa jina lako tu kama Askofu huko kanisani kwako sio nje bungeni huko
Ha ha ha , dah Eti Mheshimiwa Mbunge Dokta. askofu Gwajima, ila Afrika tupo gizani Sana.
Wamegundua sasa wanajiandikisa OPEN UNIVERSITY, zingatia neno "chuo huria" kupata hizo masters na phD bila hata kukanyaga darasani. Wanataka hizo tittle za Docto na wakili ili wakadanganyie wapiga kura.
 
Marekani ambayo kabla kupata uhuru mwaka 1776 , ilitawaliwana Uingereza na wakapata Rais wa kwanza George Washington.
Tangu wapate uhuru, haijawahi kutokea Rais yeyote , awe msomi wa chuo, daktari wa hospitali[MD] au wa falsafa phD,au mjuzi wa hesabu [CPA] ambaye amewahi kujinasibu na prefix ya cheo chake.

Je, ni ulimbukeni kutumia phD, CPA, Advocate kwenye majina ya marais? JE, haya majina wanayojipa kwenye vyeo vyao yana-reflect maendeleo kwenye nchi zao?

OBAMA [Profesa wa Sheria]

LIST YA MARAIS WOTE WA MAREKANI.

  1. George Washington (1789-1797)
  2. John Adams (1797-1801)
  3. Thomas Jefferson (1801-1809)
  4. James Madison (1809-1817)
  5. James Monroe (1817-1825)
  6. John Quincy Adams (1825-1829)
  7. Andrew Jackson (1829-1837)
  8. Martin Van Buren (1837-1841)
  9. William Henry Harrison (1841)
  10. John Tyler (1841-1845)
  11. James K. Polk (1845-1849)
  12. Zachary Taylor (1849-1850)
  13. Millard Fillmore (1850-1853)
  14. Franklin Pierce (1853-1857)
  15. James Buchanan (1857-1861)
  16. Abraham Lincoln (1861-1865)
  17. Andrew Johnson (1865-1869)
  18. Ulysses S. Grant (1869-1877)
  19. Rutherford B. Hayes (1877-1881)
  20. James A. Garfield (1881)
  21. Chester A. Arthur (1881-1885)
  22. Grover Cleveland (1885-1889)
  23. Benjamin Harrison (1889-1893)
  24. Grover Cleveland (1893-1897)
  25. William McKinley (1897-1901)
  26. Theodore Roosevelt (1901-1909)
  27. William Howard Taft (1909-1913)
  28. Woodrow Wilson (1913-1921)
  29. Warren G. Harding (1921-1923)
  30. Calvin Coolidge (1923-1929)
  31. Herbert Hoover (1929-1933)
  32. Franklin D. Roosevelt (1933-1945)
  33. Harry S. Truman (1945-1953)
  34. Dwight D. Eisenhower (1953-1961)
  35. John F. Kennedy (1961-1963)
  36. Lyndon B. Johnson (1963-1969)
  37. Richard Nixon (1969-1974)
  38. Gerald Ford (1974-1977)
  39. Jimmy Carter (1977-1981)
  40. Ronald Reagan (1981-1989)
  41. George H. W. Bush (1989-1993)
  42. Bill Clinton (1993-2001)
  43. George W. Bush (2001-2009)
  44. Barack Obama (2009-2017)
  45. Donald Trump (2017-2021)
  46. Joe Biden (2021-present)
MADAKTARI WALIKUWA HAWA.
1. James Madison
2. William Henry Harrison
3. Andrew Johnson:

MAWAKILI/WANASHERIA

1. Barack Obama: Obama alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Harvard na alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 44 wa Merika kutoka 2009 hadi 2017.

2.Bill Clinton: Clinton alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Yale na alifanya mazoezi ya sheria huko Arkansas kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 42 wa Merika kutoka 1993 hadi 2001.

3.
Gerald Ford: alipata digrii yake ya sheria Yale Law School and practiced law in Michigan kabla ya kuingia kwenye siasa . He served as the 38th President of the United States from 1974 to 1977.

4. Richard Nixon: alipata digrii yake ya sheria Duke University Law School and practiced law in California before ekabla kuingia kwenye siasa. He served as the 37th President of the United States from 1969 to 1974.

5. Franklin D. Roosevelt: Roosevelt alihudhuria Shule ya Sheria ya Columbia lakini hakumaliza shahada yake ya sheria. Alifanya sheria kwa muda mfupi kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 32 wa Merika kutoka 1933 hadi 1945.

6 Thomas Jefferson: Jefferson pia alikuwa mwanasheria kitaaluma. Alilazwa katika baa ya Virginia mnamo 1767 na akafanya sheria kwa miaka kadhaa kabla ya kuingia kwenye siasa. Jefferson aliwahi kuwa Rais wa tatu wa Merika kutoka 1801 hadi 1809.

7. James Madison: Madison alipata elimu yake ya kisheria kutoka Chuo cha William na Mary na alifanya sheria huko Virginia. Alikuwa mmoja wa waandishi wa msingi wa Katiba ya Merika na aliwahi kuwa Rais wa nne wa Merika kutoka 1809 hadi 1817.

8. James Monroe: Monroe alisoma sheria chini ya Thomas Jefferson na kufanya sheria huko Virginia. Aliwahi kuwa Rais wa tano wa Merika kutoka 1817 hadi 1825.

9. John Quincy Adams: Adams alikuwa mwanasheria aliyeelimishwa na Harvard ambaye alitekeleza sheria kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa sita wa Merika kutoka 1825 hadi 1829.

10. Andrew Jackson: Jackson alianza kusomea sheria katika ujana wake na alilazwa katika baa ya North Carolina mwaka wa 1787. Alifanya mazoezi ya sheria huko Tennessee na aliwahi kuwa Rais wa saba wa Marekani kuanzia 1829 hadi 1837.

11. Abraham Lincoln: Lincoln ni mmoja wa wakili-marais maarufu katika historia ya U.S. Alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois na aliwahi kuwa Rais wa 16 wa Merika kutoka 1861 hadi 1865.

12. Franklin Pierce: Pierce alihudhuria shule ya sheria katika Chuo cha Bowdoin na alifanya mazoezi ya sheria huko New Hampshire. Aliwahi kuwa Rais wa 14 wa Merika kutoka 1853 hadi 1857.

13. Benjamin Harrison: Harrison alisomea sheria katika Chuo Kikuu cha Miami na kufanya mazoezi ya sheria huko Indiana. Aliwahi kuwa Rais wa 23 wa Merika kutoka 1889 hadi 1893.

14.Rutherford B. Hayes: Hayes attended Harvard Law School and practiced law in Ohio. He served as the 19th President of the United States from 1877 to 1881.

15. William Howard Taft: Taft was a Yale-educated lawyer who practiced law in Ohio. He served as the 27th President of the United States from 1909 to 1913 and later became the Chief Justice of the United States.

16. Calvin Coolidge: Coolidge studied law and was admitted to the bar in Massachusetts. He practiced law before entering politics and served as the 30th President of the United States from 1923 to 1929.

17. Woodrow Wilson: Wilson attended law school at the University of Virginia and practiced law briefly before pursuing a career in academia and politics. He served as the 28th President of the United States from 1913 to 1921.

18. Chester A. Arthur: Arthur practiced law in New York City before entering politics. He served as the 21st President of the United States from 1881 to 1885.

19.Grover Cleveland: Cleveland studied law and was admitted to the bar in 1859. He practiced law in New York and served as the 22nd and 24th President of the United States from 1885 to 1889 and again from 1893 to 1897.

20. Chester A. Arthur: Arthur practiced law in New York City before entering politics. He served as the 21st President of the United States from 1881 to 1885.

Hao wote, madaktari, CPA, MAprofessor na Mawakili hawatumii tittle zao, kwanini Afrika ?

Kwanini Maraisi wa kisasa , hasa Afrika wanapenda recognition ya udaktari ?
Ushamba na ulimbukeni tu unawasumbua
 
Ushamba na ulimbukeni tu unawasumbua
Na wanajiaibisha sana mikutano ya kimataifa.
Kwenye ile kesi ya Kampuni ya madini kule Canada vs Tanzania, wanasheria wa Tanzania walikuwa zaidi ya 12 na 5 wote ni doctor na professor, lakini kingereza hawajui, basi hizo submission wameandikiwa na kutumiwa wasome tu, yaani kusoma unaweza fikiri ni mtoto wa chekechea.
 
Marekani ambayo kabla kupata uhuru mwaka 1776 , ilitawaliwana Uingereza na wakapata Rais wa kwanza George Washington.
Tangu wapate uhuru, haijawahi kutokea Rais yeyote , awe msomi wa chuo, daktari wa hospitali[MD] au wa falsafa phD,au mjuzi wa hesabu [CPA] ambaye amewahi kujinasibu na prefix ya cheo chake.

Je, ni ulimbukeni kutumia phD, CPA, Advocate kwenye majina ya marais? JE, haya majina wanayojipa kwenye vyeo vyao yana-reflect maendeleo kwenye nchi zao?

OBAMA [Profesa wa Sheria]

LIST YA MARAIS WOTE WA MAREKANI.

  1. George Washington (1789-1797)
  2. John Adams (1797-1801)
  3. Thomas Jefferson (1801-1809)
  4. James Madison (1809-1817)
  5. James Monroe (1817-1825)
  6. John Quincy Adams (1825-1829)
  7. Andrew Jackson (1829-1837)
  8. Martin Van Buren (1837-1841)
  9. William Henry Harrison (1841)
  10. John Tyler (1841-1845)
  11. James K. Polk (1845-1849)
  12. Zachary Taylor (1849-1850)
  13. Millard Fillmore (1850-1853)
  14. Franklin Pierce (1853-1857)
  15. James Buchanan (1857-1861)
  16. Abraham Lincoln (1861-1865)
  17. Andrew Johnson (1865-1869)
  18. Ulysses S. Grant (1869-1877)
  19. Rutherford B. Hayes (1877-1881)
  20. James A. Garfield (1881)
  21. Chester A. Arthur (1881-1885)
  22. Grover Cleveland (1885-1889)
  23. Benjamin Harrison (1889-1893)
  24. Grover Cleveland (1893-1897)
  25. William McKinley (1897-1901)
  26. Theodore Roosevelt (1901-1909)
  27. William Howard Taft (1909-1913)
  28. Woodrow Wilson (1913-1921)
  29. Warren G. Harding (1921-1923)
  30. Calvin Coolidge (1923-1929)
  31. Herbert Hoover (1929-1933)
  32. Franklin D. Roosevelt (1933-1945)
  33. Harry S. Truman (1945-1953)
  34. Dwight D. Eisenhower (1953-1961)
  35. John F. Kennedy (1961-1963)
  36. Lyndon B. Johnson (1963-1969)
  37. Richard Nixon (1969-1974)
  38. Gerald Ford (1974-1977)
  39. Jimmy Carter (1977-1981)
  40. Ronald Reagan (1981-1989)
  41. George H. W. Bush (1989-1993)
  42. Bill Clinton (1993-2001)
  43. George W. Bush (2001-2009)
  44. Barack Obama (2009-2017)
  45. Donald Trump (2017-2021)
  46. Joe Biden (2021-present)
MADAKTARI WALIKUWA HAWA.
1. James Madison
2. William Henry Harrison
3. Andrew Johnson:

MAWAKILI/WANASHERIA

1. Barack Obama: Obama alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Harvard na alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 44 wa Merika kutoka 2009 hadi 2017.

2.Bill Clinton: Clinton alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Yale na alifanya mazoezi ya sheria huko Arkansas kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 42 wa Merika kutoka 1993 hadi 2001.

3.
Gerald Ford: alipata digrii yake ya sheria Yale Law School and practiced law in Michigan kabla ya kuingia kwenye siasa . He served as the 38th President of the United States from 1974 to 1977.

4. Richard Nixon: alipata digrii yake ya sheria Duke University Law School and practiced law in California before ekabla kuingia kwenye siasa. He served as the 37th President of the United States from 1969 to 1974.

5. Franklin D. Roosevelt: Roosevelt alihudhuria Shule ya Sheria ya Columbia lakini hakumaliza shahada yake ya sheria. Alifanya sheria kwa muda mfupi kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 32 wa Merika kutoka 1933 hadi 1945.

6 Thomas Jefferson: Jefferson pia alikuwa mwanasheria kitaaluma. Alilazwa katika baa ya Virginia mnamo 1767 na akafanya sheria kwa miaka kadhaa kabla ya kuingia kwenye siasa. Jefferson aliwahi kuwa Rais wa tatu wa Merika kutoka 1801 hadi 1809.

7. James Madison: Madison alipata elimu yake ya kisheria kutoka Chuo cha William na Mary na alifanya sheria huko Virginia. Alikuwa mmoja wa waandishi wa msingi wa Katiba ya Merika na aliwahi kuwa Rais wa nne wa Merika kutoka 1809 hadi 1817.

8. James Monroe: Monroe alisoma sheria chini ya Thomas Jefferson na kufanya sheria huko Virginia. Aliwahi kuwa Rais wa tano wa Merika kutoka 1817 hadi 1825.

9. John Quincy Adams: Adams alikuwa mwanasheria aliyeelimishwa na Harvard ambaye alitekeleza sheria kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa sita wa Merika kutoka 1825 hadi 1829.

10. Andrew Jackson: Jackson alianza kusomea sheria katika ujana wake na alilazwa katika baa ya North Carolina mwaka wa 1787. Alifanya mazoezi ya sheria huko Tennessee na aliwahi kuwa Rais wa saba wa Marekani kuanzia 1829 hadi 1837.

11. Abraham Lincoln: Lincoln ni mmoja wa wakili-marais maarufu katika historia ya U.S. Alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois na aliwahi kuwa Rais wa 16 wa Merika kutoka 1861 hadi 1865.

12. Franklin Pierce: Pierce alihudhuria shule ya sheria katika Chuo cha Bowdoin na alifanya mazoezi ya sheria huko New Hampshire. Aliwahi kuwa Rais wa 14 wa Merika kutoka 1853 hadi 1857.

13. Benjamin Harrison: Harrison alisomea sheria katika Chuo Kikuu cha Miami na kufanya mazoezi ya sheria huko Indiana. Aliwahi kuwa Rais wa 23 wa Merika kutoka 1889 hadi 1893.

14.Rutherford B. Hayes: Hayes attended Harvard Law School and practiced law in Ohio. He served as the 19th President of the United States from 1877 to 1881.

15. William Howard Taft: Taft was a Yale-educated lawyer who practiced law in Ohio. He served as the 27th President of the United States from 1909 to 1913 and later became the Chief Justice of the United States.

16. Calvin Coolidge: Coolidge studied law and was admitted to the bar in Massachusetts. He practiced law before entering politics and served as the 30th President of the United States from 1923 to 1929.

17. Woodrow Wilson: Wilson attended law school at the University of Virginia and practiced law briefly before pursuing a career in academia and politics. He served as the 28th President of the United States from 1913 to 1921.

18. Chester A. Arthur: Arthur practiced law in New York City before entering politics. He served as the 21st President of the United States from 1881 to 1885.

19.Grover Cleveland: Cleveland studied law and was admitted to the bar in 1859. He practiced law in New York and served as the 22nd and 24th President of the United States from 1885 to 1889 and again from 1893 to 1897.

20. Chester A. Arthur: Arthur practiced law in New York City before entering politics. He served as the 21st President of the United States from 1881 to 1885.

Hao wote, madaktari, CPA, MAprofessor na Mawakili hawatumii tittle zao, kwanini Afrika ?

Kwanini Maraisi wa kisasa , hasa Afrika wanapenda recognition ya udaktari ?
Ni matokeo ya elimu duni.Tunaona rais akipewa phd ndio anaheshimika na sio kusolve shida za wananchi
 
Waafrika hawana Akili. Sasa inabidi wajaribu kuaminisha watu wanazo. Ndo maana wanahangaika kama hakusomea anatafuta ya heshima. Ukimpata mwenye akili anakataa. Kama Nyerere hakuwahi kutaka aitwe Dr. J. K. Nyerere. Sasa wasio na akili akiwa madarakani anaona kama anabagazwa anatafuta ya heshima ili aitwe Dr. Kiazi Kitamu n.k
Nyerere kwanza ni species nyingine, huyu Baba wa Taifa hakutaka ujinga wa hivi vyeo na majina ya ajabu. Alikuwa Mwalimu wa St . Marys [Pugu Seconday] na akawa rais, akaendelea kuitwa Mwalimu Nyerere.
Waliofuata sasa. !
 
Sijawahi kujua kumbe paroko wetu ni Dr. Jamaa yangu ndio alikuja kuniambia Kuwa alisoma na paroko ni Phd holder.
Wakatoliki kaa nao mbali.
Mapadri wengi wana digrii si chini ya tatu . Ukiona ana phD hiyo ana digrii nne,akaamua kupiga masters na phD.
Kwa mambo ya elimu CATHOLIC ndio bora duniani.
 
Marekani ambayo kabla kupata uhuru mwaka 1776 , ilitawaliwana Uingereza na wakapata Rais wa kwanza George Washington.
Tangu wapate uhuru, haijawahi kutokea Rais yeyote , awe msomi wa chuo, daktari wa hospitali[MD] au wa falsafa phD,au mjuzi wa hesabu [CPA] ambaye amewahi kujinasibu na prefix ya cheo chake.

Je, ni ulimbukeni kutumia phD, CPA, Advocate kwenye majina ya marais? JE, haya majina wanayojipa kwenye vyeo vyao yana-reflect maendeleo kwenye nchi zao?

OBAMA [Profesa wa Sheria]

LIST YA MARAIS WOTE WA MAREKANI.

  1. George Washington (1789-1797)
  2. John Adams (1797-1801)
  3. Thomas Jefferson (1801-1809)
  4. James Madison (1809-1817)
  5. James Monroe (1817-1825)
  6. John Quincy Adams (1825-1829)
  7. Andrew Jackson (1829-1837)
  8. Martin Van Buren (1837-1841)
  9. William Henry Harrison (1841)
  10. John Tyler (1841-1845)
  11. James K. Polk (1845-1849)
  12. Zachary Taylor (1849-1850)
  13. Millard Fillmore (1850-1853)
  14. Franklin Pierce (1853-1857)
  15. James Buchanan (1857-1861)
  16. Abraham Lincoln (1861-1865)
  17. Andrew Johnson (1865-1869)
  18. Ulysses S. Grant (1869-1877)
  19. Rutherford B. Hayes (1877-1881)
  20. James A. Garfield (1881)
  21. Chester A. Arthur (1881-1885)
  22. Grover Cleveland (1885-1889)
  23. Benjamin Harrison (1889-1893)
  24. Grover Cleveland (1893-1897)
  25. William McKinley (1897-1901)
  26. Theodore Roosevelt (1901-1909)
  27. William Howard Taft (1909-1913)
  28. Woodrow Wilson (1913-1921)
  29. Warren G. Harding (1921-1923)
  30. Calvin Coolidge (1923-1929)
  31. Herbert Hoover (1929-1933)
  32. Franklin D. Roosevelt (1933-1945)
  33. Harry S. Truman (1945-1953)
  34. Dwight D. Eisenhower (1953-1961)
  35. John F. Kennedy (1961-1963)
  36. Lyndon B. Johnson (1963-1969)
  37. Richard Nixon (1969-1974)
  38. Gerald Ford (1974-1977)
  39. Jimmy Carter (1977-1981)
  40. Ronald Reagan (1981-1989)
  41. George H. W. Bush (1989-1993)
  42. Bill Clinton (1993-2001)
  43. George W. Bush (2001-2009)
  44. Barack Obama (2009-2017)
  45. Donald Trump (2017-2021)
  46. Joe Biden (2021-present)
MADAKTARI WALIKUWA HAWA.
1. James Madison
2. William Henry Harrison
3. Andrew Johnson:

MAWAKILI/WANASHERIA

1. Barack Obama: Obama alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Harvard na alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 44 wa Merika kutoka 2009 hadi 2017.

2.Bill Clinton: Clinton alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Yale na alifanya mazoezi ya sheria huko Arkansas kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 42 wa Merika kutoka 1993 hadi 2001.

3.
Gerald Ford: alipata digrii yake ya sheria Yale Law School and practiced law in Michigan kabla ya kuingia kwenye siasa . He served as the 38th President of the United States from 1974 to 1977.

4. Richard Nixon: alipata digrii yake ya sheria Duke University Law School and practiced law in California before ekabla kuingia kwenye siasa. He served as the 37th President of the United States from 1969 to 1974.

5. Franklin D. Roosevelt: Roosevelt alihudhuria Shule ya Sheria ya Columbia lakini hakumaliza shahada yake ya sheria. Alifanya sheria kwa muda mfupi kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 32 wa Merika kutoka 1933 hadi 1945.

6 Thomas Jefferson: Jefferson pia alikuwa mwanasheria kitaaluma. Alilazwa katika baa ya Virginia mnamo 1767 na akafanya sheria kwa miaka kadhaa kabla ya kuingia kwenye siasa. Jefferson aliwahi kuwa Rais wa tatu wa Merika kutoka 1801 hadi 1809.

7. James Madison: Madison alipata elimu yake ya kisheria kutoka Chuo cha William na Mary na alifanya sheria huko Virginia. Alikuwa mmoja wa waandishi wa msingi wa Katiba ya Merika na aliwahi kuwa Rais wa nne wa Merika kutoka 1809 hadi 1817.

8. James Monroe: Monroe alisoma sheria chini ya Thomas Jefferson na kufanya sheria huko Virginia. Aliwahi kuwa Rais wa tano wa Merika kutoka 1817 hadi 1825.

9. John Quincy Adams: Adams alikuwa mwanasheria aliyeelimishwa na Harvard ambaye alitekeleza sheria kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa sita wa Merika kutoka 1825 hadi 1829.

10. Andrew Jackson: Jackson alianza kusomea sheria katika ujana wake na alilazwa katika baa ya North Carolina mwaka wa 1787. Alifanya mazoezi ya sheria huko Tennessee na aliwahi kuwa Rais wa saba wa Marekani kuanzia 1829 hadi 1837.

11. Abraham Lincoln: Lincoln ni mmoja wa wakili-marais maarufu katika historia ya U.S. Alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois na aliwahi kuwa Rais wa 16 wa Merika kutoka 1861 hadi 1865.

12. Franklin Pierce: Pierce alihudhuria shule ya sheria katika Chuo cha Bowdoin na alifanya mazoezi ya sheria huko New Hampshire. Aliwahi kuwa Rais wa 14 wa Merika kutoka 1853 hadi 1857.

13. Benjamin Harrison: Harrison alisomea sheria katika Chuo Kikuu cha Miami na kufanya mazoezi ya sheria huko Indiana. Aliwahi kuwa Rais wa 23 wa Merika kutoka 1889 hadi 1893.

14.Rutherford B. Hayes: Hayes attended Harvard Law School and practiced law in Ohio. He served as the 19th President of the United States from 1877 to 1881.

15. William Howard Taft: Taft was a Yale-educated lawyer who practiced law in Ohio. He served as the 27th President of the United States from 1909 to 1913 and later became the Chief Justice of the United States.

16. Calvin Coolidge: Coolidge studied law and was admitted to the bar in Massachusetts. He practiced law before entering politics and served as the 30th President of the United States from 1923 to 1929.

17. Woodrow Wilson: Wilson attended law school at the University of Virginia and practiced law briefly before pursuing a career in academia and politics. He served as the 28th President of the United States from 1913 to 1921.

18. Chester A. Arthur: Arthur practiced law in New York City before entering politics. He served as the 21st President of the United States from 1881 to 1885.

19.Grover Cleveland: Cleveland studied law and was admitted to the bar in 1859. He practiced law in New York and served as the 22nd and 24th President of the United States from 1885 to 1889 and again from 1893 to 1897.

20. Chester A. Arthur: Arthur practiced law in New York City before entering politics. He served as the 21st President of the United States from 1881 to 1885.

Hao wote, madaktari, CPA, MAprofessor na Mawakili hawatumii tittle zao, kwanini Afrika ?

Kwanini Maraisi wa kisasa , hasa Afrika wanapenda recognition ya udaktari ?
Ama ni ulimbukeni au kutokujiamini kwa muhusika mbele ya jamii.

Kwa jamii zilizostaarabika watu hawatambiani kwa elimu ya darasani kwani wengi wanayo bali wanatambiana kwa matokeo au matunda yanayotokana na elimu yako!
 
Wenzetu walio binadamu sio nyani wenye inferiority complex kama nyinyi ili ujue mtu ana taaluma gani labda ukamkute kwenye field yake sio kwenye siasa.

Rais ni mtu mkubwa sana na ni heshima tosha zaidi ya hizo prefixes ambazo nyani wetu wa Afrika wanahangaika nazo.
Mkuu umenikumbusha marehemu Mtikila aliwahi kusema waafrika wengi tuna ugonjwa wa Apedomia. Tuna unyani ndani yetu haujaondoka.
 
Marekani ambayo kabla kupata uhuru mwaka 1776 , ilitawaliwana Uingereza na wakapata Rais wa kwanza George Washington.
Tangu wapate uhuru, haijawahi kutokea Rais yeyote , awe msomi wa chuo, daktari wa hospitali[MD] au wa falsafa phD,au mjuzi wa hesabu [CPA] ambaye amewahi kujinasibu na prefix ya cheo chake.

Je, ni ulimbukeni kutumia phD, CPA, Advocate kwenye majina ya marais? JE, haya majina wanayojipa kwenye vyeo vyao yana-reflect maendeleo kwenye nchi zao?

OBAMA [Profesa wa Sheria]

LIST YA MARAIS WOTE WA MAREKANI.

  1. George Washington (1789-1797)
  2. John Adams (1797-1801)
  3. Thomas Jefferson (1801-1809)
  4. James Madison (1809-1817)
  5. James Monroe (1817-1825)
  6. John Quincy Adams (1825-1829)
  7. Andrew Jackson (1829-1837)
  8. Martin Van Buren (1837-1841)
  9. William Henry Harrison (1841)
  10. John Tyler (1841-1845)
  11. James K. Polk (1845-1849)
  12. Zachary Taylor (1849-1850)
  13. Millard Fillmore (1850-1853)
  14. Franklin Pierce (1853-1857)
  15. James Buchanan (1857-1861)
  16. Abraham Lincoln (1861-1865)
  17. Andrew Johnson (1865-1869)
  18. Ulysses S. Grant (1869-1877)
  19. Rutherford B. Hayes (1877-1881)
  20. James A. Garfield (1881)
  21. Chester A. Arthur (1881-1885)
  22. Grover Cleveland (1885-1889)
  23. Benjamin Harrison (1889-1893)
  24. Grover Cleveland (1893-1897)
  25. William McKinley (1897-1901)
  26. Theodore Roosevelt (1901-1909)
  27. William Howard Taft (1909-1913)
  28. Woodrow Wilson (1913-1921)
  29. Warren G. Harding (1921-1923)
  30. Calvin Coolidge (1923-1929)
  31. Herbert Hoover (1929-1933)
  32. Franklin D. Roosevelt (1933-1945)
  33. Harry S. Truman (1945-1953)
  34. Dwight D. Eisenhower (1953-1961)
  35. John F. Kennedy (1961-1963)
  36. Lyndon B. Johnson (1963-1969)
  37. Richard Nixon (1969-1974)
  38. Gerald Ford (1974-1977)
  39. Jimmy Carter (1977-1981)
  40. Ronald Reagan (1981-1989)
  41. George H. W. Bush (1989-1993)
  42. Bill Clinton (1993-2001)
  43. George W. Bush (2001-2009)
  44. Barack Obama (2009-2017)
  45. Donald Trump (2017-2021)
  46. Joe Biden (2021-present)
MADAKTARI WALIKUWA HAWA.
1. James Madison
2. William Henry Harrison
3. Andrew Johnson:

MAWAKILI/WANASHERIA

1. Barack Obama: Obama alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Harvard na alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 44 wa Merika kutoka 2009 hadi 2017.

2.Bill Clinton: Clinton alipata digrii yake ya sheria kutoka Shule ya Sheria ya Yale na alifanya mazoezi ya sheria huko Arkansas kabla ya kuingia katika siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 42 wa Merika kutoka 1993 hadi 2001.

3.
Gerald Ford: alipata digrii yake ya sheria Yale Law School and practiced law in Michigan kabla ya kuingia kwenye siasa . He served as the 38th President of the United States from 1974 to 1977.

4. Richard Nixon: alipata digrii yake ya sheria Duke University Law School and practiced law in California before ekabla kuingia kwenye siasa. He served as the 37th President of the United States from 1969 to 1974.

5. Franklin D. Roosevelt: Roosevelt alihudhuria Shule ya Sheria ya Columbia lakini hakumaliza shahada yake ya sheria. Alifanya sheria kwa muda mfupi kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa 32 wa Merika kutoka 1933 hadi 1945.

6 Thomas Jefferson: Jefferson pia alikuwa mwanasheria kitaaluma. Alilazwa katika baa ya Virginia mnamo 1767 na akafanya sheria kwa miaka kadhaa kabla ya kuingia kwenye siasa. Jefferson aliwahi kuwa Rais wa tatu wa Merika kutoka 1801 hadi 1809.

7. James Madison: Madison alipata elimu yake ya kisheria kutoka Chuo cha William na Mary na alifanya sheria huko Virginia. Alikuwa mmoja wa waandishi wa msingi wa Katiba ya Merika na aliwahi kuwa Rais wa nne wa Merika kutoka 1809 hadi 1817.

8. James Monroe: Monroe alisoma sheria chini ya Thomas Jefferson na kufanya sheria huko Virginia. Aliwahi kuwa Rais wa tano wa Merika kutoka 1817 hadi 1825.

9. John Quincy Adams: Adams alikuwa mwanasheria aliyeelimishwa na Harvard ambaye alitekeleza sheria kabla ya kuingia kwenye siasa. Aliwahi kuwa Rais wa sita wa Merika kutoka 1825 hadi 1829.

10. Andrew Jackson: Jackson alianza kusomea sheria katika ujana wake na alilazwa katika baa ya North Carolina mwaka wa 1787. Alifanya mazoezi ya sheria huko Tennessee na aliwahi kuwa Rais wa saba wa Marekani kuanzia 1829 hadi 1837.

11. Abraham Lincoln: Lincoln ni mmoja wa wakili-marais maarufu katika historia ya U.S. Alifanya mazoezi ya sheria huko Illinois na aliwahi kuwa Rais wa 16 wa Merika kutoka 1861 hadi 1865.

12. Franklin Pierce: Pierce alihudhuria shule ya sheria katika Chuo cha Bowdoin na alifanya mazoezi ya sheria huko New Hampshire. Aliwahi kuwa Rais wa 14 wa Merika kutoka 1853 hadi 1857.

13. Benjamin Harrison: Harrison alisomea sheria katika Chuo Kikuu cha Miami na kufanya mazoezi ya sheria huko Indiana. Aliwahi kuwa Rais wa 23 wa Merika kutoka 1889 hadi 1893.

14.Rutherford B. Hayes: Hayes attended Harvard Law School and practiced law in Ohio. He served as the 19th President of the United States from 1877 to 1881.

15. William Howard Taft: Taft was a Yale-educated lawyer who practiced law in Ohio. He served as the 27th President of the United States from 1909 to 1913 and later became the Chief Justice of the United States.

16. Calvin Coolidge: Coolidge studied law and was admitted to the bar in Massachusetts. He practiced law before entering politics and served as the 30th President of the United States from 1923 to 1929.

17. Woodrow Wilson: Wilson attended law school at the University of Virginia and practiced law briefly before pursuing a career in academia and politics. He served as the 28th President of the United States from 1913 to 1921.

18. Chester A. Arthur: Arthur practiced law in New York City before entering politics. He served as the 21st President of the United States from 1881 to 1885.

19.Grover Cleveland: Cleveland studied law and was admitted to the bar in 1859. He practiced law in New York and served as the 22nd and 24th President of the United States from 1885 to 1889 and again from 1893 to 1897.

20. Chester A. Arthur: Arthur practiced law in New York City before entering politics. He served as the 21st President of the United States from 1881 to 1885.

Hao wote, madaktari, CPA, MAprofessor na Mawakili hawatumii tittle zao, kwanini Afrika ?

Kwanini Maraisi wa kisasa , hasa Afrika wanapenda recognition ya udaktari ?
TAZAMA SHAHADA ZA MADAME CONDOLEEZA RICE

1708506269881.png
1708506269881.png
 
Sasa tufanyeje ili Watu waamke na kuanza kupuuzia hizi phD za kuiwa badala za matendo?
Mfano , mtu kama Kasheku Msukuma akitunukiwa phD. ya siasa utalewa, maana ana wa outsmart ma phd wa serikali, mawaziri na hata muongozaji wa mijadala.
Siku taalamu ikianza kulipa kuliko siasa ndiyo jibu tutapata
 
Ama ni ulimbukeni au kutokujiamini kwa muhusika mbele ya jamii.

Kwa jamii zilizostaarabika watu hawatambiani kwa elimu ya darasani kwani wengi wanayo bali wanatambiana kwa matokeo au matunda yanayotokana na elimu yako!
Hata Putin huwezi kuta anaitwa Dr wala Mhe ni Mr Putin
 
Back
Top Bottom