Marekani hakuna Rais daktari, CPT, Engineer wala Advocate? Kwanini hawapendi kusoma?

Niulize swali hapa:
Kuna elimu inaitwa Egyptology, yaani elimu kuhusu Egypt. Elimu kuhusu Marekani, inaitwaje? Americanology? Watu waliosomea mambo ya taifa la Marekani, discipline yao inaitwaje?
 
Ongezea hapo kwa huyu mzee wa upinde pope Francis yeye hana elimu? Mbona kwenye articles za kina Bagonza kutwa kuna (PhD), huku kwetu elimu inaondoka mdogo mdogo vijana wanafakamia maphd na uwakili kwaajili ya title si ilmu bwanshee
 
Dr John pombe Joseph magufuli

Napenda Sana kulitamka hvyo
Angekuwepo hadi leo, ningemshauri sana aliondoe hilo jina lenye herufi P, pamoja na kwamba ni la wahenga wake.
Kumbe haya majina kwenye ulimwengu wa roho, yanabeba mambo mazito sana
Majina kama
Shida'
Tabu
Mateso
Nyanzala (njaa)
Malimi (ukame)
Si majina ya kuwapa watoto, hata kama mwenye jina aliwahi kuwa Rais wa dunia nzima
I like chagga people names
Eli........
Elibariki
Elisante, n.k.
Eli-===God
Halafu wakipata fedha tunaaza kupiga kele kwamba wanaiba; hawaibi ni Mungu
 
Haya mambo yalianza Kikwete, kuitwa Ndugu Jakaya Kikwete kwenye karatasi ya huku jirani yake kuna Dr Wilbroad Slaa na Prof Ibrahim Lipumba sijui na nani huko akaona msinitanie.

Aliamua kununua hiyo hadhi, sasa ni mwendo mdundo.
 
Familia pekee mbili za Marekani zilizaowahi kushika Urais wa Marekani mara mbili

2. John Adams (1797-1801)
6. Andrew Jackson (1829-1837)

41. George H. W. Bush (1989-1993)
43. George W. Bush (2001-2009)
Familia Mbili zilizoshi/Zitazoshika urais Tanzania :
1. Ali Hassa Mwinyi- Rais wa Tanganyika
2. Hussein Mwinyi- Rais wa Zanzibar
1. Abei Karume
2. Karume JR.
1. Samia Suluhu.
2................Hafith Hassan 2030-35[Zanzibar]
 
Wakatoliki kaa nao mbali.
Mapadri wengi wana digrii si chini ya tatu . Ukiona ana phD hiyo ana digrii nne,akaamua kupiga masters na phD.
Kwa mambo ya elimu CATHOLIC ndio bora duniani.
Marekani yenyewe tangu imeanza kujitawala, Marais wakatoliki ni huyu Biden ndo wa pili,wa kwanza ni yule aliyeuawa JF Kennedy ndo alikuwa wa Rais mkatoliki wa kwanza. Sasa sijui labda wanatamba zaidi Africa, south America na nchi chache za Ulaya na pengine nchi kubwa zaidi ni France.
 

Hii ni hoja ya msingi sana, niliwahi kushauri Kuongezeka Ph.D za Heshima: Kuna haja TCU watoe ufafanuzi wa matumizi ya title ya Dr. kwa Ph.D za heshima na Ph.D za ukweli?
P
 
Upo sahihi bwashee.
 
Tofauti na wengine wenzetu when it comes to maamuzi au kupata kingozi ni mfumo wa nchi rather than president. Hizi Phd ,dr ni sifa tu za kujiuza kisiasa but hazisaidii maamuzi ya nchi
Kwa Tz na za kuuza Sura ndio maana unaona watu wanazitafuta na kuzitumia, wenzetu uelewa wao mkubwa wanakupima na utekelezaji wako. Na pia siasa za uchawa hawana
 
Wako wote hao,hawaitani hivyo vyeo mitaani kama kwetu huku uswahilini utasikia wakili msomi,kwani kuna wakili hajasoma
Hilo la wakili msomi nitakupa elimu siku nyingine. Kwa hili joto la leo hapo rufiji nutakuwa hupumui na hutaelewa.
 
Kwa Tz na za kuuza Sura ndio maana unaona watu wanazitafuta na kuzitumia, wenzetu uelewa wao mkubwa wanakupima na utekelezaji wako. Na pia siasa za uchawa hawana
Hawana culture ya uchawa ( aka unafki ulio rasimishwa)
 
Ujazo vs ubora. Tusilaumu kitu, tunaochagua ni sisi wananchi kwa hiyo mambo yakienda kombo tuanze kwanza kujipa lawama sisi wapiga kura.
Tunamchagua nani, wanajichagua wenyewe.
Bila kupepesa macho mtu anasimama jukwaani, nakuamuru aletewe fulani.
Eti nikulipe mshahara nikupe nyumba gari ni halafu utangaze mbaya wangu mshindi, dhubutu.

Sent from my TECNO CK7n using JamiiForums mobile app
 
professor na Dr ni titles za kufundishia vyuoni na kwenye utafiti tu. Ukiwa kwenye Kazi za kawaida hutakiwi kutumia.
Engineer ni cheo cha makazini huko na sio kwenye siasa.

Ndio maana husikii Dr au Professor japo wenye titles hizo wapo kwenye siasa zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…