Marekani ikimaliza Gaza na Lebanon, ni Waarabu gani watafuata kabla ya wengine?

Marekani ikimaliza Gaza na Lebanon, ni Waarabu gani watafuata kabla ya wengine?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Ukiangalia maelfu watu wasio na hatia tena waliodhulumiwa nchi ardhi na nchi yao wakiuawa, unashangaa dunia iko wapi, maendeleo yako wapi, haki za binadamu ziko wapi, binadamu wako wapi, akili iko wapi nk?

Kwa wanaoweza kuwaza mbali, kuna uwezekano Marekani na wazungu wanajaribu wanachopanga kuwafanyia wengine wasiofanana nao hasa wenye raslimali.

Je, hiki kitaifa kiduchu na cha hovyo, kweli kina nguvu au ni kikaragosi kinachotumiwa na wazungu kufanya majaribio jinsi ya kuangamiza wale wasiowataka hasa wenye raslimali na wasiojitambua kama waafrika na waarabu?
 
Ukiangalia maelfu watu wasio na hatia tena waliodhulumiwa nchi ardhi na nchi yao wakiuawa, unashangaa dunia iko wapi, maendeleo yako wapi, haki za binadamu ziko wapi, binadamu wako wapi, akili iko wapi nk?

Kwa wanaoweza kuwaza mbali, kuna uwezekano Marekani na wazungu wanajaribu wanachopanga kuwafanyia wengine wasiofanana nao hasa wenye raslimali.

Je, hiki kitaifa kiduchu na cha hovyo, kweli kina nguvu au ni kikaragosi kinachotumiwa na wazungu kufanya majaribio jinsi ya kuangamiza wale wasiowataka hasa wenye raslimali na wasiojitambua kama waafrika na waarabu?
Yemen wako jirani zaidi, nadhani wamesha jitengenezea mazingira ya kupigana.
 
Ukiangalia maelfu watu wasio na hatia tena waliodhulumiwa nchi ardhi na nchi yao wakiuawa, unashangaa dunia iko wapi, maendeleo yako wapi, haki za binadamu ziko wapi, binadamu wako wapi, akili iko wapi nk?

Kwa wanaoweza kuwaza mbali, kuna uwezekano Marekani na wazungu wanajaribu wanachopanga kuwafanyia wengine wasiofanana nao hasa wenye raslimali.

Je, hiki kitaifa kiduchu na cha hovyo, kweli kina nguvu au ni kikaragosi kinachotumiwa na wazungu kufanya majaribio jinsi ya kuangamiza wale wasiowataka hasa wenye raslimali na wasiojitambua kama waafrika na waarabu?
Yeye mwenyewe yupo njiani kusambaratika. Hakuna taifa duniani lilodumu miaka likawa na nguvu
 
Nilishangaa sana Erdogan kukaa kimya kile kilichokuwa kinaendekea Lebanon, kumbe nyuma ya pazia alikuwa anajua kila kitu kuwa Hezbollah wapigwe wachakazwe wasiweze tena kurudi Syria.
 
Ukiangalia maelfu watu wasio na hatia tena waliodhulumiwa nchi ardhi na nchi yao wakiuawa, unashangaa dunia iko wapi, maendeleo yako wapi, haki za binadamu ziko wapi, binadamu wako wapi, akili iko wapi nk?

Kwa wanaoweza kuwaza mbali, kuna uwezekano Marekani na wazungu wanajaribu wanachopanga kuwafanyia wengine wasiofanana nao hasa wenye raslimali.

Je, hiki kitaifa kiduchu na cha hovyo, kweli kina nguvu au ni kikaragosi kinachotumiwa na wazungu kufanya majaribio jinsi ya kuangamiza wale wasiowataka hasa wenye raslimali na wasiojitambua kama waafrika na waarabu?
waislam ni wangese sn , mnaanza wenyewe kushambulia wengine , vita ikipamba moto mnaanza mlaumu Marekani , kwann msiwe mnaishi bila kushambulia wengine , au mnahisi mna haki ya kushambulia wengine ? au ni Marekan huwa anawatuma kushambulia wengine ?
 
Ukiangalia maelfu watu wasio na hatia tena waliodhulumiwa nchi ardhi na nchi yao wakiuawa, unashangaa dunia iko wapi, maendeleo yako wapi, haki za binadamu ziko wapi, binadamu wako wapi, akili iko wapi nk?

Kwa wanaoweza kuwaza mbali, kuna uwezekano Marekani na wazungu wanajaribu wanachopanga kuwafanyia wengine wasiofanana nao hasa wenye raslimali.

Je, hiki kitaifa kiduchu na cha hovyo, kweli kina nguvu au ni kikaragosi kinachotumiwa na wazungu kufanya majaribio jinsi ya kuangamiza wale wasiowataka hasa wenye raslimali na wasiojitambua kama waafrika na waarabu?

Sasa kwani lebanon ilikuwaje ikashambuliwa... acha propaganda hao waaraabu wanalazimishwa. Kupigana mbona jordan na Qatar hatusikii.. mbona husemi kuhusiana na Yemen wanapigana wenyewe tena kwa kuchochewa na waraabu wenzao .. Iran nae anachoche vita huko..
 
Back
Top Bottom