Marekani iliingiza Bilioni 204 kwenye utalii mwaka 2023. Tanzania tusibweteke na utalii wa mapori, hauwezi kuleta tija

Marekani iliingiza Bilioni 204 kwenye utalii mwaka 2023. Tanzania tusibweteke na utalii wa mapori, hauwezi kuleta tija

US inaongoza ikifuatiwa na China. Watu duniani wanapenda bata siyo kuzunguka maporini.

View attachment 3085744

Kwani sisi tunafanana na Marekani? I thought ungesema tujidhatiti kwenye utalii tulionao ili watalii waongezeke. Marekani wanaenda kutalii maendeleo. Sisi wanakuja kutalii nini? Kuangalia vimelea vya malaria?
Tunahitaji wanyama pori sababu hatuna cha kuwavutia watalii zaidi ya kuona hao wanyama na labda wahadhabe kama watakuwa available
 
Back
Top Bottom