Marekani iliwashitaki wapi Osama Bin Laden, Saddam Hussein? Kwanini Umoja wa Ulaya ulimuua Gadafi kama mnyama? Nani aliwawekea vikwazo?

Mkuu, kwakuwa sikutaka kumchosha huyu asie ijuwa historia, basi nikiona nianzie tu hapo kati ili tusichoshane tu... Maana nilikuwa tayari nimefika nusu Whatever-Vant kubwa....

Nimekuelewa mkuu na umeilezea vizuri
na
 
Mkuu, ebu lete hoja zilizo shiba ili nami nijifunze kutoka kwako tafadhali...
Humu homie of great thinkers haturuhusu yeyote kuandikii mate....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…