Tatizo wewe umesoma maandishi ya wamarekani, Osama katengenezwa na wamarekani kapewa mipango na wao ya kuunda Taliban na akaiteka Afghanistan, we jiulize nani huwa anawauzia hayo makundi ya Kigaidi kama Taliban, Isil, Alshababu, Bokoharam nk, na je kwanini USA na Washirika wake hawawekei vikwazo wale wanaowauzia hayo makundi zana za kivita?