Marekani imelaumu Vietnam kumpokea Putin na kusaini ushirikiano

Marekani imelaumu Vietnam kumpokea Putin na kusaini ushirikiano

Marekani alitaka kumzunguka mrusi lakini mrusi kaja na style nyingine ya kuwaunganisha maadui wa marekani. Super power WA mchongo anaanza kulalamika, Biden ataweka historia mbovu ya utawala wake kwa kuifanya marekani ipunguze ushawishi wake duniani.
 
Ukiangalia namna SPAIN, IRELAND, SLOVENIA, COLOMBIA walivyouitambua PALESTINE, ...ICJ ilivyotoa hati kwa NETANYAU, .. maandamano ya free PALESTINE na anti JEWS. Movement ya BRICS, ..Ni kama dunia imeng'amua jambo na kuna kizazi kinatafuta solutions..
Hi vita ya GAZA kuna kitu itaancha kikubwa ktk historia. Kuna kizazi kimeshudia unafiki wa DEMOKRASIA ya US + WESTERN powers haina uhalisia...hasa namna US anayoitumia nguvu ya VETO as if kama dunia ya nje ya US ni BLIND..!!
Norway 🇳🇴 naye ameitambua kama Palestina kama nchi,
 
Marekani na Israel sijui huwa wanajionaga wao ni nani!!
Siku za marekani na shoga ake israeli zinahesabika.
IMG_20240612_172644.jpg
 

Attachments

  • IMG_20240620_212440.jpg
    IMG_20240620_212440.jpg
    106.5 KB · Views: 6
Marekani na Israel sijui huwa wanajionaga wao ni nani!!
Hata Mimi hua naishangaa sana Marekani,Yani Wana kaul zinazopingana sana.
Mara utawasikia "Ukraine ni taifa huru inayo haki ya kuchagua marafiki,Urusi isiichagulie marafiki,
Kauli nyingine ni Marekani inapozionya nchi marafiki na Urusi ziache kujiunga mkono Urusi.
Hali hii hua inanishangazaga sana.
 
During the Vietnam War, a Vietnamese "female" fighter captured an American pilot, Dewey Wayne Waddell, in 1967.

This is why the US needs a military alliance of 30+ countries to feel "superior"

The US has never fought a war alone. Even in Vietnam, they were backed by allies and still lost against rice farmers, including women. Europe doesn’t need NATO; the US does, and that’s because the US has the strongest military only in movies, while Russia has the strongest military in reality.
 

Attachments

  • IMG_20240622_145042.jpg
    IMG_20240622_145042.jpg
    155.7 KB · Views: 4
Back
Top Bottom