Unafikiri nimchezo mchezo tuuu. Unapata misaaada kutoka kwa wazungu alafu uende ukajichanganye na watu ambao hawana msaada ktk bajeti zetuNimemkumbuka jiwe leo. Huenda Tanzania tungekuwa ni member wa BRICS kama angekuwa hai. View attachment 3021580
Kabisa mkuuNa bei ya mafuta lita ingekuwa buku jelo.
R. I. P Jiwe
Anasubiri meli ya Russia ishambuliwe ndipo ajitokeze yeye na Nyanigabu na yule mkenya 254Kuna mdau mmoja sijamwona hapa jukwaani kitambo kidogo.
Sikirimimimasikini upo wapi jamaa yangu.
Norway 🇳🇴 naye ameitambua kama Palestina kama nchi,Ukiangalia namna SPAIN, IRELAND, SLOVENIA, COLOMBIA walivyouitambua PALESTINE, ...ICJ ilivyotoa hati kwa NETANYAU, .. maandamano ya free PALESTINE na anti JEWS. Movement ya BRICS, ..Ni kama dunia imeng'amua jambo na kuna kizazi kinatafuta solutions..
Hi vita ya GAZA kuna kitu itaancha kikubwa ktk historia. Kuna kizazi kimeshudia unafiki wa DEMOKRASIA ya US + WESTERN powers haina uhalisia...hasa namna US anayoitumia nguvu ya VETO as if kama dunia ya nje ya US ni BLIND..!!
Siku za marekani na shoga ake israeli zinahesabika.Marekani na Israel sijui huwa wanajionaga wao ni nani!!
Hata Mimi hua naishangaa sana Marekani,Yani Wana kaul zinazopingana sana.Marekani na Israel sijui huwa wanajionaga wao ni nani!!