Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Marekani imesema kuwa haina mpango wa kuirudishia Ukraine silaha zake za nuclear ilizozichukua kufuatia mkataba kati yake na Urusi baada kuvunjika kwa Umoja wa Kisoviet.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
putin supa pawa wa mchongo tu...mikwaraa mingiii 3rs down the line hana lolotee....mchumba tu yulee, achague chumbaa!
US kazengua. Angerudisha hizo zaga kwa Ukraine ili yule Mandonga wa kizungu apunguze biti, yani vita ingeisha chap maana Ukraine angekuwa na kitu cha kumpa nguvu ili ashambulie hadi Modcow kabisa.Marekani imesema kuwa haina mpango wa kuirudishia Ukraine silaha zake za nuclear ilizozichukua kufuatia mkataba kati yake na Urusi baada kuvunjika kwa Umoja wa Kisoviet.
Ona hoja urojo za vijana wa juzi, upuuzi mtupu. Anadhani ni mambo ya Simba na Yangaputin supa pawa wa mchongo tu...mikwaraa mingiii 3rs down the line hana lolotee....mchumba tu yulee, achague chumbaa!
Kampigeputin supa pawa wa mchongo tu...mikwaraa mingiii 3rs down the line hana lolotee....mchumba tu yulee, achague chumbaa!
Kama zilikuwa za RUSSIA kwa nini alikubali Marekani ambaye ni adui yake azichukue?Marekani hakijawahi kuweka silaha za nuclear Ukraine, silaha zilizokuwepo ni za Urusi na zilichukuliwa kwa masharti maalumu.
Ogopa wazungu wote wanatoa silaha Ukraine Bado wameshindwa na ueudi kashachukua 40% ya aridh ya Ukraine,ogopa nchi inapambana na ulaya na USA nzima....usiwahi jaribu kuongeza Hilo Tena ..Ukraine bila NATO hata wiki hapumuiiidown
DuhAmrudishie hata 10 tu halafu Ukraine ayaelekeze kwenye Ofisi ya Putin ili adabu ipatikane.
Labda Putin atashika Adabu zake, wewe unaonaje?!
Mimi naona wapatane tu aman ipatikaneLabda Putin atashika Adabu zake wewe unaonaje?!
Kweli kabisa.Mimi naona wapatane tu aman ipatikane
Hehe kwahio dogo zele alichokoza nyuki wakati hajajipanga,,,,,sahivi ndo anajua ana upungufuAmrudishie hata 10 tu halafu Ukraine ayaelekeze kwenye Ofisi ya Putin ili adabu ipatikane.
Russia imedondosha miamba halafu ije kushikishwa adabu na kadogo zele ambacho hata historia yake kalikua ka cross dresser,,,,mtafutieni putin pambano lingine la kumshikisha adabu ila sio dogo zeleLabda Putin atashika Adabu zake, wewe unaonaje?!
Sio kwamba Dogo Zele ndiye aliyevamiwa na Majeshi ya Putin?! Kwasababu hana Nyukilia.Hehe kwahio dogo zele alichokoza nyuki wakati hajajipanga,,,,,sahivi ndo anajua ana upungufu
Putin haendi bila sababu.........hio sio kama iraq au Afghanistan unajiendea unavyotaka,,,,,watu walishavunja makubaliano na alishaona anatishiwa usalama wa taifa lake kwahio lazima achukue hatua,,, mambo kama hayo mabeberu wamezoea kufanya kwa nchi zisizojielewa ila sio kwa mrusiSio kwamba Dogo Zele ndiye aliyevamiwa na Majeshi ya Putin?! Kwasababu hana Nyukilia.