T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Nani atengeneze ARVs hapa bongo, hawa wanasayansi wa kutengeneza bupiji hizi kachumbari za kwenye chupa za tomato wakaita dawa ya COVID-19? Wataalamu hawahawa waliotengeneza zile tangawizi na vitunguu saumu?Mkuu bado una utoto?!!
Una uoga?!!!
Hujui kuwa matatizo humkomaza mtu ?!!!
Siku wakisitisha ARV tutapata fikra za mlango mwingine.....huwenda tukaanza kuzitengeneza zetu wenyewe.....ukiogopa madhara ya kipindi cha mpito cha kukosa hizo dawa basi wewe si mtu mwenye kujiamini......hakuna lipatikanalo bila "harubu" na madhara kidogo....
Yaani unaogopa kupungukiwa kinga za mwili na uzito wa mwili ilihali unahitaji kupata shahada ya udaktari ,sheria ama engineering?!![emoji1787][emoji1787]
Hivi Warusi huwa hamna akili au ni kujitoa ufahamu. Kwahiyo tulishindwa kutengeneza tukaletewa na Marekani na hadi sasa tunazitumia hatujawahi tengeneza za kwetu, kisha wakiondoa za kwao ndio tuweze kutengeneza?
Warusi anza nyinyi hakuna kutumia ARVs na ndugu zenu kunyweni mwarobaini, pia hakuna kutumia internet maana ililetwa na jeshi la Marekani.