ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #241
Yaa ushoga huu hapa unaendelea kuenezwa ππHizo hela nyingi zimetumika kueneza ushoga
Huo UKIMWI na kifua kikuu alivitengeneza nani kama sio mmarekani mwenyewe?? Waafrika mna vichwa vibovu sana. Mtu anawatenegenezea tatizo alafu anajidai kuja na solution kulimaliza, badala ya kumchukia kwa kuwaletea tatizo mnampigia makofi kwa kuleta solution ya tatizo alilolileta mwenyewe[emoji57][emoji57][emoji57]Beberu Marekani Ametoa Msaada wa Shilingi Tilioni 15 Nchini Tanzania Kwa miaka 20 iliyopita katika Mpango Mmoja tuu wa.kupambana na Magonjwa hasa Ukimwi na Kifua Kikuu na kuokoa maelfu ya maisha ya Watanzania kwenye sekta ya Afya.
Hapo sijagusia MCCL,USAid Wala Wakfu wa Bill & Melinda Gates Foundation kwenye Kifua Kikuu,Malaria nk.
My Take; Sielewi Mnaoshobokea Russia Huwa mnafanya hivyo Kwa Maslahi yapi hasa?
Anaejua kiasi ambacho Russia amewahi toa Kwa Tanzania of any kind anijuze.
Nawashukuru sana beberu USA na nitasimama na Marekani mda wote na wakati wote.
Mungu ibariki Tanzania na Wabariki Mabeberu America.
Toa ujinga wako hapa,mnaishi Kwa msaada wa beberu USAHuo UKIMWI na kifua kikuu alivitengeneza nani kama sio mmarekani mwenyewe?? Waafrika mna vichwa vibovu sana. Mtu anawatenegenezea tatizo alafu anajidai kuja na solution kulimaliza, badala ya kumchukia kwa kuwaletea tatizo mnampigia makofi kwa kuleta solution ya tatizo alilolileta mwenyewe[emoji57][emoji57][emoji57]
Urusi enzi za USSR ilichangia kwa kiasi kikubwa harakati za ukombozi na uhuru wa nchi za Afrika. Na hata baada ya uhuru walikuwa mstari wa mbele kusaidia nchi hizi katika sekta mbalimbali tena bila riba.Beberu Marekani Ametoa Msaada wa Shilingi Tilioni 15 Nchini Tanzania Kwa miaka 20 iliyopita katika Mpango Mmoja tuu wa.kupambana na Magonjwa hasa Ukimwi na Kifua Kikuu na kuokoa maelfu ya maisha ya Watanzania kwenye sekta ya Afya.
Hapo sijagusia MCCL,USAid Wala Wakfu wa Bill & Melinda Gates Foundation kwenye Kifua Kikuu,Malaria nk.
My Take; Sielewi Mnaoshobokea Russia Huwa mnafanya hivyo Kwa Maslahi yapi hasa?
Anaejua kiasi ambacho Russia amewahi toa Kwa Tanzania of any kind anijuze.
Nawashukuru sana beberu USA na nitasimama na Marekani mda wote na wakati wote.
Mungu ibariki Tanzania na Wabariki Mabeberu America.
Hizo pesa zote kala nani?Beberu Marekani Ametoa Msaada wa Shilingi Tilioni 15 Nchini Tanzania Kwa miaka 20 iliyopita katika Mpango Mmoja tuu wa.kupambana na Magonjwa hasa Ukimwi na Kifua Kikuu na kuokoa maelfu ya maisha ya Watanzania kwenye sekta ya Afya.
Hapo sijagusia MCCL,USAid Wala Wakfu wa Bill & Melinda Gates Foundation kwenye Kifua Kikuu,Malaria nk.
My Take; Sielewi Mnaoshobokea Russia Huwa mnafanya hivyo Kwa Maslahi yapi hasa?
Anaejua kiasi ambacho Russia amewahi toa Kwa Tanzania of any kind anijuze.
Nawashukuru sana beberu USA na nitasimama na Marekani mda wote na wakati wote.
Mungu ibariki Tanzania na Wabariki Mabeberu America.