kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Marekani inachunguza uvujaji wa taarifa za siri za kijasusi kuhusu mipango ya Israel ya kulipiza kisasi dhidi ya Iran, kulingana na watu watatu wanaofahamu suala hilo. Mmoja wa watu hao amethibitisha uhalali wa nyaraka hizo.
Wameanza kutafuta mchawi,zingekua ni za Iran, Russia au China humu kuna wangesema hizi nchi zipo uchi majasusi kibao lakini kwa US aaah
Soma Pia: Israel inavyojipanga kujibu mapigo dhidi ya shambulio lililofanywa dhidi yake na Iran
=====================
The US is investigating a leak of highly classified US intelligence about Israel’s plans for retaliation against Iran, according to three people familiar with the matter. One of the people familiar confirmed the documents’ authenticity.
View: https://x.com/cnnbrk/status/1847739170904588798?t=xS2aAuQKQMJXfwY43PSMmg&s=19
Wameanza kutafuta mchawi,zingekua ni za Iran, Russia au China humu kuna wangesema hizi nchi zipo uchi majasusi kibao lakini kwa US aaah
Soma Pia: Israel inavyojipanga kujibu mapigo dhidi ya shambulio lililofanywa dhidi yake na Iran
=====================
The US is investigating a leak of highly classified US intelligence about Israel’s plans for retaliation against Iran, according to three people familiar with the matter. One of the people familiar confirmed the documents’ authenticity.
View: https://x.com/cnnbrk/status/1847739170904588798?t=xS2aAuQKQMJXfwY43PSMmg&s=19