Marekani inachunguza uvujaji wa taarifa za siri za kijasusi kuhusu mipango ya Israel ya kulipiza kisasi dhidi ya Iran

Marekani inachunguza uvujaji wa taarifa za siri za kijasusi kuhusu mipango ya Israel ya kulipiza kisasi dhidi ya Iran

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Marekani inachunguza uvujaji wa taarifa za siri za kijasusi kuhusu mipango ya Israel ya kulipiza kisasi dhidi ya Iran, kulingana na watu watatu wanaofahamu suala hilo. Mmoja wa watu hao amethibitisha uhalali wa nyaraka hizo.

Wameanza kutafuta mchawi,zingekua ni za Iran, Russia au China humu kuna wangesema hizi nchi zipo uchi majasusi kibao lakini kwa US aaah

Soma Pia: Israel inavyojipanga kujibu mapigo dhidi ya shambulio lililofanywa dhidi yake na Iran
=====================
The US is investigating a leak of highly classified US intelligence about Israel’s plans for retaliation against Iran, according to three people familiar with the matter. One of the people familiar confirmed the documents’ authenticity.




View: https://x.com/cnnbrk/status/1847739170904588798?t=xS2aAuQKQMJXfwY43PSMmg&s=19
 
Israel hana mpango kwa sasa kwa kumjibu Iran, atamwacha kama alivyowaacha Hizibolla, alipomalizana na wale magaidi ya pale Gaza akamgeukia huyo hizibolla, ndivyo itakavyokuwa hata kwa Iran
 
Marekani inachunguza uvujaji wa taarifa za siri za kijasusi kuhusu mipango ya Israel ya kulipiza kisasi dhidi ya Iran, kulingana na watu watatu wanaofahamu suala hilo. Mmoja wa watu hao amethibitisha uhalali wa nyaraka hizo.

Wameanza kutafuta mchawi,zingekua ni za Iran, Russia au China humu kuna wangesema hizi nchi zipo uchi majasusi kibao lakini kwa US aaah

Soma Pia: Israel inavyojipanga kujibu mapigo dhidi ya shambulio lililofanywa dhidi yake na Iran
=====================
The US is investigating a leak of highly classified US intelligence about Israel’s plans for retaliation against Iran, according to three people familiar with the matter. One of the people familiar confirmed the documents’ authenticity.




View: https://x.com/cnnbrk/status/1847739170904588798?t=xS2aAuQKQMJXfwY43PSMmg&s=19

Do not be fooled, hizo zimevujishwa makusudi kumpotezs Iran, sasa hiv wanacheza nae mchezo wa saikolojia wakiweka mambo sawa ya ulinzi wa anga na kupunguza nguvu za Hizbu na Hamas pamoja na Houth kule Yemen
 
Israel hana mpango kwa sasa kwa kumjibu Iran, atamwacha kama alivyowaacha Hizibolla, alipomalizana na wale magaidi ya pale Gaza akamgeukia huyo hizibolla, ndivyo itakavyokuwa hata kwa Iran
Kabisaa,ni stage by stage,hawakurupuki.
Nyau kasema watalia maisha yao yote.
Ngoja amalize hezbollah huko Lebanon atakuja Iran kwa muda muafaka.
 
Hezbollah tu vita ivi vinaendelea adi kufiki iyoiyo 5 November ni Israel atapiga yoweee muIran mtoe Israel utosikia kapiga Iran. Tumia akili kufikili usitumie vitabu vyadini vile vinasema adi sasa akuna ushaid kuwa Israel ilio ktk vitabu vya dini ndio hii mbele yetu. Kwann tusiamini wazungu wametumia dini kutucholea Israel hii wenye tabiya za ovyo kuuwa watoto wanawake vitoto njiti pia shabao yao ukitoka apo tena tabiya zao kuzibuana mitalo ushoga sodoma kwao ruksa sasa tabiya izi zawazungu w ulaya. Na ndio wametokea uko Sio Jewish OG Jewish Og asingefanya yote ayo nimetaja. Jewish walioandikwa ktk vitabu watakuja kuibuka na watatoa ishala zote kuwa awa ndio Jewish Og. Asingepigwa na Iran na kubaki analia wiki y3 sasa vikao avish mana wamewadanganya watu kuwa wao ndio Jewish wasiopigwa sasa anesheni maguvu yenu vikao vikao wenzao wanajipigia tu miji yao Netanyahu kwasasa ukimjambisha anaruka juu na akitua mbioo afu nyie mnawaona ndio Jewish Og Jewish na mitalo wapi na wapi. Changamsheni akili zenu wanowaamini awa ndio Jewish nawaona kama famiry imepoteza baba ajulikani alipo lkn ktk pitapita wkakutana na mtu anafanana uyo babayao wakamchukua nakumwita baba nae akaona fursa wakamueshimu sana lkn akuwa baba Og kwaiyoukiacha mama akaanza kuwatamani watoto wake wakike wakavimilia akaamia na wakiume anawaalibu bado famiry inaona ndio uyuyu babayao aitaki kushtuka. Ukichunguza tabiya y iyo Inayoitwa Israel unatema mate. Na ukijua tabiya asa za Jewish haaa awa sio awa Kenge tu w ulaya.. kizaz kijacho kinachokuja uko mbele ndio watawajua Jewish Og sio sisi kila kitu kinazama zake. Nawatakia siku njema.
 
Hezbollah tu vita ivi vinaendelea adi kufiki iyoiyo 5 November ni Israel atapiga yoweee muIran mtoe Israel utosikia kapiga Iran. Tumia akili kufikili usitumie vitabu vyadini vile vinasema adi sasa akuna ushaid kuwa Israel ilio ktk vitabu vya dini ndio hii mbele yetu. Kwann tusiamini wazungu wametumia dini kutucholea Israel hii wenye tabiya za ovyo kuuwa watoto wanawake vitoto njiti pia shabao yao ukitoka apo tena tabiya zao kuzibuana mitalo ushoga sodoma kwao ruksa sasa tabiya izi zawazungu w ulaya. Na ndio wametokea uko Sio Jewish OG Jewish Og asingefanya yote ayo nimetaja. Jewish walioandikwa ktk vitabu watakuja kuibuka na watatoa ishala zote kuwa awa ndio Jewish Og. Asingepigwa na Iran na kubaki analia wiki y3 sasa vikao avish mana wamewadanganya watu kuwa wao ndio Jewish wasiopigwa sasa anesheni maguvu yenu vikao vikao wenzao wanajipigia tu miji yao Netanyahu kwasasa ukimjambisha anaruka juu na akitua mbioo afu nyie mnawaona ndio Jewish Og Jewish na mitalo wapi na wapi. Changamsheni akili zenu wanowaamini awa ndio Jewish nawaona kama famiry imepoteza baba ajulikani alipo lkn ktk pitapita wkakutana na mtu anafanana uyo babayao wakamchukua nakumwita baba nae akaona fursa wakamueshimu sana lkn akuwa baba Og kwaiyoukiacha mama akaanza kuwatamani watoto wake wakike wakavimilia akaamia na wakiume anawaalibu bado famiry inaona ndio uyuyu babayao aitaki kushtuka. Ukichunguza tabiya y iyo Inayoitwa Israel unatema mate. Na ukijua tabiya asa za Jewish haaa awa sio awa Kenge tu w ulaya.. kizaz kijacho kinachokuja uko mbele ndio watawajua Jewish Og sio sisi kila kitu kinazama zake. Nawatakia siku njema.
Tulia andika taratibu utaeleweka tu mkuu
 
Do not be fooled, hizo zimevujishwa makusudi kumpotezs Iran, sasa hiv wanacheza nae mchezo wa saikolojia wakiweka mambo sawa ya ulinzi wa anga na kupunguza nguvu za Hizbu na Hamas pamoja na Houth kule Yemen
Hazijavujishwa makusudi,urusi ndio alimtaarifu Iran hbr hizo.
 
Nenda kawe kiongozi wa hamas au hizbullar uone kama Isra-hell hawajakuwahisha kwa Allah.
Kwamba hata mwanangu niliomzika juzi kati hapa aliuliwa na israhell wayahudi wa jf akili mnazo ila zimekua fupi sanaa
 
Do not be fooled, hizo zimevujishwa makusudi kumpotezs Iran, sasa hiv wanacheza nae mchezo wa saikolojia wakiweka mambo sawa ya ulinzi wa anga na kupunguza nguvu za Hizbu na Hamas pamoja na Houth kule Yemen
Wewe upo huko kismayo unajua hili ila Iran 🇮🇷 hawajui puwa wazayuni wa jf
 
Hizo docs zipo wapi?

Hapa huwenda US wenyewe wamezivujisha kama plan c yao ili wa execute plan A.(to put into effect)... Mambo mengi muda mchache wacha nisepe
Wana akili sana
 
Vita viishe, hakuna manufaa yoyote kupoteza watu na mali
 
Back
Top Bottom