Marekani inajali maslahi yake sana lakini nchi nyingine zikijali maslahi yake inanuna!

Marekani inajali maslahi yake sana lakini nchi nyingine zikijali maslahi yake inanuna!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Marekani ilikuwa inakasirika sana kuona nchi za ulaya magharibi zinapata gesi ya rahisi toka urusi, maana ilishindwa kupata soko la gesi yake ya LNG huko ulaya. Ilipiga vita bomba la gesi la pili kujengwa toka Urusi hadi ujerumani lakini likajengwa kwa mbinde!! Lilipojengwa iliishinikiza Ujerumani isiliruhusu kufanya kazi kwa kisingizio cha urusi kujiandaa kuivamia ukraine. Na sasa Marekani ndiyo imeyashambulia mabomba ya gesi yote mawili na kwa sasa ndiyo inayouza gesi ulaya kwa bei ya mara NNE ZAIDI!!

Cha ajabu zaidi, wakati yenyewe imeandaa mazingira ya kuuza gesi ya LNG ulaya kwa bei kubwa zaidi, inanuna kuona nchi za OPEEC+ zinaandaa mazingira ya kuzuia bei ya mafuta isishuke kwa kupunguza uzalishaji.

Marekani inataka bei ya mafuta ishuke!! Marekani ina akiba ya mafuta mengi sana kwenye ardhi yake lakini haitaki kuyachimba bali imeyaweka akiba, lakini inataka wengine wayachimbe yote ya kwao!

Kwa sasa Marekani imeinunia sana Saudi arabia kwa kuunga mkono OPEC+ kupunguza uzalishaji ili bei ya mafuta isishuke!! Inasema itaiwekea vikwazo na kuiadhibu Saudi Arabia!! Marekani bila aibu inataka kuilazimisha Urusi iuze mafuta yake kwa bei ndogo ya kupangiwa! Kama mtu hamjui shetani basi anaweza kumjua shetani kwa kuiangalia marekani na sera yake!

Calls in US to punish Saudi Arabia grow louder
Lawmakers have suggested cutting off arms sales after accusing Riyadh of cutting oil output to help Moscow

FILE PHOTO: US President Joe Biden and Saudi Crown Prince Mohammed bin Salman at the "GCC+3" meeting in Jeddah, July 16, 2022 © Mandel Ngan / Pool via AP

US Senator Richard Blumenthal and Representative Ro Khanna have accused Saudi Arabia of “colluding” with Russia in the Ukraine conflict by cutting OPEC oil production quotas, supposedly to boost Moscow’s energy revenue.
 
Kwani, ni taifa gani duniani linalojali zaidi maslahi ya taifa jingine kuliko ya kwake?
EU Kwa kumsikiliza USA na kuweka sanctions dhidi ya Russia,hapo wamejali maslahi ya wananchi wao kwanza au matakwa ya USA?Maana wananchi wanaandamana kwenye hizo nchi juu ya inflation kutokana na sanctions dhidi ya Russia!Lakini hata viongozi bado wanamsikiliza USA Kwa gharama na maumivu ya wananchi wake!
 
EU Kwa kumsikiliza USA na kuweka sanctions dhidi ya Russia,hapo wamejali maslahi ya wananchi wao kwanza au matakwa ya USA?Maana wananchi wanaandamana kwenye hizo nchi juu ya inflation kutokana na sanctions dhidi ya Russia!Lakini hata viongozi bado wanamsikiliza USA Kwa gharama ya maumivu Kwa jeshi lake!
Jibu lako si sahihi!

Je, umejaribu kuzingatia maslahi ya kiusalama ya nchi za Umoja wa Ulaya na bara lote kwa ujumla kwa kuzingatia historia ya kiusalama ya bara hilo?

Unadhani EU, kwa maslahi yake ya kiusalama, itakuwa sahihi kutochukuwa hatua zozote zile dhidi ya mvamizi wa nchi huru ndani ya bara lake?

Ngoja nilirudie swali:
Ni taifa gani duniani linalojali zaidi maslahi ya taifa jingine kuliko ya kwake?

Hili swali ni gumu sana ama?
 
Jibu lako si sahihi!

Je, umejaribu kuzingatia maslahi ya kiusalama ya nchi za Umoja wa Ulaya na bara lote kwa ujumla kwa kuzingatia historia ya kiusalama ya bara hilo?

Unadhani EU, kwa maslahi yake ya kiusalama, itakuwa sahihi kutochukuwa hatua zozote zile dhidi ya mvamizi wa nchi huru ndani ya bara lake?

Ngoja nilirudie swali:
Ni taifa gani duniani linalojali zaidi maslahi ya taifa jingine kuliko ya kwake?

Hili swali ni gumu sana ama?
Nimekwambia EU countries zimeshikwa na Marekani,USA yeye Huwa ana kauli mbiu kwamba Americans first!Nchi za EU zimeonesha kujali interest za US kuliko maslahi ya wananchi wake!Hungary kawagomea,amesema anaangalia wananchi wake kwanza!
Cancellor aliyepita wa ujerumani amesema,Ulaya ni salama zaidi kama watashirikiana na Russia kuliko kutoshirikiana naye!
Sasa wewe unaijua historia ya EU kuliko Angela Market?
 
Kwani, ni taifa gani duniani linalojali zaidi maslahi ya taifa jingine kuliko ya kwake?
Aisee kwenye maslahi kila nchi inaangalia yake, india juzjuz kanunua mafuta mengi ya urusi baada ya urusi kutafuta wateja wa bei ya chini yaan sagula sagula ndo india akaona hii deal safi akayanunua. China kagoma kufanya baadhi ya deal za kibiashara na urusi maana anaogopa vikwazo vya western maana ndo soko analotegemea. China kwa sasa atanunua mafuta na gesi ya urusi maana anajua urusi kabanwa anauza kwa bei ya sagula sagula so kila nchi huangalia maslahi yake.
 
Nimekwambia EU countries zimeshikwa na Marekani,USA yeye Huwa ana kauli mbiu kwamba Americans first!Nchi za EU zimeonesha kujali interest za US kuliko maslahi ya wananchi wake!Hungary kawagomea,amesema anaangalia wananchi wake kwanza!
Cancellor aliyepita wa ujerumani amesema,Ulaya ni salama zaidi kama watashirikiana na Russia kuliko kutoshirikiana naye!
Sasa wewe unaijua historia ya EU kuliko Angela Market?
Angela Market ndio nani? Au unamaanisha Angela Merkel?

Unataka tuanze kumjadili Angela Merkel ambaye mara kadha amekuwa akikiri hadharani kuwa sera zake za kidiplomasia kuhusu mgogoro wa Ukraine na Urusi hazikuwa na mafanikio?

Huyu Angela Merkel ambaye uvamizi ulianza kufanyika wakati yeye akiwa madarakani?

Narudia swali:
Ni taifa gani duniani ambalo linajali zaidi maslahi ya taifa jingine kuliko ya kwake?

Elewa swali kabla ya kulijibu!
 
Aisee kwenye maslahi kila nchi inaangalia yake, india juzjuz kanunua mafuta mengi ya urusi baada ya urusi kutafuta wateja wa bei ya chini yaan sagula sagula ndo india akaona hii deal safi akayanunua. China kagoma kufanya baadhi ya deal za kibiashara na urusi maana anaogopa vikwazo vya western maana ndo soko analotegemea. China kwa sasa atanunua mafuta na gesi ya urusi maana anajua urusi kabanwa anauza kwa bei ya sagula sagula so kila nchi huangalia maslahi yake.
Sahihi kabisa!

Ukweli ni kuwa, kila nchi hujali maslahi yake zaidi. Hivyo ndivyo ambavyo dunia ilivyo kimfumo.

Ukiona nchi zinashirikiana kwenye masuala mbalimbali kama kibishara na kiuchumi au kijeshi kwa maana ya "allies", ni kwa sababu maslahi ya nchi hizo yanazingatiwa, likiwemo suala la usalama.

Hali kadhalika, nchi zinapoacha kushirikiana ama zinapovunja uhusiano, ni kwa sababu maslahi ya upande mmoja ama zote yamekiukwa ama hayakuzingatiwa ipasavyo.
 
Marekani ilikuwa inakasirika sana kuona nchi za ulaya magharibi zinapata gesi ya rahisi toka urusi, maana ilishindwa kupata soko la gesi yake ya LNG huko ulaya. Ilipiga vita bomba la gesi la pili kujengwa toka Urusi hadi ujerumani lakini likajengwa kwa mbinde!! Lilipojengwa iliishinikiza Ujerumani isiliruhusu kufanya kazi kwa kisingizio cha urusi kujiandaa kuivamia ukraine. Na sasa Marekani ndiyo imeyashambulia mabomba ya gesi yote mawili na kwa sasa ndiyo inayouza gesi ulaya kwa bei ya mara NNE ZAIDI!!

Cha ajabu zaidi, wakati yenyewe imeandaa mazingira ya kuuza gesi ya LNG ulaya kwa bei kubwa zaidi, inanuna kuona nchi za OPEEC+ zinaandaa mazingira ya kuzuia bei ya mafuta isishuke kwa kupunguza uzalishaji.

Marekani inataka bei ya mafuta ishuke!! Marekani ina akiba ya mafuta mengi sana kwenye ardhi yake lakini haitaki kuyachimba bali imeyaweka akiba, lakini inataka wengine wayachimbe yote ya kwao!

Kwa sasa Marekani imeinunia sana Saudi arabia kwa kuunga mkono OPEC+ kupunguza uzalishaji ili bei ya mafuta isishuke!! Inasema itaiwekea vikwazo na kuiadhibu Saudi Arabia!! Marekani bila aibu inataka kuilazimisha Urusi iuze mafuta yake kwa bei ndogo ya kupangiwa! Kama mtu hamjui shetani basi anaweza kumjua shetani kwa kuiangalia marekani na sera yake!

Calls in US to punish Saudi Arabia grow louder
Lawmakers have suggested cutting off arms sales after accusing Riyadh of cutting oil output to help Moscow

FILE PHOTO: US President Joe Biden and Saudi Crown Prince Mohammed bin Salman at the "GCC+3" meeting in Jeddah, July 16, 2022 [emoji2398] Mandel Ngan / Pool via AP

US Senator Richard Blumenthal and Representative Ro Khanna have accused Saudi Arabia of “colluding” with Russia in the Ukraine conflict by cutting OPEC oil production quotas, supposedly to boost Moscow’s energy revenue.
waafrika ni wapumbav , hv kwel nyiny ndo wakusapoti ujinga ili hali itawacost
 
Watu wakitumia principle za democracy kusimamia au kuchagua wanapo amini nje na matarajio ya Mashoga wa USA na EU wanaitwa Maditekta
ko Putin sio Dikteta kisa anaipinga Marekan na anasingiziwa tu , yaan.kamuwekea sumu mpinzan na kawasweka ndan raia 3000 waliokuwa wanapinga uvamiz
 
Tanzania ipo tayali kutumia resources zake kuingilia migogoro ya watu bila maslahi ya taifa rejea Vita ya Kagera 1978-79 ,kutuma jeshi uko Nigeria (Biafra) taifa halikuwa na maslahi yoyote uko
Na unaona matokeo miaka 40 mbele , bado mnapambania kujenga vyoo
 
EU Kwa kumsikiliza USA na kuweka sanctions dhidi ya Russia,hapo wamejali maslahi ya wananchi wao kwanza au matakwa ya USA?Maana wananchi wanaandamana kwenye hizo nchi juu ya inflation kutokana na sanctions dhidi ya Russia!Lakini hata viongozi bado wanamsikiliza USA Kwa gharama na maumivu ya wananchi wake!
Urusi ni adui wa asili wa Ulaya yaan USA anaeza kuwa rafik wa Urusi ila Ulaya haiez kuwa rafik wa Urusi
 
Back
Top Bottom