Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau wanawake wenye macho makubwaUstaadh KIMSBOY hebu tupe na zile tetesi kwamba ukijivika mabomo ukajilipua UNAPATA VIZA YA AHERA MOJA KWA MOJA NA UNAKUTA NYUMBA YA KIFAHARI
Here comes Great AmericaMarekani inajiandaa kuishambulia Iran wakati wowote kutokea sasa
Kuna taarifa zinaenea sana, na ni kutoka kwa watu nyeti wa Washington kuwa Marekani inajiandaa kuishambulia Iran kijeshi muda wowote kutokea sasa
Marekani imepeleka maelfu ya silaha na wanajeshi wengi wameanza kuandaliwa huku meli za kivita za Marekani zikiwa tayari kwa mashambulizi
Haya yanajiri huku Korea ya kaskazini ikitangaza kuwa itawapa Iran, Hamas na wapiganaji wote wanaoipinga US na Israel mashariki ya kati kwa silaha za kutosha
Marekani inaufahamu uwezo wa Iran ni mkubwa kupita maelezo Iran hamiliki silaha za kawaida pekee bali inasemekana kuwa Iran anazo silaha za maangamizi na kemikali matani kwa matani ila kwa siri sana
Pia inawezekana kabisa kuwa Iran ana silaha za Nyuklia ndo hivyo tu anatuzuga!!
Ngoja tuone kama hizi tetesi kama zitakua ni za kweli
Wamemwamsha sleeping Giant[emoji599][emoji599][emoji599]FLASH FLASH FLASH: U.S. Air Force KC-135 just enter Iranian Airspace!
Several US aircraft have dropped their transponder signals over Saudi Arabia and Iraq recently. Possible missions over Iranian and Yemen territories now!!
US and Israel moving closer to war with Iran!! [emoji91][emoji91][emoji91]
Hso wengine watatokea wapi?Ndio Mana nikasema Bora mtu mmoja aliachia Li Nuclear tuzame wote waje wengine waishi hapa Duniani..
Mbona hawasemi sasa?watu wana roho mbaya sanaUmesahau wanawake wenye macho makubwa
Sio Israel TU,hata NATO.Kamikaze zilipoingia zilibadili Kila kitu Uikrane.Inawezekana kwa sababu israel anamuogopa sana iran
Nimecheka.Ostadh buana! Wanamiliki kwa Siri kubwa afu wewe unajua! Siri kubwa 😃😃