Tetesi: Marekani inajiandaa kuishambulia Iran wakati wowote kutokea sasa

Tetesi: Marekani inajiandaa kuishambulia Iran wakati wowote kutokea sasa

Shia amal militiaman, mtu wa porojo sana akishatoka masjid ubwabwa.
 
Ninachoweza kuthibitisha ni kwamba hakutakuwa na vita ya dunia.
 
[emoji599][emoji599][emoji599]FLASH FLASH FLASH: U.S. Air Force KC-135 just enter Iranian Airspace!

Several US aircraft have dropped their transponder signals over Saudi Arabia and Iraq recently. Possible missions over Iranian and Yemen territories now!!

US and Israel moving closer to war with Iran!! [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Marekani inajiandaa kuishambulia Iran wakati wowote kutokea sasa

Kuna taarifa zinaenea sana, na ni kutoka kwa watu nyeti wa Washington kuwa Marekani inajiandaa kuishambulia Iran kijeshi muda wowote kutokea sasa

Marekani imepeleka maelfu ya silaha na wanajeshi wengi wameanza kuandaliwa huku meli za kivita za Marekani zikiwa tayari kwa mashambulizi

Haya yanajiri huku Korea ya kaskazini ikitangaza kuwa itawapa Iran, Hamas na wapiganaji wote wanaoipinga US na Israel mashariki ya kati kwa silaha za kutosha

Marekani inaufahamu uwezo wa Iran ni mkubwa kupita maelezo Iran hamiliki silaha za kawaida pekee bali inasemekana kuwa Iran anazo silaha za maangamizi na kemikali matani kwa matani ila kwa siri sana

Pia inawezekana kabisa kuwa Iran ana silaha za Nyuklia ndo hivyo tu anatuzuga!!

Ngoja tuone kama hizi tetesi kama zitakua ni za kweli
Here comes Great America
 
[emoji599][emoji599][emoji599]FLASH FLASH FLASH: U.S. Air Force KC-135 just enter Iranian Airspace!

Several US aircraft have dropped their transponder signals over Saudi Arabia and Iraq recently. Possible missions over Iranian and Yemen territories now!!

US and Israel moving closer to war with Iran!! [emoji91][emoji91][emoji91]
Wamemwamsha sleeping Giant
 
israeli media: israeli officers are admitting that the combat proficiency and skills of Al Qassam fighters in Gaza are higher than they once knew
 
God bless America 🇺🇸,kwa kweli bila 🇺🇸 kuwa strong,waarabu na ndugu zao wangetuua,Maana wanatuangalia kwa Jicho Kali sana
 
Back
Top Bottom