Marekani inakuwa stronger sana kiuchumi au kijeshi kwa sababu ya strong base ya demokrasia waliyo nayo. Hata rais haiwezi kuleta migumo yake

Marekani inakuwa stronger sana kiuchumi au kijeshi kwa sababu ya strong base ya demokrasia waliyo nayo. Hata rais haiwezi kuleta migumo yake

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Sijui kwanini cho za Afrika au za Asia hazijifunzi kwa marekani wakawa na demokrasia. Hivi kwa mfano Kim jong UN, Putin nk wakifa lazima nchizi zao zitingia katika vita ya wenyewe kwa wenyewe mana mtu mmoja ndo mwamuzi wa mwisho tofauti na marekani ambapo hata Rais siyo final.

Nchi za Afrika kama Rwanda, Uganda nk nao Marais wao wakifa vita ya wenyewe kwa wenyewe haiepukiki mana all powers are vested on one person.

Marekani haiwi shakeni na yeyote kw asababu misingi ya demokrasia ni mikubwa sana kiasi ambacho haideal na trivial issues kama eti kumtukana rais sijui Nini eti polisi akimbizane na wewe kisa umemtukana rais.

Chi zetu hizi hata ukiandika mtandaoni tu kwamba rais ni mpumbavu unakamatwa na ama kuuawa au kupotezwa kama Ben saanane kipindi Cha jpm. Museven au kagame wanaua hadharani kabisa watu wao. Huu ni ujinga wa hizi ngozi zetu na kamwe tutasindikiza wenye akili. Ndo mana hata papa alipoend marekani alisema " The nation of the brains"
 
Utakuta lirahisi Lina miaka 75 bado linatawala kwa kuuwa wapinzani wao au ukiwakosoa . Na wanajua wanakufa muda wowote,
 
Marekani hakuna hio inayoitwa demokrasia
Umeshawahi sikia Kuna raisi kinganganizi au chama kinngangania kubali madarakani kama mafisiemu? Umeshawahi ona watu wanaandamana wanapigwa mpaka wachakae
 
Umeshawahi sikia Kuna raisi kinganganizi au chama kinngangania kubali madarakani kama mafisiemu? Umeshawahi ona watu wanaandamana wanapigwa mpaka wachakae
Kwahio hapo ndio umemaliza kua ndio demokrasia hio?
 
Kwahio hapo ndio umemaliza kua ndio demokrasia hio?
Hii ndo demokrasia kwamba kura za waliopiga kura zinaheshimiwa siyo wizi ule wa kimbunga uluofanywa na jpm akaweka kila mbunge mwanafisiemu as a result hawezi hata kuisimamia serikali wanamuoga rais kila anachosema kwao ni ndio. Ona Kenya tu Ruto kakosea kuiandama mahakama Sasa maandamano yametangazwa nchi nzima kulaani kauli ya rais. Hapa bongo haiwezekani kabosa
 
Hii ndo demokrasia kwamba kura za waliopiga kura zinaheshimiwa siyo wizi ule wa kimbunga uluofanywa na jpm akaweka kila mbunge mwanafisiemu as a result hawezi hata kuisimamia serikali wanamuoga rais kila anachosema kwao ni ndio. Ona Kenya tu Ruto kakosea kuiandama mahakama Sasa maandamano yametangazwa nchi nzima kulaani kauli ya rais. Hapa bongo haiwezekani kabosa
Achana na jpm hapa tupo marekani kama unataka ya jpm niwaache na matatizo yenu mzee hayanihusu

Lini kura za wapiga kura wa marekani uliona zimeheshimiwq?
 
Usisahau hawana cha kujenga walishamaliza na asilimia zaidi ya 90 ya bajeti yao inaenda jeshini.
 
Achana na jpm hapa tupo marekani kama unataka ya jpm niwaache na matatizo yenu mzee hayanihusu

Lini kura za wapiga kura wa marekani uliona zimeheshimiwq?
Lini umeshawahi sikia rais aliyeko madarakani akaiba kura ili aendelee kukaa madarakani. Ingekuwa hivyo trump asingeondoka mamlakani kabisa mana naye alikuwa ameshaanza kuwa na elements za ki jpm ila mifumo ikamgomea.
 
Lini umeshawahi sikia rais aliyeko madarakani akaiba kura ili aendelee kukaa madarakani. Ingekuwa hivyo trump asingeondoka mamlakani kabisa mana naye alikuwa ameshaanza kuwa na elements za ki jpm ila mifumo ikamgomea.
Acha kuruka ruka kijana kama samaki anakaangwa

Nakuuliza mara ya mwisho kabla sijakuacha na msimamo wako usiojua unasimamia nini

Lini kura ya raia wa marekani iliheshimiwa?
 
Acha kuruka ruka kijana kama samaki anakaangwa

Nakuuliza mara ya mwisho kabla sijakuacha na msimamo wako usiojua unasimamia nini

Lini kura ya raia wa marekani iliheshimiwa?
Wakati wote kura za raia zinaheshimiwa hapa marekani ndo maana Kuna uwazi sana wakati wa kuhesabu. Zinahesabiwa online. Na proof ya uwaIzi ndo hiyo nimesema kwamba rais aliyeko madarakani anatoka kama hajachaguliwa. Lakini hapa petu haiwezekani kabisa ccm ikaachia mtu hata mungu asimamie uchaguzi. Jpm lowasa alimshinda lakini hakutangazwa
 
Wakati wote kura za raia zinaheshimiwa hapa marekani ndo maana Kuna uwazi sana wakati wa kuhesabu. Zinahesabiwa online. Na proof ya uwaIzi ndo hiyo nimesema kwamba rais aliyeko madarakani anatoka kama hajachaguliwa. Lakini hapa petu haiwezekani kabisa ccm ikaachia mtu hata mungu asimamie uchaguzi. Jpm lowasa alimshinda lakini hakutangazwa
Narudia tena umeleta hoja ya marekani yatanzania mtajuana wenyewe kama huwezi kujadili hoja uloileta nikuachie uzi wako uje ujadili na wengine

Naomba matokeo ya kura za Hillary Clinton na Donald Trump

Ujue kama hakuna kura inayoheshimiwa pale
 
Sio hauna akili timamu utakua hauna akili kabisaaaa sababu marekani hakuna na hakujawahi kua na demokrasia
Kama hakuna demokrasia Kuna Nini?? Kama Kuna udikteta marekanii je? Marekanii pale dikteta ni nani mtaje hata mmoja??
 
Kama hakuna demokrasia Kuna Nini?? Kama Kuna udikteta marekanii je? Marekanii pale dikteta ni nani mtaje hata mmoja??
Dikteta wakwanza wa marekani rais kwahio rais akiwa dikteta anaowateua wote wanakua wamechaguliwa kidokteta wakiwa wamechaguliwa kidikteta

Mfumo mzima wa sirikali ya marekani unakua wa kidikteta

Kama marekani sio madikteta nambie rais anachaguliwa nanani
 
Narudia tena umeleta hoja ya marekani yatanzania mtajuana wenyewe kama huwezi kujadili hoja uloileta nikuachie uzi wako uje ujadili na wengine

Naomba matokeo ya kura za Hillary Clinton na Donald Trump

Ujue kama hakuna kura inayoheshimiwa pale
Wote tunajua marekanii Wana namna Yao ya kumpata rais na kura za wananchi sio last say but ni afadhali kuchaguliwa rais na watu wachache wenye akilii kuliko watu wengii wajingaa
 
Wote tunajua marekanii Wana namna Yao ya kumpata rais na kura za wananchi sio last say but ni afadhali kuchaguliwa rais na watu wachache wenye akilii kuliko watu wengii wajingaa
Kwahio wa marekani wote wajinga kuliko watu wale 200 sijui 400

Sio munajua nikwamba marekani hakuna demokrasia

Sasa kama mnaona sawa kama mnavyodai kwanini kwawengine iwe ishu kubwa wakifanya kama wao?
 
Dikteta wakwanza wa marekani rais kwahio rais akiwa dikteta anaowateua wote wanakua wamechaguliwa kidokteta wakiwa wamechaguliwa kidikteta

Mfumo mzima wa sirikali ya marekani unakua wa kidikteta

Kama marekani sio madikteta nambie rais anachaguliwa na

Dikteta wakwanza wa marekani rais kwahio rais akiwa dikteta anaowateua wote wanakua wamechaguliwa kidokteta wakiwa wamechaguliwa kidikteta

Mfumo mzima wa sirikali ya marekani unakua wa kidikteta

Kama marekani sio madikteta nambie rais anachaguliwa nanani
Wewe jamaa unachekeshaa ko unataka kusemaa Biden ni dikteta wakatii hana hta uhakika wa kushinda uchaguzii kwa muhula mwingine,,,Trump alikuwa dikteta akashindwa kuendelea kuwa Rais kwa muhula mwingine Sasa udikteta huo ni wa Nini wakati yeye mwenyewe au chama chake hakina uwezo wa kuendelea kubaki madarakanii
 
Acha kupotosha wewe jamaa unajua mchakato wa kumpata rais wa marekanii huanzia wapii??
Kwahio wa marekani wote wajinga kuliko watu wale 200 sijui 400

Sio munajua nikwamba marekani hakuna demokrasia

Sasa kama mnaona sawa kama mnavyodai kwanini kwawengine iwe ishu kubwa wakifanya kama wao?
 
Back
Top Bottom