Marekani inapata faida gani kugombanisha majirani?

Marekani inapata faida gani kugombanisha majirani?

Kila penye ugomvi duniani unaohusu ndugu na majirani lazima Marekani atakuwepo upande mmoja wapo wa watu hao.

Ukienda Pakistan na Afghanistan utamkuta Mmarekani,Ukienda Urusi na Ukraine ni hivyo hivyo na ukienda Korea Kaskazini na Korea kusini hali ni hiyo hiyo. Vivyo hivyo ukienda Palestina na Israel.

Si lazima uwe ugomvi mkubwa hata ugomvi mdogo wa ndani lazima Marekani atakuja upande wa adui yako.

Je, kugombanisha na kuwa mchokozi kwa Marekani ni hobi au kuna faida yoyote kwa taifa hilo.
wanauza silaha lakini pia wanaiba mali mfano libya walibeba mafuta.

u.s.a ina store ya mafuta ambayo wanaweza kutumia ndani ya miaka 100 lakini wao hawana sehemu wanayochimba mafuta unaweza sasa kujiuliza wamepat wapo ayo mafuta
 
wanauza silaha lakini pia wanaiba mali mfano libya walibeba mafuta.

u.s.a ina store ya mafuta ambayo wanaweza kutumia ndani ya miaka 100 lakini wao hawana sehemu wanayochimba mafuta unaweza sasa kujiuliza wamepat wapo ayo mafuta
Utakuwa mjinga wa mwisho dunia hii Kama akili yako inajua kwamba Marekani haina visima vya mafuta kwenye ardhi ya Marekani. Kunazia majimbo ya Pennyslivania,North Darkota, California,Nevada,Iowa na Sasa Jimbo la Alaska kote Marekani inachimba Mafuta.

Marekani ndio nchi namba moja duniani kwa kuzalisha Mafuta kuliko Saudi Arabia na Urusi Combined. Marekani inazalisha mapipa 18M kwa siku huku Saudi Arabia mapipa 12M , Urusi 10M na Iran 8M. Marekani haiuzi nje Mafuta licha ya kuzalisha Mafuta mengi kuliko nchi yoyote kwasababu,Marekani ndio mtumiaji mkubwa wa Mafuta duniani. Kwa siku Marekani inatumia mapipa 22M. Kwahiyo Kila siku Marekani inalazimika kununua nje mapipa 4M ili kukidhi mahitaji yake.

Siku nyingine kabla ya kuropoka tafuta Kwanza taarifa.
 
Iraq ilikuwa ni Nchi inayosaidiwa? Kabla ya vikwazo vya USA walikuwa na Uchumi mkubwa Kushinda hadi Uingereza, Kama Unavyoona Qatar, Libya, Dubai na wengineo Iraq walikuwa na pesa na maendeleo kedekede.

Kaja mzee wa ustaarabu kaacha Yatima, magofu mabovu bovu, kaiba mafuta na udhalimu kibao. Kama unafikiri kutoa roho za mamilioni ya watu wasio na hatia ni ustaarabu kaa nao ustaarabu wako.
Nasema viongozi wajinga wajinga lazima kushughulikiwa, hakuna namna
 
Kila penye ugomvi duniani unaohusu ndugu na majirani lazima Marekani atakuwepo upande mmoja wapo wa watu hao.

Ukienda Pakistan na Afghanistan utamkuta Mmarekani,Ukienda Urusi na Ukraine ni hivyo hivyo na ukienda Korea Kaskazini na Korea kusini hali ni hiyo hiyo. Vivyo hivyo ukienda Palestina na Israel.

Si lazima uwe ugomvi mkubwa hata ugomvi mdogo wa ndani lazima Marekani atakuja upande wa adui yako.

Je, kugombanisha na kuwa mchokozi kwa Marekani ni hobi au kuna faida yoyote kwa taifa hilo.
Marekani ndio shetani mwenyewe
 
Utakuwa mjinga wa mwisho dunia hii Kama akili yako inajua kwamba Marekani haina visima vya mafuta kwenye ardhi ya Marekani. Kunazia majimbo ya Pennyslivania,North Darkota, California,Nevada,Iowa na Sasa Jimbo la Alaska kote Marekani inachimba Mafuta.

Marekani ndio nchi namba moja duniani kwa kuzalisha Mafuta kuliko Saudi Arabia na Urusi Combined. Marekani inazalisha mapipa 18M kwa siku huku Saudi Arabia mapipa 12M , Urusi 10M na Iran 8M. Marekani haiuzi nje Mafuta licha ya kuzalisha Mafuta mengi kuliko nchi yoyote kwasababu,Marekani ndio mtumiaji mkubwa wa Mafuta duniani. Kwa siku Marekani inatumia mapipa 22M. Kwahiyo Kila siku Marekani inalazimika kununua nje mapipa 4M ili kukidhi mahitaji yake.

Siku nyingine kabla ya kuropoka tafuta Kwanza taarifa.
MAFUTA YA MAREKANI HAYAFAI NCHI NYENGINE NA HATA WENYEWE HAWAYAPENDI.ULIZA UTAONA
 
Utakuwa mjinga wa mwisho dunia hii Kama akili yako inajua kwamba Marekani haina visima vya mafuta kwenye ardhi ya Marekani. Kunazia majimbo ya Pennyslivania,North Darkota, California,Nevada,Iowa na Sasa Jimbo la Alaska kote Marekani inachimba Mafuta.

Marekani ndio nchi namba moja duniani kwa kuzalisha Mafuta kuliko Saudi Arabia na Urusi Combined. Marekani inazalisha mapipa 18M kwa siku huku Saudi Arabia mapipa 12M , Urusi 10M na Iran 8M. Marekani haiuzi nje Mafuta licha ya kuzalisha Mafuta mengi kuliko nchi yoyote kwasababu,Marekani ndio mtumiaji mkubwa wa Mafuta duniani. Kwa siku Marekani inatumia mapipa 22M. Kwahiyo Kila siku Marekani inalazimika kununua nje mapipa 4M ili kukidhi mahitaji yake.

Siku nyingine kabla ya kuropoka tafuta Kwanza taarifa.
Mkuu kuna watu wanaishi kwenye hekaya za ajabu badala ya kujisomea wakaelewa wanaleta habari za kwenye vijiwe vya kahawa na mihadhara ya kidini. Hawa ndio wanaamini Osama hajawai kuwepo na wengine wakisema alikuwa na Sura 12 tofauti
 
Kila penye ugomvi duniani unaohusu ndugu na majirani lazima Marekani atakuwepo upande mmoja wapo wa watu hao.

Ukienda Pakistan na Afghanistan utamkuta Mmarekani,Ukienda Urusi na Ukraine ni hivyo hivyo na ukienda Korea Kaskazini na Korea kusini hali ni hiyo hiyo. Vivyo hivyo ukienda Palestina na Israel.

Si lazima uwe ugomvi mkubwa hata ugomvi mdogo wa ndani lazima Marekani atakuja upande wa adui yako.

Je, kugombanisha na kuwa mchokozi kwa Marekani ni hobi au kuna faida yoyote kwa taifa hilo.
US ni baba wa Demokrasia duniani.
 
MAFUTA YA MAREKANI HAYAFAI NCHI NYENGINE NA HATA WENYEWE HAWAYAPENDI.ULIZA UTAONA
Hahahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Duuuh hii Kali ya mwaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom