Marekani inawauliza Ulaya kile wanachohitaji kwa dhamana ya usalama ya Ukraine

Marekani inawauliza Ulaya kile wanachohitaji kwa dhamana ya usalama ya Ukraine

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Marekani inawauliza Ulaya kile wanachohitaji kwa dhamana ya usalama ya Ukraine.

Kinachoonekana ni kwamba tofauti na wengi tulivyokuwa tunafikiria kwamba Trump ataisalimisha Ukraine kirahisi kwa Russia lakini ukifuatilia hii (Dossier) ya Marekani kwa mataifa washirika wa Ulaya kuhusu mpango wake wa kumaliza vita kati ya Russia na Ukraine utaona mambo ni tofauti kabisa.

Na swali la kujiuliza ni kwamba, je Ulaya inaweza kupeleka vikosi vya kulinda amani nchini Ukraine huku majeshi ya Russia yakingali katika ardhi ya Ukraine..??
************************************************************************
Marekani imewauliza washirika wake wa Ulaya nini wangehitaji kutoka Washington ili kushiriki katika mipango ya usalama ya Ukraine, kulingana na waraka waliyouona Reuters.

Mgawanyiko wa kidiplomasia uliotumwa wiki iliyopita, ukiwa na hoja sita na maswali, pia unauliza ni nchi gani zinaweza kuchangia dhamana, ambayo itakuwa tayari kupeleka wanajeshi Ukraine kama sehemu ya suluhu la amani, na ukubwa wa kikosi chochote kinachoongozwa na Ulaya kinaweza kuwa gani.

 
Marekani inawauliza Ulaya kile wanachohitaji kwa dhamana ya usalama ya Ukraine.

Kinachoonekana ni kwamba tofauti na wengi tulivyokuwa tunafikiria kwamba Trump ataisalimisha Ukraine kirahisi kwa Russia lakini ukifuatilia hii (Dossier) ya Marekani kwa mataifa washirika wa Ulaya kuhusu mpango wake wa kumaliza vita kati ya Russia na Ukraine utaona mambo ni tofauti kabisa.

Na swali la kujiuliza ni kwamba, je Ulaya inaweza kupeleka vikosi vya kulinda amani nchini Ukraine huku majeshi ya Russia yakingali katika ardhi ya Ukraine..??
************************************************************************
Marekani imewauliza washirika wake wa Ulaya nini wangehitaji kutoka Washington ili kushiriki katika mipango ya usalama ya Ukraine, kulingana na waraka waliyouona Reuters.

Mgawanyiko wa kidiplomasia uliotumwa wiki iliyopita, ukiwa na hoja sita na maswali, pia unauliza ni nchi gani zinaweza kuchangia dhamana, ambayo itakuwa tayari kupeleka wanajeshi Ukraine kama sehemu ya suluhu la amani, na ukubwa wa kikosi chochote kinachoongozwa na Ulaya kinaweza kuwa gani.


Trump amekosea ku-deal na suala hili kwa kuchukua au kuegemea upande mmojawapo wa Mgogoro huu badala ya kuwa neutral akiwa Kama msuluhishi wa Mgogoro.
Mbaya zaidi, Trump ameegemea upande usiokuwa wa Haki, yaani kumuunga mkono mvamizi Vladmir Putin.
 
Nyinyi machawa wa Nato si tulikuwa tuna waambia kuwa kuna rundo la mataifa yanapigana nyuma ya Ukraine nyinyi mkawa mnakaza shingo, hoo Ukraine inapigana peke yake hoo Urusi ni super power uchwara.
Sasa Marekani ataisalimishaje Ukraine hali ya kuwa Ukraine ilikuwa ina pigana yenyewe?
 
Trump amekosea ku-deal na suala hili kwa kuchukua au kuegemea upande mmojawapo wa Mgogoro huu badala ya kuwa neutral akiwa Kama msuluhishi wa Mgogoro.
Mbaya zaidi, Trump ameegemea upande usiokuwa wa Haki, yaani kumuunga mkono mvamizi Vladmir Putin.
Mbona Marekani anapo egemea upande wa Israel kwenye mgogoro wake na Palestine nyinyi wayahudi wa magwepande mbona huwa mnakenua meno na kushangilia?
 
Mbona Marekani anapo egemea upande wa Israel kwenye mgogoro wake na Palestine nyinyi wayahudi wa magwepande mbona huwa mnakenua meno na kushangilia?
Hiyo migogoro ya wapalestina ambao ni waarabu hata waarabu wenzao ambazo zipo nchi tuzipo kimya, sisi wamatumbi inatuhusu nini kama wao kwa wao hawana umoja?
 
Mbona Marekani anapo egemea upande wa Israel kwenye mgogoro wake na Palestine nyinyi wayahudi wa magwepande mbona huwa mnakenua meno na kushangilia?
1. Ni sahihi kwa Marekani kuegemea kwa Israel katika Mgogoro unaoendelea huko Gaza kwa sababu Hamas ndio ambao walichokoza Vita hiyo mnamo 7 Oktoba 2023. Endapo kama Hamas wasingevamia na kuua Watu wa Israel hapo Oktoba 2023 basi Israel asingeweza kuanzisha hayo mashambulizi makali dhidi ya Palestina na Hamas. Kabla ya shambulizi la Oktoba 2023 huko Israel, kilikuwa na hali ya utulivu wa kutosha ndani ya Palestina, hata baadhi ya Wapalestina kila siku walikuwa wanavuka mpaka na kuingia Israel ili kwenda kufanya kazi kwa ajili ya kujikimu na maisha yao.

2. Siyo sahihi kwa Marekani/Trump kuegemea na kuiunga mkono Urusi katika Vita ya huko Ukraine kwa sababu Urusi/Putin ndiye mchokozi aliyeanzisha Vita hiyo kwa kuivamia Ukraine haoo Februari, 2022. Putin ndiye mkosaji, mchokozi na ndiye chanzo cha kuibuka kwa Vita hiyo, endapo kama Putin asingeivamia Ukraine basi Vita hii isingekuwepo na wala isingetokea.
 
1. Ni sahihi kwa Marekani kuegemea kwa Israel katika Mgogoro unaoendelea huko Gaza kwa sababu Hamas ndio ambao walichokoza Vita hiyo mnamo 7 Oktoba 2023. Endapo kama Hamas wasingevamia na kuua Watu wa Israel hapo Oktoba 2023 basi Israel asingeweza kuanzisha hayo mashambulizi makali dhidi ya Palestina na Hamas. Kabla ya shambulizi la Oktoba 2023 huko Israel, kilikuwa na hali ya utulivu wa kutosha ndani ya Palestina, hata baadhi ya Wapalestina kila siku walikuwa wanavuka mpaka na kuingia Israel ili kwenda kufanya kazi kwa ajili ya kujikimu na maisha yao.

2. Siyo sahihi kwa Marekani/Trump kuegemea na kuiunga mkono Urusi katika Vita ya huko Ukraine kwa sababu Urusi/Putin ndiye mchokozi aliyeanzisha Vita hiyo kwa kuivamia Ukraine haoo Februari, 2022. Putin ndiye mkosaji, mchokozi na ndiye chanzo cha kuibuka kwa Vita hiyo, endapo kama Putin asingeivamia Ukraine basi Vita hii isingekuwepo na wala isingetokea.
Marekani kaanza kuegemea Israel oct. 07 ?
 
1. Ni sahihi kwa Marekani kuegemea kwa Israel katika Mgogoro unaoendelea huko Gaza kwa sababu Hamas ndio ambao walichokoza Vita hiyo mnamo 7 Oktoba 2023. Endapo kama Hamas wasingevamia na kuua Watu wa Israel hapo Oktoba 2023 basi Israel asingeweza kuanzisha hayo mashambulizi makali dhidi ya Palestina na Hamas. Kabla ya shambulizi la Oktoba 2023 huko Israel, kilikuwa na hali ya utulivu wa kutosha ndani ya Palestina, hata baadhi ya Wapalestina kila siku walikuwa wanavuka mpaka na kuingia Israel ili kwenda kufanya kazi kwa ajili ya kujikimu na maisha yao.

2. Siyo sahihi kwa Marekani/Trump kuegemea na kuiunga mkono Urusi katika Vita ya huko Ukraine kwa sababu Urusi/Putin ndiye mchokozi aliyeanzisha Vita hiyo kwa kuivamia Ukraine haoo Februari, 2022. Putin ndiye mkosaji, mchokozi na ndiye chanzo cha kuibuka kwa Vita hiyo, endapo kama Putin asingeivamia Ukraine basi Vita hii isingekuwepo na wala isingetokea.
Huna akili kwani kiini cha Mgogoro wa Israel na Palestine ni tukio la October 7?
Au Marekani alianza kuegemea upande wa Israel baada ya October 7?
Au Israel imeanza kuuwa na kukalia ardhi za wapalestina baada ya October 7?
Kabla ya October7 Israel ilikuwa ina uwa wasitani wapalestina 2000 kila mwaka ina pora maelfu ya mahekari ya ardhi ya wapalestina,inakamata maelfu ya wapalestina na kuwafunga ikiwemo mpaka watoto wa miaka 10.

Ww kama unaona ni haki kwa Israel kuuwa, kuwapora na kuwanyanyasa wapalestina kwa sababu zao, kwanini usione haki ya Urusi kufanya hivyo kwa sababu zake?
 
Huna akili kwani kiini cha Mgogoro wa Israel na Palestine ni tukio la October 7?
Au Marekani alianza kuegemea upande wa Israel baada ya October 7?
Au Israel imeanza kuuwa na kukalia ardhi za wapalestina baada ya October 7?
Kabla ya October7 Israel ilikuwa ina uwa wasitani wapalestina 2000 kila mwaka ina pora maelfu ya mahekari ya ardhi ya wapalestina,inakamata maelfu ya wapalestina na kuwafunga ikiwemo mpaka watoto wa miaka 10.

Ww kama unaona ni haki kwa Israel kuuwa, kuwapora na kuwanyanyasa wapalestina kwa sababu zao, kwanini usione haki ya Urusi kufanya hivyo kwa sababu zake?
Utakuwa umeamua makusudi kuukataa Ukweli mchungu.
Ukweli kuhusu suala hili la Vita hii inayoendelea hivi Sasa huko Mashariki ya Kati kati ya Israel na Hamas/Palestina ni lile shambulizi la Oktoba 2023. Kabla ya shambulizi hilo ni kweli kabisa kwamba kulikuwa na tofaufi za muda mrefu za kimitazamo kati ya Israel na Palestina, lakini tofaufi zao hizo hazikuwahi kusababisha kuibuka kwa Vita kali Sana kati yao Kama hiyo inayoendelea hivi sasa ambayo tayari umesababisha maafa makubwa zaidi pamoja na uharibifu mkubwa zaidi wa miundombinu ya makazi na uchumi.
Tangu ugomvi huo ulipoibuka rasmi kati yao mnamo Mwaka 1948, kamwe hapakuwahi kutokea Vita kali zaidi kati yao Kama hii inayoendelea hivi Sasa huko Gaza, shambulizi la Oktoba 2023 ndio chanzo cha kuibuka kwa Vita hiyo ya Sasa. The civilians attack of October 2023 in Israel territory was a trigger for this ongoing war in Gaza.
Whether you like it or not, but this is a bitter truth.
 
1. Ni sahihi kwa Marekani kuegemea kwa Israel katika Mgogoro unaoendelea huko Gaza kwa sababu Hamas ndio ambao walichokoza Vita hiyo mnamo 7 Oktoba 2023. Endapo kama Hamas wasingevamia na kuua Watu wa Israel hapo Oktoba 2023 basi Israel asingeweza kuanzisha hayo mashambulizi makali dhidi ya Palestina na Hamas. Kabla ya shambulizi la Oktoba 2023 huko Israel, kilikuwa na hali ya utulivu wa kutosha ndani ya Palestina, hata baadhi ya Wapalestina kila siku walikuwa wanavuka mpaka na kuingia Israel ili kwenda kufanya kazi kwa ajili ya kujikimu na maisha yao.

2. Siyo sahihi kwa Marekani/Trump kuegemea na kuiunga mkono Urusi katika Vita ya huko Ukraine kwa sababu Urusi/Putin ndiye mchokozi aliyeanzisha Vita hiyo kwa kuivamia Ukraine haoo Februari, 2022. Putin ndiye mkosaji, mchokozi na ndiye chanzo cha kuibuka kwa Vita hiyo, endapo kama Putin asingeivamia Ukraine basi Vita hii isingekuwepo na wala isingetokea.
Akili ilipo ishia
 
Nyinyi machawa wa Nato si tulikuwa tuna waambia kuwa kuna rundo la mataifa yanapigana nyuma ya Ukraine nyinyi mkawa mnakaza shingo, hoo Ukraine inapigana peke yake hoo Urusi ni super power uchwara.
Sasa Marekani ataisalimishaje Ukraine hali ya kuwa Ukraine ilikuwa ina pigana yenyewe?
... kama Putin angekuwa mwehu, angeweza kabisa kuzishambulia nchi za NATO direct maana ilikuwa wazi mno kuwa ndio anaopigana nao Ukraine, ila tu na yeye akaamua ubishi waumalizie hapohapo Ukraine! BUSARA!
 
Yani haki kwao upande m 1 ufanye unyama ni sawa upende mwengine usilipize ukilipiza ni Ugaid au wao ndio chanzo cha tatizo!!!!

Kabla ya 7octb akukuwa na Aman ila kulikuwa na uvumilivu yani Wapalestina wanavumilia kuuwawa mmoja mmoja na wengine kukamatwa ovyo ovyo

kuporwa Ardhi yao kila kukicha Waisrael na Makatapila yao wanaenda kuvunja nyumba za Wapalestina zaid walijielekeza West Bank ukingo wa magharibi

uko kila siku nyumba za Wapalestina zinavunjwa zinajengwa za Waisrael !!!!!!! Ukibisha kifo au kukamatwa ndio maisha yao ndio Aman iyo!!!

ilikuwepo Kabla ya 7octb uku GAZA walikuwa wanakuogopa kiasi!!! lkn ata Kufika September 2 wakaanza chokochoko ili nako wachukue kipande cha Ardhi

wkt Hamas wanawaza vip kuzuiya Waisrael wasichukue Ardhi upande wa West Bank kumbe Tayali Waisrael washapanga Wachukue kipande GAZA Ukifatilia iyo iyo AL JAZEERA mwez September

utaona walikuwa wanatoa Habari ya mzozo kwenye mpaka wa GAZA Kabla ya 7octb!!!!!!!
Lkn tufaam njama hiiii mwenyewe asa alikuwa MAREKANI marekani kwamiaka mingi walipanga njama na Israel kuwa Palestina kwasasa Dunia inatoa macho

kwaiyo mm nitakuwa Mpatanishi MKUU kati yako na Palestina mazungumzo tunasogeza mbele mbele uku Israel inamega Ardhi iyo ya Wapalestina

adi sasa Imebaki kidogo sana lazima kubomoa nyumba za Wapalestina ili kuendelea kuimega kwaiyo hiii ndio njama na mbinu ya Marekani kutatua tatizo ndio uko!!!!

kuimaliza Ardhi ya Palestina Kwa kuimega mega uku wakijidai Wanapatanisha!!!! Adi MAHMUD ABBAS Rais w Wapalestina akashtuka

na kutangaza kuacha Mazungumzo ya Amani ambayo ni kiini macho!!! Lkn Marekani ikawa inataka ABBAS aendelee kuudhulia vikao ABBAS. Akagoma

mana uku unaenda kwenye vikao unapokelewa vizuri hotel nzuli Heshima ipo lkn uko nyumbani unasikia Waisrael wanachukua Eneo lile tena na lile akagoma Mazungumzo

je imesaidia jibu Hapana Waisrael wanaendelea kuitafuna Ardhi ya ukingo wa magharibi kila uchwao!!!

Sasa hiii ndio Aman ilikuwepo Kabla ya 7octb je tokea 7octb kuna Ardhi imechukuliwa jibu ni Hapana! uvumilivu unamwisho mwisho ndio iyo 7octb

lengo la marekani kumaliza mgogolo kwa njia ile Sasa GAZA wanapajua sio poa Ni Hatari Sana,

ndio ivyo mzee mzima mwenyewe kavua Upatanishi wake Fake sasa Tramp anajidai niyeye ndio anaitaka GAZA lkn PLAN yao hii niyamiaka 40 uko nyuma!!!

ndio mana Ulimwengu umeungana kuzuiya hii njama ya Marekani ambayo kwasasa ipo ktk atua za mwisho mwisho, lkn ndio ngumu sana sana.. kaachiwa Tramp amalidhie iyo kazi!!!!! Je ataweza!!!
 
Ulaya na Marekani wasipotumia hii kete vizuri watajikuta watakuja kukuta wanajeshi wa Urusi wakiwa Kiev.... Wakomunist wamegawana majukmu ya muda mrefu na muda mfupi!

MALCOM LUMUMBA mbona upo kimya mzee?
Wewe endelea kuota kwamba mawiyo yatakuwa magharibi.
 
Utakuwa umeamua makusudi kuukataa Ukweli mchungu.
Ukweli kuhusu suala hili la Vita hii inayoendelea hivi Sasa huko Mashariki ya Kati kati ya Israel na Hamas/Palestina ni lile shambulizi la Oktoba 2023. Kabla ya shambulizi hilo ni kweli kabisa kwamba kulikuwa na tofaufi za muda mrefu za kimitazamo kati ya Israel na Palestina, lakini tofaufi zao hizo hazikuwahi kusababisha kuibuka kwa Vita kali Sana kati yao Kama hiyo inayoendelea hivi sasa ambayo tayari umesababisha maafa makubwa zaidi pamoja na uharibifu mkubwa zaidi wa miundombinu ya makazi na uchumi.
Tangu ugomvi huo ulipoibuka rasmi kati yao mnamo Mwaka 1948, kamwe hapakuwahi kutokea Vita kali zaidi kati yao Kama hii inayoendelea hivi Sasa huko Gaza, shambulizi la Oktoba 2023 ndio chanzo cha kuibuka kwa Vita hiyo ya Sasa. The civilians attack of October 2023 in Israel territory was a trigger for this ongoing war in Gaza.
Whether you like it or not, but this is a bitter truth.
Wasomi wa Tanzania mnatia aibu.
 
Trump amekosea ku-deal na suala hili kwa kuchukua au kuegemea upande mmojawapo wa Mgogoro huu badala ya kuwa neutral akiwa Kama msuluhishi wa Mgogoro.
Mbaya zaidi, Trump ameegemea upande usiokuwa wa Haki, yaani kumuunga mkono mvamizi Vladmir Putin.
Wewe hata huelewi shabaha ya Trump ni nini ila mnapenda sana mambo ya vijiweni.
 
Trump amekosea ku-deal na suala hili kwa kuchukua au kuegemea upande mmojawapo wa Mgogoro huu badala ya kuwa neutral akiwa Kama msuluhishi wa Mgogoro.
Mbaya zaidi, Trump ameegemea upande usiokuwa wa Haki, yaani kumuunga mkono mvamizi Vladmir Putin.
US hata aegemee upande wa EU / Ukraine hamna kitu ata mfanya Russia wala kumlazimisha Russia na ata akipeleka jeshi ukraine US hawezi kwenda head to head na Russia.

Anacho fanya trump ni kwenda na slogan yake ya Make America great again (MAGA) Kuonyesha dunia kwamba ana nguvu na mamlaka so akiegemea upande wa Ukraine itakua ngumu kufanikisha hili maana Russia ni mgumu lakini akiegemea upande wa Russia ni Rahisi kumaliza maana Ukraine na EU ni wanyonge wake na wanafata matakwa yao over 🚀💥
 
Back
Top Bottom