usa inahonga mataifa mengine has ya kiariabu ili uweze kuitambua israel .. ni nchi gani dunia inatambuliwa kwa hongo .. kwa mataifa ya kiarabu ambayo kwao ni fursa .. ili walinde ufalme waoHiyo migogoro ya wapalestina ambao ni waarabu hata waarabu wenzao ambazo zipo nchi tuzipo kimya, sisi wamatumbi inatuhusu nini kama wao kwa wao hawana umoja?
In long term hii itakuwa ni shida sana mimi naona ulaya na usa wakigawanyika usa atakuwa dhaifu kundeleza vikwazo vyao kww nchi nyingine na usa anamhitaji ue kuliko eu anavyhitaji usa .. eu wanatakiwa wajipange tu maana wanablock yao na pesa yaoUS hata aegemee upande wa EU / Ukraine hamna kitu ata mfanya Russia wala kumlazimisha Russia na ata akipeleka jeshi ukraine US hawezi kwenda head to head na Russia.
Anacho fanya trump ni kwenda na slogan yake ya Make America great again (MAGA) Kuonyesha dunia kwamba ana nguvu na mamlaka so akiegemea upande wa Ukraine itakua ngumu kufanikisha hili maana Russia ni mgumu lakini akiegemea upande wa Russia ni Rahisi kumaliza maana Ukraine na EU ni wanyonge wake na wanafata matakwa yao over 🚀💥
Ndio ujue sasa kama waarabu wenyewe wanashindwa sisi wamatumbi hayatuhusu tuna yetu ya Congo pia yanatushinda .usa inahonga mataifa mengine has ya kiariabu ili uweze kuitambua israel .. ni nchi gani dunia inatambuliwa kwa hongo .. kwa mataifa ya kiarabu ambayo kwao ni fursa .. ili walinde ufalme wao
Africa jeMsichokijua ni wababe wawili yaan Simba na chui wameamua kukaa chini na kugawana mapori ili Kila mmoja ale pori lake mashariki ya kati na Amerika kusini zinaenda kuwa chini ya marekani na ulaya yote pamoja na Asia zinaenda kuwa chini ya Russia
Africa ni Cha woteAfrica je
Hii vita Haina uhusiano wowote wa kidini sema Kwa kuwa unamsongo mkubwa wa mawazo unalazimisha iwe hivoMakobaz walifungua nyuzi kila siku wakipotosha kwamba Trump ameisalimisha Ukraine.