Marekani ingependa iwasaidie Ukraine kwa silaha zaidi, lakini wameishiwa.

Marekani ingependa iwasaidie Ukraine kwa silaha zaidi, lakini wameishiwa.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Vita vya Urusi na Ukraine na vile vya Israel na wapalestina pamoja na rafiki zao vinazidi kuikamua Marekani na kuipokonya ile sifa yao ya kuwa taifa kubwa.

Imeelezwa kuwa karibuni hivi nchi hiyo itaidhinisha kwa mara nyengine kiasi kikubwa cha msaada wa kijeshi kwa Ukraine.Hata hivyo msaada huo umetajwa kuwa hautowafikia waukraine katika siku za karibuni kwani utacheleweshwa na uhaba uliopo kwenye maghala ya silaha ya taifa hilo.

US expected to announce major Ukraine weapons package but delay shipments due to concerns over Pentagon stockpiles

 
Oblangata yako haiko sawa boss!

Marekani iishiwe siraha?
 
Vita vya Urusi na Ukraine na vile vya Israel na wapalestina pamoja na rafiki zao vinazidi kuikamua Marekani na kuipokonya ile sifa yao ya kuwa taifa kubwa.

Imeelezwa kuwa karibuni hivi nchi hiyo itaidhinisha kwa mara nyengine kiasi kikubwa cha msaada wa kijeshi kwa Ukraine.Hata hivyo msaada huo umetajwa kuwa hautowafikia waukraine katika siku za karibuni kwani utacheleweshwa na uhaba uliopo kwenye maghala ya silaha ya taifa hilo.

US expected to announce major Ukraine weapons package but delay shipments due to concerns over Pentagon stockpiles

Nguvu nyingi wanapeleka Israeli ambapo kila siku mazayuni wanapigika
 
Lakini, ifike mahala watu muwache kujitia moyo

Israel inapigwa na nani mkuu, Israel si ndo inatoa somo kwa magaidi kwamba, kuishi kistarabu inawezekana
Watoto na wakinamama ni raia wa kawaida, ingekua Mazayuni anashinda vitani tungeona wanawaua Wanajeshi wa Hamas na sii vinginevyo
 
Vita vya Urusi na Ukraine na vile vya Israel na wapalestina pamoja na rafiki zao vinazidi kuikamua Marekani na kuipokonya ile sifa yao ya kuwa taifa kubwa.

Imeelezwa kuwa karibuni hivi nchi hiyo itaidhinisha kwa mara nyengine kiasi kikubwa cha msaada wa kijeshi kwa Ukraine.Hata hivyo msaada huo umetajwa kuwa hautowafikia waukraine katika siku za karibuni kwani utacheleweshwa na uhaba uliopo kwenye maghala ya silaha ya taifa hilo.

US expected to announce major Ukraine weapons package but delay shipments due to concerns over Pentagon stockpiles

Mcheki mwamba hapo chini. Mkombozi wa Uislamu na Waislam. Kipenzi chetu cha dhati Imaam de Hussein.
20240918_090850.jpg
 
Lakini, ifike mahala watu muwache kujitia moyo

Israel inapigwa na nani mkuu, Israel si ndo inatoa somo kwa magaidi kwamba, kuishi kistarabu inawezekana
Ungesema wanasomeshana na Hamas ingependeza zaidi
 
Sema mambo ya vita sio mazuri hao wote hwana akili , ubabe wa kishamba ..Ukrain raia wake wanaisha ukizngatia ni nchi maskini pale Europe..Kiimani hata race ni ndugu hawa sasa mambo ya vita yanakuja?

Hapo jana watu kibao ikiwa wanajeshi wa NATO wameuliwa zaidi ya 400 , sasa faida yake ndio nn ?
 
Vita vya Urusi na Ukraine na vile vya Israel na wapalestina pamoja na rafiki zao vinazidi kuikamua Marekani na kuipokonya ile sifa yao ya kuwa taifa kubwa.

Imeelezwa kuwa karibuni hivi nchi hiyo itaidhinisha kwa mara nyengine kiasi kikubwa cha msaada wa kijeshi kwa Ukraine.Hata hivyo msaada huo umetajwa kuwa hautowafikia waukraine katika siku za karibuni kwani utacheleweshwa na uhaba uliopo kwenye maghala ya silaha ya taifa hilo.

US expected to announce major Ukraine weapons package but delay shipments due to concerns over Pentagon stockpiles

US ni jungu kuu, Russia baada ya vita ya miaka 3 imebidi aende north korea na Kamikaze zote anazotumia ni kutoka Iran
 
US ni jungu kuu, Russia baada ya vita ya miaka 3 imebidi aende north korea na Kamikaze zote anazotumia ni kutoka Iran
Kadhibiti migodi yote ya chuma iliyokuwa Ukraine.Anatengeneza silaha kwa kasi kuliko nchi yoyote ile duniani.
 
Kadhibiti migodi yote ya chuma iliyokuwa Ukraine.Anatengeneza silaha kwa kasi kuliko nchi yoyote ile duniani.
Na ukraine wamepata ujasiri kutengeneza silaha zao wenyewe long range pia wana Base ndani ya Russia Kurks, silaha za Russia wanazitumia Ukraine kwapiga wenyewe Russia. Majeshi ya Ukraine sasa wanasubiri amri kutinga hadi Moscow aliko huyo janjawir
 
Wavaa makobaz mngejua mnavyochukiwa na Warusi, hamngekua na hizi shobo kwao.
 
Wavaa makobaz mngejua mnavyochukiwa na Warusi, hamngekua na hizi shobo kwao.
Chuki za Urusi hazilingani kabisa na chuki za Marekani na mwanawe Israel.
 
Vita vya Urusi na Ukraine na vile vya Israel na wapalestina pamoja na rafiki zao vinazidi kuikamua Marekani na kuipokonya ile sifa yao ya kuwa taifa kubwa.

Imeelezwa kuwa karibuni hivi nchi hiyo itaidhinisha kwa mara nyengine kiasi kikubwa cha msaada wa kijeshi kwa Ukraine.Hata hivyo msaada huo umetajwa kuwa hautowafikia waukraine katika siku za karibuni kwani utacheleweshwa na uhaba uliopo kwenye maghala ya silaha ya taifa hilo.

US expected to announce major Ukraine weapons package but delay shipments due to concerns over Pentagon stockpiles


ILA SISI TUNAJICHANGANYA SANA. WAKIPIGWA MAARABU. TUNASEMA MAYAHUDI WANASAIDIWA SILAHA NA MAREKANI. TUKIONA HALI ILIYOKO RUSSIA MWAKA WA PILI VITANI TUNAKUJA TENA NA WIMBO MPYA. KULE RUSSIA NA UKRAINE. SI TULISEMA NI WEEK TU? NA TUKASEMA OLE WAKE MAREKANI AJARIBU KUSAIDIA. PUTIN ATAITEKETEZA. SASA HATUELEWEKI. JE MAREKANI ANAISAIDIA UKRAINE AU HAISAIDII? JE PUTIN MMEMWAMBIA JAMBO HILO ANAJUA? JE NYUKLIA AMEZIANDAA AU BADO?
 
Wavaa makobaz mngejua mnavyochukiwa na Warusi, hamngekua na hizi shobo kwao.
Chuki za Urusi hazilingani kabisa na chuki za Marekani na mwanawe Israel.

Urusi huwa inawafumua mpaka mnatia akili, wale hawana ujinga wa haki za kibinadamu, mkianzisha hayo mambo yenu ya allah akba mnaliwa mchana...
 
Back
Top Bottom