johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Waziri wa Foreign wa Marekani amesema wakati wanaendelea kufanya ukaguzi kama walivyoagizwa na Rais Trump watakuwa wanatoa msaada wa Dawa za kuzuia Vifo pekee Kwa waathirika wanaotumia Dawa hizo
Waziri amesema watatoa Dawa na kamwe hawatatoa fedha
Source Citizen TV
Waziri amesema watatoa Dawa na kamwe hawatatoa fedha
Source Citizen TV