Marekani itaendelea kutoa misaada ya Dawa zinazozuia Vifo lakini kamwe haitatoa Fedha Kwa Nchi za Afrika

Marekani itaendelea kutoa misaada ya Dawa zinazozuia Vifo lakini kamwe haitatoa Fedha Kwa Nchi za Afrika

Waziri wa Foreign wa Marekani amesema wakati wanaendelea kufanya ukaguzi kama walivyoagizwa na Rais Trump watakuwa wanatoa msaada wa Dawa za kuzuia Vifo pekee Kwa waathirika wanaotumia Dawa hizo

Waziri amesema watatoa Dawa na kamwe hawatatoa fedha

Source Citizen TV
Fedha wasitoe hata Senti Tano! Watoe dawa tu.
 

Attachments

  • VID-20250115-WA0018.mp4
    16.9 MB
Ikipendeza watunyime vyote, siyo kila anayekunyima ni mchoyo mwingine hukunyima ili akufundishe
 
Kwanini nchi za africa ?? Waafrica tunakosa gani?? Ama kweli africa ni kisanga
Bora umefikiria. Mtu aliye karibu kufa bora afe tu maana ni hasara na mateso ndio maana wao wana ile kitu inaitwa euthanasia
 
Shopping za kwenda kununua Cartier na Prada zitaanza kufadhaliwa na kodi za ndani sasa.
Maana Bi. Tozo ilikuwa akipokea mtonyo wa msaada tu, anakwea pipa kwenda shopping Dubai.

Soon tunaletewa tozo ya kujamiiana ili kufidia gap la mtonyo wa msaada uliozuiliwa na wenyewe.

Wakina Bi. Tozo wakielemewa kabisa , hizo hizo dawa za misaada watataka watuuzie.
Bi Tozo a.k.a chura kiziwi anadanganywa na watu wa intelejensia feki, kuwa Kuna watu wanataka kuchomoa betri. Anaambiwa hebu mtoe huyu mweke huyu, hapa leta fedha kiasi fulani tukusadie Kuthibiti hili kumbe watu wameshagundua style ya upigaji, wakijua Her Excellency si mjuvi wa mambo na Wala si mfatiliaji.

Yeye Kila analoambiwa anaitika tu hewalaa, nakwambia nendeni mkalitazame na kulishughulikia basi bila kujua authenticity yake.

Na wapambe sasa hivi Wana appeal kwenye hofu yake na kutokuwa mfatiliaji iliwapige zaidi, huku wakimwaminisha kwamba anaupiga mwingi ajitie pamba masikioni na kuwa chura kiziwi asisikilize wengine bali wao.
 
Back
Top Bottom